Kwa hio Zaka ni on revenue au Profit ?Kwa mshahara wa 1m after PAYE, utatoa 100K na alafu hela inayobakia, 900K ndo yako sasa inahusika na mambo mengine.
Huoni unyonyaji hapo wakati mchungaji amekaa tu watu wanafanyakazi na kumpelekea hela anastarehe na kuzitumia ovyo?Sioni unyonywaji kama una nidhamu ya pesa.
Kuna ambao hawajui kabisa hili nenoMimi natoa kwenye faida mkuu..
MALAKI 3:8-10:-"Je! Mwanadamu atamwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia mimi. Lakini ninyi mwasema, Tumekuibia kwa namna gani? MMENIIBIA ZAKA NA DHABIHU. Ninyi mmelaaniwa kwa laana; maana mnaniibia mimi, naam, taifa hili lote. LETENI ZAKA KAMILIghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la."
Nani kasema anatumia hovyo? Watumishi wa Mungu wa kweli hawazitumii hovyo.Huoni unyonyaji hapo wakati mchungaji amekaa tu watu wanafanyakazi na kumpelekea hela anastarehe na kuzitumia ovyo?
WaajiriwaKwa hio Zaka ni on revenue au Profit ?
Kama ni on revenue inabidi iwe Before PAYE,
Kama ni on Profit bas inabid nitoe expenses za hio kazi, eg nauli, vocha nk
Yaani hata kwa Mwamposa nako ni Hekaluni? Wizi mtupu!Sawa ila Maandiko yanasema zaka itolewe hekaluni, kwa wenye uhitaji, ni sadaka.
On profitKwa hio Zaka ni on revenue au Profit ?
Kama ni on revenue inabidi iwe Before PAYE,
Kama ni on Profit bas inabid nitoe expenses za hio kazi, eg nauli, vocha nk
Kwanza Hela haziwatoshi,Wana mambo mengi mnoNani kasema anatumia hovyo? Watumishi wa Mungu wa kweli hawazitumii hovyo.
Sijasema hivyo bro .Yaani hata kwa Mwamposa nako ni Hekaluni? Wizi mtupu!
Hawajui tu, wanapayuka payuka.Kwanza Hela hazuwatoshi,Wana mbo mengi mno
Kuna expenses kibao kwenye makanisa,watu hawajui tu.
Kuna Kanisa inatoa pesa kwa ajili ya kaya masikini ya waumini wao.Kwanza Hela hazuwatoshi,Wana mbo mengi mno
Kuna expenses kibao kwenye makanisa,watu hawajui tu.
Pesa inayobakia baada ya Makato mkuu, kama ni hiyo , toa.Kama mapato yangu ni mil 10 kwa mwezi natakiwa kutoa mil 1 kama zaka?😆
Ndio maana wachungaji wanazidi kuneemeka
Kwa wanaosadika yes,Yaani hata kwa Mwamposa nako ni Hekaluni? Wizi mtupu!
Wizi mtupu! Bora hata huyo aliyesema apeleke kwa wahitaji.Kwa wanaosadika yes,
Kwa wengine km wewe ndo hivyo!
Unaweza Kuta ht unapoona we ni hekaluni wengine wanapaona sio!
Kila mmoja na anapopaamini .
Yes,wanatunza wasiojuwezaKuna Kanisa inatoa pesa kwa ajili ya kaya masikini ya waumini wao.
Sadaka zinatosha kuendesha kanisa,fungu la kumi ni kuibia waumini tuPesa inayobakia baada ya Makato mkuu, kama ni hiyo , toa.
Kumbe .Yes,wanatunza wasiojuweza
Ht kkkt niliyopo mie pia wanafanya hivyo
Na Kuna mchungaji anawatembelea
Wewe unazungumzia sadaka na siyo zaka.Wanatoa inform of msaada na ni zaidi ya 10%.