Tetesi: Zaidi ya wanawake 1500 wapo Dar es salaam kumpongeza Rais Samia Machi 19, 2023. Hawana nauli za kurudi nyumbani na hawajui wale/walale wapi

Miaka miwili ya Samia hoyee😅Samia anaupiga mwingi,walo kwenye conekshen wamelipwa🏃on a serious note unasafirije km zaid ya elfu moja bila fedha za emergency?mie nimetoka home na kibunda Cha 1mil,(500k cash,500k kwenye cm wallet) wanawake tuache kuwa tegemezi tujisimamie 🙏 huna uhakika wa fedha achana na Safari zisizo na maslah kwako,safarini Kuna mengi usijitembelee Kama zuzu 😅😅
 
Mkuu utambue elimu yao iko chini na uelewa pia.
Trust me wameteseka 100%
Ninavyoandika hapa Tayari wako wameanza kuingia uwanja wa Taifa na Hata breakfast hawajui itapatikana wapi
Ujinga usiwe kisingizio cha Kila kitu..Yani unataka kuniambia hawa watu wako primitive kuliko ..... Au basi.. Yani hawana reasoning kabisaa.

Ila naweza kuamini,kwasababu ni nchi moja Tu duniani ambayo watu wake waliaminishwa risasi zinaweza kubadilika kuwa maji kabla hazijatua kwenye miili,na wakaingia vitani against mitutu and we are the descendants of those people..Ujinga ni asili yetu
 
Sasa mtu unajua u mgonjwa,au uko na mtoto mdogo Safari ndefu ya kazi gani?ilhal huna means vitu vyingine ni vya kureason tu
 
Kuna vitu vinaendelea Tanzania hata huwa sijui kama vipo...

Kumbe kuna tukio la wanawake kumpongeza mama Samia
 
Mikoa mingine ccm imewapa mikoa mingine ccm haijawapa na hatujui ni kigezo gani kimetumika ila wanawake wote wa chadema wamelipwa Kila mmoja Tsh 350, 000 kwa Wale waliotokea Mara, Kagera na Rukwa
Si mnampenda nendeni Kwa gharama zenu kama wanavyofanya washabili wa Moira😂😂
 
Nilitaka kusema jambo lakini wakili wangu hapatikani😂😂
 
wape address wafike pale next door.
tabata yoote kuanzia kitambaa cheupe nk.
Goba Joyce lover, tripple b...na pale montanaa...

Usiu mmoja tu wote wanapata nauli to any destination.... kazi kwao.
Kula na kulala Bure😂
 
Wanywe maji mengi, walale kwenye michanga, baada ya kumaliza kusifu waandamane kuelekea Lumumba kudai nauli walizopewa ahadi.
 
Mkuu utambue elimu yao iko chini na uelewa pia.
Trust me wameteseka 100%
Ninavyoandika hapa Tayari wako wameanza kuingia uwanja wa Taifa na Hata breakfast hawajui itapatikana wapi
Ndio tunasema tunaomba wateseke Ili ujinga uwatoke. Wenzenu kesho wanaandamana maisha yamekuwa mafumu nyie wajinga mnaenda kupingeza huku mkijua Hali ni ngumu
 
Hii mi mama huko watokako hawana habari, eti wanakwenda kwa niaba ya wenzao mikoani, wanafiki,watafuta fursa, mama wapotezee! Usiwahofie, wapunguze kukuchosha, misherehe yenyewe wanapanga wajanja huko juu!
 
Hawana LOLOTE ni UMALAYA tu umewafanya WABAKI DAR ngoja warudi ni VIRUSI
 
Sitosahau bawacha walivyo zagaa pale maeneo ya uwaja wa mashujaa Moshi wakihaha
 
Ni wapumbavu tu wapambane na hali zao.binafsi mtu mpumbavu simuonei huruma
 
Hii nchi ina watu wajinga sana[emoji1][emoji1][emoji1] yani mambo yanayoendelea mtu kabisa unakuja kusifu na kuabudu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…