Zaidi ya walowezi 300,000 Israel wamekimbia makazi yao huko Haifa baada ya mfulilizo wa Makombora ya Hezbollah.

Zaidi ya walowezi 300,000 Israel wamekimbia makazi yao huko Haifa baada ya mfulilizo wa Makombora ya Hezbollah.

Israel anajengea shelter wananchi wake hamas na hizbollah wanajificha kwenye makaz ya raia ili wasipigwe au wakipigwa wafe na raia ili waonewe huruma
 
Wanakumbi.

⚡️BREAKING:

Mji wa Haifa, kutoka mashariki hadi magharibi hadi kaskazini hadi kusini, uko chini ya makombora ya Hezbollah, ving'ora havikomi.

Zaidi ya walowezi 300,000 wamekimbia kwenye makazi. Ripoti za awali za roketi zilizoanguka karibu na eneo la Chuo Kikuu cha Haifa na eneo la Techinion.


View: https://x.com/suppressednws/status/1838263697405251629?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Ukiona hivyo, Kenge wa Hezbollah, na sharubu zao, wapo wanajinyea kwenye mahandaki wakati wayahudi wenzangu(chosen people of God) wanafsnya Yao Lebanon,
 
Wanakumbi.

⚡️BREAKING:

Mji wa Haifa, kutoka mashariki hadi magharibi hadi kaskazini hadi kusini, uko chini ya makombora ya Hezbollah, ving'ora havikomi.

Zaidi ya walowezi 300,000 wamekimbia kwenye makazi. Ripoti za awali za roketi zilizoanguka karibu na eneo la Chuo Kikuu cha Haifa na eneo la Techinion.


View: https://x.com/suppressednws/status/1838263697405251629?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Ndio nchi inavyoongozwa yenye kupenda raia wake.. na wewe waambie Hamas na Hezbollah wajifunze
 
Ukiona hivyo, Kenge wa Hezbollah, na sharubu zao, wapo wanajinyea kwenye mahandaki wakati wayahudi wenzangu(chosen people of God) wanafsnya Yao Lebanon,
Hahaha Muisrael mweusi wa MWABOWO anatamba JF😅
 
Ningekuwa Lebanon ningerusha makombora 5000 si Kwa mara Moja narusha Moja lingine baada ya nusu saa ni mwendo wa vingora tu mpaka yakiisha Kuna miezi kadhaa ya kuishi mashimoni
 

kabakia top manyota peke yake akaungane na yule muhuni wa hamas baada ya hapo aayatollahna kavuta bange kayemeni
GYLZsniXwAAklDy.jpeg
 
kabakia top manyota peke yake akaungane na yule muhuni wa hamas baada ya hapo aayatollahna kavuta bange kayemeni View attachment 3105330
Hawa kufa ni ushujaa na heshima kubwa wala siyo issue nyie wagalatia ndiyo mnaogopa kufa🤣

Waanzilishi wa Hamas wote wameishakufa miaka mingi lakini moto wanapelekewa mabasha zako siiyo mchezo.
 
NEW: 🇱🇧 Since 4 am this morning, Hezbollah has targeted the following:

1. 🇮🇱 The IDF's 'Amos' logistical base for the Northern Command, with Fadi-1 rockets.

2. 🇮🇱 An explosive materials factory in the 'Zikhron' area, with Fadi rockets.

3. 🇮🇱 'Meggiddo' military airport west of Afula, with Fadi-2 rockets.

4. 🇮🇱 Kiryat Shmona settlement, with 'lob bombs'.

5. 🇮🇱 Logistical warehouses of the IDF's 146th Division at 'Naftali' base with a missile barrage.

@Middle_East_Spectator
 
Ukiona hivyo, Kenge wa Hezbollah, na sharubu zao, wapo wanajinyea kwenye mahandaki wakati wayahudi wenzangu(chosen people of God) wanafsnya Yao Lebanon,
Unapenda vitaa we subiri waje TANZANIA,majitu maoga hata kwenye maandamano lakini kwakupenda vita haya jambo
 
Hawa kufa ni ushujaa na heshima kubwa wala siyo issue nyie wagalatia ndiyo mnaogopa kufa🤣

Waanzilishi wa Hamas wote wameishakufa miaka mingi lakini moto wanapelekewa mabasha zako siiyo mchezo.
kKwahio wakifa unabaki mjane au unakamatwa na gaid lingine ?
 
Back
Top Bottom