Zakazakazi: Yanga sio Mabingwa mara 29 na Simba sio Mabingwa mara 22

Naye data zake zina walakini. Mbona hajaitaja MTIBWA SUGAR ambayo ilichukua ubingwa mara 2 mfululizo 1999 na 2000?
soma post zote za zakazakazi ameongelea hizo data,
jamaa kaanika ukweli wote, simba na yanga walikua wanatudanganya!
 
Kama ligi ilianza 1965, na FAT ilianzishwa 1945, hii miaka 20 FAT (TFF) ilikuwa inasimamia UMISETA??

Acheni kujiumiza ili tu kutaka kudogosha takwimu za Yanga. Aliye juu yupo juu tu ndugu.
 
Kama ligi ilianza 1965, na FAT ilianzishwa 1945, hii miaka 20 FAT (TFF) ilikuwa inasimamia UMISETA??

Acheni kujiumiza ili tu kutaka kudogosha takwimu za Yanga. Aliye juu yupo juu tu ndugu.View attachment 2666381
Kwanza FAT ilianzishwa mwaka 1930 lakini haikuwa rasmi

Rasmi imekuja kutambulika na FIFA mwaka 1965

Ni sawa na Yanga ukisoma historia ilianzishwa mwaka 1920s huko, lakini ilianza kutambuliwa rasmi mwaka 1935.

Na hata hayo mashindano unayosema mengi hayakuwa rasmi yalikuwa ni local, mengine yalikuwa ni ligi za Dar Es Salaam tu hapa ambazo ushindi wake watu wa.ejihesabia kwenye ligi ya bara.

Pia kuna mashindano yaliyohusisha timu za Visiwani ambapo hayo mashindano hayaana vigezo vya kusema ni ligi ya bara.

Soma sehemu ya tatu utawekewa vizuri
 
Hio ya FAT kuanzishwa 1930 umeitoa wapi? mbona kwenye history inasema 1945
 
Hii topic ina complications nyingi kila source ina data zake hapa inaonekana Yanga ana makombe 28
 
Nilishakosa Imani na baadhi ya mashabiki wa Jf acha tu nikae kimya.
 
Zakazakazi awapongeza Yanga kwa kutwaa ubingwa wa 23 wa ligi kuu

Your browser is not able to display this video.
 
Full interview
Your browser is not able to display this video.
 
Huu ni msongo wa mawazo
 
Kabla ya 1965 zilikuwa ni ndondo tu
 
Haujagusa hoja

Ni kwasababu hauwezi kui refute kwakua ni kweli.
 
Haujagusa hoja

Ni kwasababu hauwezi kui refute kwakua ni kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…