Zakazakazi: Yanga sio Mabingwa mara 29 na Simba sio Mabingwa mara 22

Zakazakazi: Yanga sio Mabingwa mara 29 na Simba sio Mabingwa mara 22

Huyo Zaka za Kazi, anaonekana ana maumivu makali kwenye moyo. Hivyo sina lolote la kusema juu ya hayo malalamiko yake.
Maumiivu makali ni pamoja na huyu mleta Uzi. Huwezi kubadiri history kwa kuipachika pachika vya kuokoteza kulazimisha hoja zako. Pole yao kwa maumivu. Hasa kwa huyu scars anajaribu na kuvimba kabisa waje hapo. Umechelewa
 
Muulizeni Zaka Za Kazi.

Kama Ligi Kuu ilianzishwa mwaka 1965,

Je Yanga SC (iliyo anzishwa mwaka 1935) na
Simba SC (iliyo anzishwa mwaka 1936)..zilikuwa zina fanyanini wakati wote huo wa miaka 30?


Jibu langu:-

Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania lilikuwa affiliated na CAF kuanzia mwaka 1965.

Ndipo hapo Shirikisho la soka Tanzania likaanza kujitambua kama siku yake ya kuzali.

Lakini lilikuwa likifanya kazi tangu hapo awali basi nankutotambulika kihalali kama mashirika ya soka mengine ya ulimwengu.
Epl ilianzishwa mwaka gani?

Kaangalie umri wa Club ya Man U halafu uje ujibu hilo swali lako
 
Akitumia takwimu za walioshiriki Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika pekee anaweza kuwa anakosea. Nafikiri kuna wakati aliyekuwa anashiriki Klabu Bingwa ni aliyechukua Kombe la Muungano, kama sikosei kwa hiyo hapo tayari Bingwa wa Tanzania Bara alikuwa amepatikana, unless hakuwa anatambulika kama bingwa. Ila aangalie na hizo data na taratibu za kipindi kile za kupata mabingwa. Yanga wana tabia za kupotosha kwa hiyo sitashangaa kama na hili wamelilazimisha.

Ila ningependa Yanga wakumbushwe kuwa hadi mashindano ya CECAFA level ya vilabu yanasitishwa, Simba ndiyo anashikilia rekodi ya kulichukua mara nyingi.
Hoja yake inahusu Yanga na Simba lakini anatajwa Yanga tu sawa tuache hayo vipi shirikisho letu la mpira nalo linasemaje? Maana bingwa hajitaji mwenyewe
 
Ata sema zilikuwa zina cheza gombania ball
Mkuu kaangalie list ya Club kongwe Ulaya kabla hata ligi KUU kuanza ndio utaelewa ninachokiandika.

Kipindi ambacho Simba na Yanga zimeanzishwa kulikuwa na mashindano local tu ambayo hayana hadhi ya kua ligi kuu.

Ni sawa na mashindano yanayochezwa na timu za mtaani tu
 
Hoja yake inahusu Yanga na Simba lakini anatajwa Yanga tu sawa tuache hayo vipi shirikisho letu la mpira nalo linasemaje? Maana bingwa hajitaji mwenyewe
Ila ukiangalia mnufaika wa takwimu anazokosoa ni Yanga maana amekwangua ubingwa wao toka 29 hadi 22 na kupunguza gape kati ya Yanga na Simba kwa tofauti ya 1 badala ya 7.

Na pia ukitegemea TFF waje watolee ufafanuzi, utasubiri saaana. Muhimu mtu ajitolee kufanya utafiti wa kina usio na mashaka yoyote.
 
Zinaweza zikawa hazina manufaa kwasababu upande mmoja utaenda kuonekana ni inferior kwakua utakuwa downgraded

Ila kwanini tuache kusema ukweli ili kuzuia takwimu za uongo zisiendelee kumea?
Wewe na huyo Zaka Zakazi kuna kitu mmeshindwa kuelewa. Kuna ligi ya muungano na ligi ya Tanzania bara. 29 kwa Yanga na 22 kwa Simba ambazo zinahesabiwa ni kwa makombe ya ligi ya Tanzania bara. Kuna wakati ligi ilikuwa inahusisha timu kutoka Zanzibar na kuitwa ligi ya muungano. Kuna timu zilikuwa zinachukua ubingwa wa Tanzania bara pekee na zingine zilikuwa zinachukua yote mawili kwa pamoja (Muungano na bara)
 
Ila ukiangalia mnufaika wa takwimu anazokosoa ni Yanga maana amekwangua ubingwa wao toka 29 hadi 22 na kupunguza gape kati ya Yanga na Simba kwa tofauti ya 1 badala ya 7.

Na pia ukitegemea TFF waje watolee ufafanuzi, utasubiri saaana. Muhimu mtu ajitolee kufanya utafiti wa kina usio na mashaka yoyote.
TFF waoga sana wanajua hii kitu itavyokuja kuleta ugomvi
 
Wewe na huyo Zaka Zakazi kuna kitu mmeshindwa kuelewa. Kuna ligi ya muungano na ligi ya Tanzania bara. 29 kwa Yanga na 22 kwa Simba ambazo zinahesabiwa ni kwa makombe ya ligi ya Tanzania bara. Kuna wakati ligi ilikuwa inahusisha timu kutoka Zanzibar na kuitwa ligi ya muungano. Kuna timu zilikuwa zinachukua ubingwa wa Tanzania bara pekee na zingine zilikuwa zinachukua yote mawili kwa pamoja (Muungano na bara)
Ni kweli ila swali lingine, je ni sahihi kuweka pembeni takwimu za waliochukua Muungano au na zenyewe inabidi tuzijumuishe pale timu inapojigamba kuwa imechukua ubingwa mara kadhaa?

Kwa nini Yanga hawajumuishi takwimu za Kombe la Muungano?
 
Wewe na huyo Zaka Zakazi kuna kitu mmeshindwa kuelewa. Kuna ligi ya muungano na ligi ya Tanzania bara. 29 kwa Yanga na 22 kwa Simba ambazo zinahesabiwa ni kwa makombe ya ligi ya Tanzania bara. Kuna wakati ligi ilikuwa inahusisha timu kutoka Zanzibar na kuitwa ligi ya muungano. Kuna timu zilikuwa zinachukua ubingwa wa Tanzania bara pekee na zingine zilikuwa zinachukua yote mawili kwa pamoja (Muungano na bara)
Sasa hii si kama Mapinduzi tu ambayo saizi inaitwa Bonanza?
 
Muulizeni Zaka Za Kazi.

Kama Ligi Kuu ilianzishwa mwaka 1965,

Je Yanga SC (iliyo anzishwa mwaka 1935) na
Simba SC (iliyo anzishwa mwaka 1936)..zilikuwa zina fanyanini wakati wote huo wa miaka 30?


Jibu langu:-

Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania lilikuwa affiliated na CAF kuanzia mwaka 1965.

Ndipo hapo Shirikisho la soka Tanzania likaanza kujitambua kama siku yake ya kuzali.

Lakini lilikuwa likifanya kazi tangu hapo awali basi nankutotambulika kihalali kama mashirika ya soka mengine ya ulimwengu.
Hilo ndilo jibu sahihi,, ukitaka kujua hesabu ya miti shambani hauhesabu matawi unahesabu mashina.
 
Ni kweli ila swali lingine, je ni sahihi kuweka pembeni takwimu za waliochukua Muungano au na zenyewe inabidi tuzijumuishe pale timu inapojigamba kuwa imechukua ubingwa mara kadhaa?

Kwa nini Yanga hawajumuishi takwimu za Kombe la Muungano?
Takwimu za Muungano zinajitegemea, ni kama tu ilivyo kwa Mapinduzi
 
Back
Top Bottom