Zaka ya 10% unatoa kwenye faida au kwenye utajiri wako?

Mtaji siyo mapato?..
Ukipewa magari kumi utasubiri yazalishe mengine ndiyo utoe ili uyaite mtaji na mengine faida au utatoa 01 kama sehemu ya kumi?.
Ukipewa ng'ombe 100 utasubiri wazae au uuze mbolea ndiyo utoe faida au?..
 
Biblia kwenye zaka imetamka na ipo mifano kadhaa imeelekeza kutumika kichwa au kutokukariri labda ni kupindisha maelekezo.
Sasa mkuu ni hivi,
Zaka tutatoa kwenye net faida, sio faida ghafi, na Mbinguni tutaenda tutakaa seat za mbele kabisa
 
Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika mavuno yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka. 23 Nawe utakula mbele za BWANA, Mungu wako, mahali atakapochagua apakalishe jina lake, zaka ya nafaka zako, na divai yako, na mafuta yako, na wazaliwa wa kwanza wa makundi yako ya ng'ombe na ya kondoo; ili upate kujifunza kumcha BWANA, Mungu wako, daima. 24 Na njia
 
Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka. Nawe utakula mbele za BWANA, Mungu wako, mahali atakapochagua apakalishe jina lake, zaka ya nafaka zako, na divai yako, na mafuta yako, na wazaliwa wa kwanza wa makundi yako ya ng’ombe na ya kondoo; ili upate kujifunza kumcha BWANA, Mungu wako, daima. Na njia ikiwa ndefu mno nawe, usiweze kuzichukua kwa kuwa mahali ni mbali nawe mno atakapochagua BWANA, Mungu wako, apakalishe jina lake, hapo atakapokubarikia BWANA, Mungu wako; ndipo uzibadili ziwe fedha, na kufunga zile fedha uende nazo mkononi mwako, hata
 
Kuna mbegu inapandwa ukishavuna ndio zaka itolewe,lazima Kuna process ya uzalishaji,mfano mtu akikupa mtaji 1000000,hutakiwi kuitolea zaka ila unaweza kuitolea sadaka ya shukrani,
Ukikopa million kumi unaweza kuitolea shukrani lakini siyo zaka,zaka utatoa baada ya kuzalisha hyo Hela na kupata faida,
Ulipata urithi wako milioni 150 unaweza kutoa shukrani million 20 lakini siyo zaka,hakuna double payment,
Wengine akikopea benk m 10 anatoa zaka lakini Kila mwezi mshahara ulikuwa unatolewa zaka
 
Chochote unachojaliwa sehemu Moja kati ya kumi si mali yako hata ukijaliwa saa 24 Kwa siku elewa saa 2 na dakika _ siyo yako
 
Hakuna Kitu kinaitwa zKa kwa sasa hivi
 
Safi sana ⚘️⚘️⚘️🌺🌺🌺🌺
 
Kwa mfanyakazi wa mshahara, unatoa 10% ya mshahara wako maana yale ni malipo ya kazi uliyofanya, ila biashara, faida ya mtaji wako ndo unatoa 10%
Kwenye Huo Mshahara sipaswi kutoa kwanza Matumizi, Sadaka, majitoleo Kwa wagonjwa na wasiojiweza kisha ndo nitoe 10p Kwa Salio lililobaki "saving'?
 
Zaka ni sadaka ya hekalu ila wapumbavu mnapeleka makanisani hata kule Israel zamani zaka ilipelekwa hekaluni tu siyo kwenye masinagogi na hekalu lilikuwa moja tu hata ujenge mengine hayawezi kuwa hekalu ....tumieni akili acheni upumbavu makanisani
Kuna Muda unaongea point sana..
Kama hapa umenifurahisha kusema ukweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…