Tetesi: Zaidi ya wafanyakazi 600 yawakuta TPA......


broo hii dunia wanaposemaga ni ya Mungu huwa sielewagi kabisa

Mungu atafanya njia
 
Hizo idara zilikuwa za ajabu kweli... jamaa akishika ubosi anaenda kukusanya ndugu zake kijijini na kuwachongeshea vyeti vya magumashi stationary.....sasa baba zao walishastaafu/kutumbuliwa....makaratasi hayo yanapelekwa necta hayasomi basi....ndio muda wa walalahoi walioumiza muda wao vyuoni sasa waonje matunda ya elimu yao
 
wabaki na makazi yao Sie wengine na BAF zetu ..kumbe tuliitwa kuwa wachungaji tumegundua
 
Hamna mkuu asemayo huyo jamaa ni kweli wqnaofanya kazi za maana serkalin wanajiona miungu watu
Mimi nayashangaa mabank eti hayatukopeshi sisi sekta binafsi eti hatuna security ya kazi, serikalini wana security ya kazi sasa kwa serikali hii mabank yameangukia PUA
 
hivi huko kweli kuna watu wenye weredi? walilenga watu wa Dar peke yao ,mtu wa ngara ,katavi ,songea anawezaje kuleta vyeti halisi ndan ya mda huo?
Zilikua na watu hizo hapo wanapiga mihuri tu;hii ndio bongo hauoni hapo kama walilenga ndani ya TPA na sio nje?
 
Ni hivi kama huna connection kupata kazi ni ngumu sana,hata huko nje kazi zinapatikana kwa ma agent.ukitaka kazi tafuta wa kukushika mkono
 
Katika hali hii unategemea kupata wafanyakazi wenye ufanisi..
 
*TANGAZO LA AJIRA**
Kama una Ndugu, Jamaa au Rafiki aliyesoma Chuo cha Bandari
Afike kesho 28/05/2018 asubuhi saa12 Ofisi za TPA (bandarini)
Kuna hitajika vijana/watu 500 kujaza nafasi za kazi ya Ukarani.
Pliz share this information

Tangazo lilikuwa simple yaani hivyo tu unalamba kazi.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…