KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Kama wanavyoishi Nasalah na wengineTaifa teule wataishi mashimoni kama digidigi.
Warushe vitu vya kueleweka!
Mbona umemsahu BIKIRA MARIA.Wewe mvaa makobazi wenzio huko wanayemuita Aisha Malaya ni vilio tu
View: https://x.com/JewishWarrior13/status/1838242129534963882
View: https://x.com/realMaalouf/status/1838256740669759992Makamanda wake wa Juu wote wamerushwa huko jehanamu wakakutane na mabikira 72. Wa hivi karibuni ni huyo anaitwa Ali Karaki leo hii kapzwa
View: https://x.com/Philipp27960841/status/1838255237540257888
Warushe vitu vya kueleweka!
Mazayuni sio watu wakuwachekea.
Kama wanavyoishi Nasalah na wengine
Wamesema watalianzisha ana kea anaUbaya ubwela bado wahuni wayemen waje kujipigia dem wa bure kaja geto
Wakae hukohuko kwa muda, maana hali haitotuliaIsrael wana bomb shelter kibao....na ikitokea milipuko hukimbilia huko mpaka hali ikitulia....na huko kuna huduma zote.......
Irone dome intercepting rockets fired from Lebano
Aisee wewe Bikira wa 72 bado upo? Wenzio mashia huko kimewaka; si mlisema Israel uwezo mdogo kashindwa kumng'oa Kamasi! Sasa anawaonyesha kuwa angetaka Makamasi yangetoka hata kwa wiki moja tu; bali alienda nao mdogo mdogo kwa huruma ya masikini wa watu waarabu wa Gaza
Wamekimbia makazi Yao au wameingia kwenye bomb shelter.....???
Aisee wewe Bikira wa 72 bado upo? Wenzio mashia huko kimewaka; si mlisema Israel uwezo mdogo kashindwa kumng'oa Kamasi! Sasa anawaonyesha kuwa angetaka Makamasi yangetoka hata kwa wiki moja tu; bali alienda nao mdogo mdogo kwa huruma ya masikini wa watu waarabu wa Gaza
View: https://x.com/Philipp27960841/status/1838255237540257888
Bikira Maria?Aisee wewe Bikira wa 72 bado upo? Wenzio mashia huko kimewaka; si mlisema Israel uwezo mdogo kashindwa kumng'oa Kamasi! Sasa anawaonyesha kuwa angetaka Makamasi yangetoka hata kwa wiki moja tu; bali alienda nao mdogo mdogo kwa huruma ya masikini wa watu waarabu wa Gaza
View: https://x.com/Philipp27960841/status/1838255237540257888
Hesbollah ya jf ni kama sayaret matkal, but hezbollah halisi ni bora ya hamas...Hezbollah ya JF na ya uwanja vita ni vitu viwili tofauti kabisa.
Hesbollah ya jf ni kama sayaret matkal, but hezbollah halisi ni bora ya hamas...
Masikini kahabari kako kako mzee wa kuhara kanatia huruma.Wanakumbi.
⚡️BREAKING:
Mji wa Haifa, kutoka mashariki hadi magharibi hadi kaskazini hadi kusini, uko chini ya makombora ya Hezbollah, ving'ora havikomi.
Zaidi ya walowezi 300,000 wamekimbia kwenye makazi. Ripoti za awali za roketi zilizoanguka karibu na eneo la Chuo Kikuu cha Haifa na eneo la Techinion.
View: https://x.com/suppressednws/status/1838263697405251629?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hii X account ya Msikiti gani?