Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Huyo mtu kavurugwa. Hajui hata jinsi yake😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mtu kavurugwa. Hajui hata jinsi yake😄
Kuuza bandari na rasilimali nyingine za taifa ndiko kunawaponza majizi ya CCM kuhofia kwamba watang'olewa madarakani kwa nguvu ya umma. Hii dhambi itayatafuna mpaka yanaingia kaburini.Naona ile miaka ya akina John Okello imerudi Afrika
Hofu ya akina John Okello imetanda kila kona
Huko kenya kuna hofu kubwa imetanda.
Hapa bongo leo imetoka kauli tata.
Huko Afrika Magharibi ni utata mtupu. Kila rais anahofu kubwa.
Je Afrika inawahitaji akina John Okello?
Makalio ya maza wakowe ni shoga nini, mbona unamfuatilia mwanamme mwenzio namna hiyo?
Hawajui tuwaambie hao wapumbavu wanaoota mchana, wasilinganishe nchi yetu na vitu vya ajabu. sisi tuko imara
Ni hitaji la kila mpenda maendeleo, shida ni kwamba hawa watawala wamefanikiwa kuweka machawa wao kila mahali kwa ujira wa kuwanywesha Pombe na nyama choma.This situation will come to an end, no matter what.