Tetesi: Zaidi ya wanawake 1500 wapo Dar es salaam kumpongeza Rais Samia Machi 19, 2023. Hawana nauli za kurudi nyumbani na hawajui wale/walale wapi

Tetesi: Zaidi ya wanawake 1500 wapo Dar es salaam kumpongeza Rais Samia Machi 19, 2023. Hawana nauli za kurudi nyumbani na hawajui wale/walale wapi

Upuuzi Mtupu Huu Inatakiwa Waachwe Wahangaike Tu Unatoka Unakotoka Mpaka Dar Mtu Mzima Unaacha Nyumba Eti Kwenda Kumpongeza Rais
Ujinga Na Wajinga Tanzania Hawaishi Jamani
Hapo Unajiuliza Mwaliko Walipewa Na Nani?
Kwani Lazima Wampongeze Dar
Halafu eti wengine wanawatoto wanaonyonya. Hahahaa kweli Tanzania ni royal tour atakae aje aone mambo
 
Hivi wajapani si inasemekana sio watu wa mambo hayo sana au wewe ulibahatika tu.
Siyo kweli; labda siku hizi. Enzi hizo wanawake wa kijapani walikuwa kama free samples, at least kwangu, kwa sababu niliwapangua sana kutokana na ujana niliokuwa nao enzi hizo.
 
Pole yao lakini sio vizuri kuondoka kwako bila kujipanga hasa kwa Wamama wanaonyonyesha na wenye ujauzito , naimani Serikali iitawatazama na kuwapa Elimu ya Kujitambua
 
Upuuzi Mtupu Huu Inatakiwa Waachwe Wahangaike Tu Unatoka Unakotoka Mpaka Dar Mtu Mzima Unaacha Nyumba Eti Kwenda Kumpongeza Rais
Ujinga Na Wajinga Tanzania Hawaishi Jamani
Hapo Unajiuliza Mwaliko Walipewa Na Nani?
Kwani Lazima Wampongeze Dar
Tatizo la watanzania Sio umaskini bali ni CCM
 
Tatizo la watanzania Sio umaskini bali ni CCM
Na Ccm Inajua Hilo Imeamua Kukamatia Hapo Hapo
Jiulize Ccm Ikianguka Toka Madarakani Huo Utitiri Wa Wategemezi (Mchwa) Utakula, Nini Wakati Vyeo Havipo Na Vitega Uchumi Vitarudishwa Serikalini



Mwafaa, Twafaa
 
Ivi Aya maswala ya kupongeza mbona yamekua mengi Sana Ina Maana watangulizi wa mama hakuna walichokifanya au ndo imekua Wimbo kila raisi alieko madarakani atakua anapongezwa tu!? Mbona sijawahi kuskia wakenya Wanaenda Nairobi kutoka Mikoani eti kumpongeza rais!!!

Huu ujinga wa siasa za sifa za kijinga uliasisiwa na kuimarishwa kipindi cha awamu ya tano. Awamu hiyo ilipenda sifa za kijinga hadi sasa imekuwa ndio fashion.
 
Mateso waliyoyapata tangu Jana hadi tutakaporudi makwetu dawa pekee ni kuiondoa CCM madarakani
 
Njoo kwenye hoja.
Leo kumetokea kituko Dar. Kuna wanawake zaidi ya 1,500 wamewasili Dar kutokea mikoa yote ya Tanzania. Nia ya wao kuja Dar ni Ili waweze kukutana Kesho asubuhi hadi saa nane Mchana Ili kumpongeza mama Samia.

Kwa masikitiko makubwa na huzuni kubwa wamama hao wamelipa nauli kwa fedha za mifukoni mwao wakitarajia kuwa watakuja kurejesha fedha walizotumia kusafiria.

1. Kituko kimeanza baada ya wao kukosa pa kulala wakitarajia kuwa wangekuwa wameandaliwa Maeneo au hotel za kulala. Kilichotokea hawajarejeshewa fedha za nauli za kuja Dar.

2. Hawajui watapata wapi nauli za kurudi makao mikoani.
3. Hawana mahali pa kulala.
4. Hawana uwezo wa kununua vyakula mahotelini.
5. Wengi wameamua kuondoka Kesho Jioni kurudi mikoani baada ya kutoka uwanja wa Taifa saa nane Mchana kwa Wale wachache wenye uwezo.
6. Kesho jumapili Mchana haijulikani watakuwa wapi.
7. Kuhudhuria kongamano hilo masharti ni lazima ununue kitenge 20,000 na kukishona kwa Gharama zako mwenyewe na wote wana sare ya kitenge cha Rais.

8. Wanawake wengine wamekuja na Watoto wadogo ambao wananyonyesha.
9. Wabunge wa ccm wanakotokea Viongozi wa UWT wamegoma Hata kuwachangiachakula, makazi na Usafiri Kwa mantiki kwamba maza anajipongeza mwenyewe na amealika na Bawacha.
10. Zaidi ya Wanawake 110 waliotokea Tarime mkoa wa Mara nauli ni 70,000 kila mmoja kwenda Dar tu, Bado kulala 50,000 na chakula Bado kurudi na walidanganywa na CCM kuwa watalipiwa Kila kitu imekuwa kinyume chake.

11. Wanawake wamekuwa frastrated kwa sababu kuna walioondoka tar 18.3.2023 kuelekea Dodoma Kwa nauli zao, kuna walioelekea Dar uwanja wa Taifa kwa nauli zao the same day, Pia Leo tar 19.3.2023 kuna kundi lililokuja Dar uwanja wa Taifa kwa nauli zao na Kesho wanakwenda Dodoma kwa nauli zao kuonana na tulio tangulia Dodoma.

Wenyeviti wa UWT mikoa yote mungu anawaona. Mama Samia wamama wenzako wako Dar kukufuata kukupongeza ila wamelala uwanja wa Taifa na hawajala na hawajui Kesho watakuwa wapi na watasafi vipi kurudi makwao.

HABARI HIZI UNAZO?KAMA UNAZO OKA WAKINAMAMA HAWA KUEPUSHA LAANA YA WATU WASIO NA HATIA
wagombea urais ndani ya chama wawasitiri wanachama wenzao
 
Siyo kweli; labda siku hizi. Enzi hizo wanawake wa kijapani walikuwa kama free samples, at least kwangu, kwa sababu niliwangua sana kutokana na ujana niliokuwa nao enzi hizo.
Hahahah kwahio uliwatafuna sana eeh maana naskia Japan watu wako busy sana hadi wanasahau kupigana miti. 🤣🤣🤣
 
Wamelala vipi Uwanja wa Taifa? Pale jana si ilikuwepo mechi ya Mnyama?
Wanawake 1500 wamefika kutoka mikoani? Oh yes,now I remember. Leo ni simu ya kuadhimisha mwaka wa pili wa ubabaishaji wa huyu mama. ( Najua Faiza Foxy anajitayarisha kunipiga kijembe).
Sasa,wakimbizi lukuki kutoka Ukraine Syria,Afghanistan)wanapata hifadhi katika nchi nyingine.Kwa nini hapa Dar watu wateseke?
Freemasons huwa wanasema tuondoe ubaguzi wa ukabila,udini,ufamilia,utabaka,ujinsia,halafu( most important for Freemasons) tuondoe kuta kati ya nchi na nchi.
 
Karibuni muone tunavyoteseka wanawake uwanja wa Taifa Dar.
Kweli kama Samia ni mcha mola basi asikilize kilio chetu hapa uwanja wa Taifa.
Tumeambiwa tuwahi kuingia asubuhi hii ili kupisha timu ya yanga kucheza mpira lei bafo tunafukuzwa uwanjani mchana bila hata kupewa chakula
 
Back
Top Bottom