Kwani kwenu hamna wajane?kKwahio wakifa unabaki mjane au unakamatwa na gaid lingine ?
Vi clip vya kufutia machozi, Al Jazeera wenyewe sasa hivi wameanza kusema hawana uhakika na madai ya mashambulizi ya Hezbollah.
Msemaji wa Al Jazeera kutoka. YELANYALA.Vi clip vya kufutia machozi, Al Jazeera wenyewe sasa hivi wameanza kusema hawana uhakika na madai ya mashambulizi ya Hezbollah.
Halafu mkuu, nina clip ya ile ajali ya tank la mafuya kule Morogoro. Nikutumie na yenyewe uipost? Halafu caption unaandika Hezbollah yafanya kweli😅
Yupo busy kuua raia wenzie wanapiga kwenye mshono sasa hivi anatumia viwanja vya kambi ya England nje ya Israeli.Hezbollah wanatoa Moja baada ya nyingine. Muyahudi anapigwa surprise mpaka anashangaa. Anategemea akiuwa raia wengi atawatisha Hezbollah warusi kwenye negotiation anasahau Gaza amekua karibu elfu 20 na haujapata hawo mateka wake na IDF Bado wanapigwa ambush kama kawaida.
Leo Israel amefanya shambulio kubwa ambalo limewacha vifo takribani 275 na maelfu wakiwa majeruhi
Kama hilo bus kulikua na watu basi hakuna aliyesalia mzima.Kwani kwenu hamna wajane?
Gaza wananabaki hivi…
View: https://x.com/currentreport1/status/1838609844712149421?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Huku Galilee hawa hawakutakiwa wawepo kabisa.Kwani kwenu hamna wajane?
Gaza wananabaki hivi…
View: https://x.com/currentreport1/status/1838609844712149421?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wanakumbi.
⚡️BREAKING:
Mji wa Haifa, kutoka mashariki hadi magharibi hadi kaskazini hadi kusini, uko chini ya makombora ya Hezbollah, ving'ora havikomi.
Zaidi ya walowezi 300,000 wamekimbia kwenye makazi. Ripoti za awali za roketi zilizoanguka karibu na eneo la Chuo Kikuu cha Haifa na eneo la Techinion.
View: https://x.com/suppressednws/status/1838263697405251629?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw