soma post zote za zakazakazi ameongelea hizo data,Naye data zake zina walakini. Mbona hajaitaja MTIBWA SUGAR ambayo ilichukua ubingwa mara 2 mfululizo 1999 na 2000?
Kama ligi ilianza 1965, na FAT ilianzishwa 1945, hii miaka 20 FAT (TFF) ilikuwa inasimamia UMISETA??Anaandika Zakazakazi,
YANGA SIYO MABINGWA MARA 29 NA SIMBA SIYO MABINGWA MARA 22
Hii ni changamoto kwa wadau wote wa soka nchini Tanzania; wachambuzi, waandishi wa habari, mamlaka za soka na serikali kwa maana ya wizara ya michezo na baraza la michezo.
Fanyeni utafiti na mje na majibu sahihi maana siku zinavyozidi kwenda, uongo unakuwa ukweli kwa sababu watu wanaamini yasiyo sahihi.
Ligi ya Tanzania ilianza mwaka 1965 ikiitwa Klabu Bingwa ya Taifa. Hadi mwaka huu, 2023, ni miaka 58. Maana yake kuna mabingwa 58 wanatakiwa kuwepo.
Sasa kama Yanga ni mabingwa mara 29, Simba mara 22 maana yake hawa wawili peke yao wamechukua ubingwa mara 51.
Katika misimu 58, imebaki misimu 7 pekee ambayo wamechukua wengine.
Hao wengine ni wafuatao.
Cosmopolitan -1 (1967)
Mseto -1 (1975)
Pan African - 1 (1982)
KMKM - 1 (1984)
Majimaji - 3 (1985, 1986 na 1998)
African Sports - 1 (1988)
Malindi - 2 (1989 na 1992)
Pamba - 1 (1990)
TZ Prisons - 1 (1999)
Azam FC - 1 (2014)
Jumla 13
Ukijumlisha na zile 51 za Yanga na Simba, unapata 64...inawezekanaje?
Ligi iliyochezwa miaka 58 inakuwaje na mabingwa 64...hesabu za wapi hizo?
Timu zilizotajwa hapo ndiyo mabingwa wa Tanzania wanaotambuliwa na CAF na FIFA, na ndiyo walioshiriki Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika katika miaka husika.
Ndiyo maana nilianza kwa kutoa changamoto kwa wadau.
Tembeleeni tovuti za CAF na FIFA muone ni timu zipi ziliiwakilisha Tanzania kwenye Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika kuanzia 1965.
UKWELI
Yanga ni mabingwa mara 22 na Simba mara 21.
22+21= 43 - Yanga na Simba
43+13=56 - Jumla (kati ya 58)
NB: Kuna misimu miwili (1970 na 2003) Tanzania hakukuwa na bingwa.
Ndiyo maana unapata mabingwa 56 katika misimu 58.
Itaendelea...
Soma sehemu ya pili hapa
Soma sehemu ya tatu hapa
Soma sehemu ya nne hapa
Soma sehemu ya tano hapa
Soma sehemu ya sita hapa
Soma sehemu ya saba hapa
Soma sehemu ya nane hapa
Soma sehemu ya tisa hapa
Kwanza FAT ilianzishwa mwaka 1930 lakini haikuwa rasmiKama ligi ilianza 1965, na FAT ilianzishwa 1945, hii miaka 20 FAT (TFF) ilikuwa inasimamia UMISETA??
Acheni kujiumiza ili tu kutaka kudogosha takwimu za Yanga. Aliye juu yupo juu tu ndugu.View attachment 2666381
Hio ya FAT kuanzishwa 1930 umeitoa wapi? mbona kwenye history inasema 1945Kwanza FAT ilianzishwa mwaka 1930 lakini haikuwa rasmi
Rasmi imekuja kutambulika na FIFA mwaka 1965
Ni sawa na Yanga ukisoma historia ilianzishwa mwaka 1920s huko, lakini ilianza kutambuliwa rasmi mwaka 1935.
Na hata hayo mashindano unayosema mengi hayakuwa rasmi yalikuwa ni local, mengine yalikuwa ni ligi za Dar Es Salaam tu hapa ambazo ushindi wake watu wa.ejihesabia kwenye ligi ya bara.
Pia kuna mashindano yaliyohusisha timu za Visiwani ambapo hayo mashindano hayaana vigezo vya kusema ni ligi ya bara.
Soma sehemu ya tatu utawekewa vizuri
Kwani data za mtibwa zina upotofu?Naye data zake zina walakini. Mbona hajaitaja MTIBWA SUGAR ambayo ilichukua ubingwa mara 2 mfululizo 1999 na 2000?
Huu ni msongo wa mawazoAnaandika Zakazakazi,
YANGA SIYO MABINGWA MARA 29 NA SIMBA SIYO MABINGWA MARA 22
Hii ni changamoto kwa wadau wote wa soka nchini Tanzania; wachambuzi, waandishi wa habari, mamlaka za soka na serikali kwa maana ya wizara ya michezo na baraza la michezo.
Fanyeni utafiti na mje na majibu sahihi maana siku zinavyozidi kwenda, uongo unakuwa ukweli kwa sababu watu wanaamini yasiyo sahihi.
Ligi ya Tanzania ilianza mwaka 1965 ikiitwa Klabu Bingwa ya Taifa. Hadi mwaka huu, 2023, ni miaka 58. Maana yake kuna mabingwa 58 wanatakiwa kuwepo.
Sasa kama Yanga ni mabingwa mara 29, Simba mara 22 maana yake hawa wawili peke yao wamechukua ubingwa mara 51.
Katika misimu 58, imebaki misimu 7 pekee ambayo wamechukua wengine.
Hao wengine ni wafuatao.
Cosmopolitan -1 (1967)
Mseto -1 (1975)
Pan African - 1 (1982)
KMKM - 1 (1984)
Majimaji - 3 (1985, 1986 na 1998)
African Sports - 1 (1988)
Malindi - 2 (1989 na 1992)
Pamba - 1 (1990)
TZ Prisons - 1 (1999)
Azam FC - 1 (2014)
Jumla 13
Ukijumlisha na zile 51 za Yanga na Simba, unapata 64...inawezekanaje?
Ligi iliyochezwa miaka 58 inakuwaje na mabingwa 64...hesabu za wapi hizo?
Timu zilizotajwa hapo ndiyo mabingwa wa Tanzania wanaotambuliwa na CAF na FIFA, na ndiyo walioshiriki Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika katika miaka husika.
Ndiyo maana nilianza kwa kutoa changamoto kwa wadau.
Tembeleeni tovuti za CAF na FIFA muone ni timu zipi ziliiwakilisha Tanzania kwenye Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika kuanzia 1965.
UKWELI
Yanga ni mabingwa mara 22 na Simba mara 21.
22+21= 43 - Yanga na Simba
43+13=56 - Jumla (kati ya 58)
NB: Kuna misimu miwili (1970 na 2003) Tanzania hakukuwa na bingwa.
Ndiyo maana unapata mabingwa 56 katika misimu 58.
Itaendelea...
Soma sehemu ya pili hapa
Soma sehemu ya tatu hapa
Soma sehemu ya nne hapa
Soma sehemu ya tano hapa
Soma sehemu ya sita hapa
Soma sehemu ya saba hapa
Soma sehemu ya nane hapa
Soma sehemu ya tisa hapa
Kabla ya 1965 zilikuwa ni ndondo tuMuulizeni Zaka Za Kazi.
Kama Ligi Kuu ilianzishwa mwaka 1965,
Je Yanga SC (iliyo anzishwa mwaka 1935) na
Simba SC (iliyo anzishwa mwaka 1936)..zilikuwa zina fanyanini wakati wote huo wa miaka 30?
Jibu langu:-
Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania lilikuwa affiliated na CAF kuanzia mwaka 1965.
Ndipo hapo Shirikisho la soka Tanzania likaanza kujitambua kama siku yake ya kuzali.
Lakini lilikuwa likifanya kazi tangu hapo awali basi nankutotambulika kihalali kama mashirika ya soka mengine ya ulimwengu.
Haujagusa hojaPoleni wote wenye kupitia maumivu makali . Wazee wa kutafuta history iwapunguzie maumivu. Wazee wa kupingana na ukweli. Endeleeni kujichelewesha.
.
Muhimu kwa sasa mpambanieni fei kiatu. Hiyo nyingine imeisha. Itaanza ligi mtanung'unika tena baada ya YANGA kuchukua tena
Haujagusa hojaPoleni wote wenye kupitia maumivu makali . Wazee wa kutafuta history iwapunguzie maumivu. Wazee wa kupingana na ukweli. Endeleeni kujichelewesha.
.
Muhimu kwa sasa mpambanieni fei kiatu. Hiyo nyingine imeisha. Itaanza ligi mtanung'unika tena baada ya YANGA kuchukua tena
Kwanza habari za huko ulipo kua ume jificha, pili pole na maumivu makali unayopitia, tatu mwakani hali itakua mbaya zaidi ya sasa mwisho endelea kumkandia Aziz K roho mbaya yako inahitajikaHoja hujibiwa kwa hoja sio personal attacks