Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
- Thread starter
- #21
Makalio ya maza wakoKumbe ndo dalili yake ilivyo umesumbuliwa na huo ugonjwa kwa muda gani mpaka umekuwa expert namna hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makalio ya maza wakoKumbe ndo dalili yake ilivyo umesumbuliwa na huo ugonjwa kwa muda gani mpaka umekuwa expert namna hiyo?
Makalio ya maza wako
Kupotezaje?Muhuni kama wewe ni wakupoteza tuu.
Kupotezaje?
Mimi sio muoga. Nilidhani kunipoteza njia. Mafala kama huwa nawapelekea moto mpaka wanakojoaNamaanisha kukupotezea, kumbe muoga tuu [emoji38]
Vijana wa miaka hii hawana huo ujasiri Mkuu, waliweza miaka ile akina Marehemu Captain Peter Zakaria sio hawa wa leoEndelea kuamini hivyo unadhani mapinduzi yanafanywa na hao wenye vyeo vikubwa jeshini haapana hao umri umekwwnda na wana security ya maisha yao mara nyingi ni hao wadogo wasio na vyeo vikubwa ndio wanaopindua na hata huku inawezekana
Huwa unapelekewa moto mpaka unakojoa kumbe we ni upindeMimi sio muoga. Nilidhani kunipoteza njia. Mafala kama huwa nawapelekea moto mpaka wanakojoa
Ila tuna ushenzi wetu mwingine tu. 😂😂😂Kama haujui geopolitics ndio utahisi unavyohisi, huo mchezo wa mapinduzi sio mgeni huko West Africa, huku kwetu hatuna huo upuuzi.
Naaam huku box la kura huwa lina vichekesho wakati mwingineIla tuna ushenzi wetu mwingine tu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kugeuza manenoHuwa unapelekewa moto mpaka unakojoa kumbe we ni upinde
Si wewe umezoea kugeuzwa upinde wewe...ukileta uhuni utajibiwa kihuni.Acha kugeuza maneno
Kwa namna CCM inavyokaa madarakani bila ridhaa ya umma, ni aidha machafuko, au mapinduzi ya kijeshi. Bila mambo hayo kutokea, CCM itaendelea kukaa madarakani kwa shuruti. Mapinduzi ya kijeshi ndio yatawezesha kupata katiba mpya yenye maoni ya wananchi. Ni suala la muda tu lazima hilo litokee Tanzania.Kama haujui geopolitics ndio utahisi unavyohisi, huo mchezo wa mapinduzi sio mgeni huko West Africa, huku kwetu hatuna huo upuuzi.
Haya ndio matamanio ya kila mwizi wa kura ndani ya nchi hii. Kwa taarifa yako hiki ni kizazi kingine, CCM wamekuwa wakipora chaguzi za nchi hii, hiyo imepelekea watu kupuuza box la kura. Na kwa kuwa CCM haiko madarakani kwa ridhaa ya umma, na hawako tayari kuheshimu matokeo ya kura, machafuko au mapinduzi ndio njia pekee kwa sasa.Kwa namna Siasa ya Nchi yetu inavyoendeshwa ni ngumu sana kushuhudia mapinduzi ya kijeshi.
Misingi ya Nchi yetu imewekwa kwenye mwamba imara
Kati ya miaka 1960 na 1990 mapinduzi kila kona Africa.Naona ile miaka ya akina John Okello imerudi Afrika
Hofu ya akina John Okello imetanda kila kona
Huko kenya kuna hofu kubwa imetanda.
Hapa bongo leo imetoka kauli tata.
Huko Afrika Magharibi ni utata mtupu. Kila rais anahofu kubwa.
Je Afrika inawahitaji akina John Okello?
We jamaa umepindua ujumbeUfisadi hausababishi mapinduzi, ila pesa za ufisadi kutowafikia wanajeshi ndiko huleta mapinduzi.
Huyo ni ccm lumumba pure. Jina lisikupoteze njiaKamanda Usiyechoka mnaendeleaje hapo Ufipa?
Hapana. Huyo ni CHADEMA ila kaamua kuwa mkweli.Huyo ni ccm lumumba pure. Jina lisikupoteze njia