Zama za akina John Okello zimerudi Afrika. Kila taifa linahofia Mapinduzi. Ufisadi ndio kichocheo cha Mapinduzi

Zama za akina John Okello zimerudi Afrika. Kila taifa linahofia Mapinduzi. Ufisadi ndio kichocheo cha Mapinduzi

Maranyingi wahenga husema historia Huwa inajirudia.
 
Haya ndio matamanio ya kila mwizi wa kura ndani ya nchi hii. Kwa taarifa yako hiki ni kizazi kingine, CCM wamekuwa wakipora chaguzi za nchi hii, hiyo imepelekea watu kupuuza box la kura. Na kwa kuwa CCM haiko madarakani kwa ridhaa ya umma, na hawako tayari kuheshimu matokeo ya kura, machafuko au mapinduzi ndio njia pekee kwa sasa.
Usemacho ni sahihi lakini sio kwa kizazi hichi kinachoendekeza Uchawa kwa ujira wa Beer za bure .....

Fikiria ni Vijana wangapi hawana ajira Nchi hii, lakini umewahi kusikia hata wakiandamana?

Kumbuka tangu 2015 hadi 2021 Wafanyakazi wa Nchi hii hawakuwahi kupewa ongezeko la mshahara, vipi ulisikia wakiandamana?

Kizazi cha majasiri kiliishia Mwaka 1983, hawa wengine wote ni kondoo tu
 
Viongozi ndio chanzo cha majanga yote Afrika.
ufisadi wakishirikiana na mataifa ya kigeni huku wakizidi kuwafukarisha raia wao.
Wanajiwekea Kinga na Sheria zinazowalinda wao dhidi ya wananchi wao. Afrika nazani tuna laana
Ni bora ufanye ufisadi maana ukiondoka unaiacha nchi, sasa mtu anauza kila kitu.., its a whole different case this time.., na matokeo ya haya ni lazima yawe very radical.., huwezi ukauza nchi ukabaki salama, nyie mmewahi kuona wapi?!
 
Usemacho ni sahihi lakini sio kwa kizazi hichi kinachoendekeza Uchawa kwa ujira wa Beer za bure .....

Fikiria ni Vijana wangapi hawana ajira Nchi hii, lakini umewahi kusikia hata wakiandamana?

Kumbuka tangu 2015 hadi 2021 Wafanyakazi wa Nchi hii hawakuwahi kupewa ongezeko la mshahara, vipi ulisikia wakiandamana?

Kizazi cha majasiri kiliishia Mwaka 1983, hawa wengine wote ni kondoo tu
This situation will come to an end, no matter what.
 
Naona ile miaka ya akina John Okello imerudi Afrika

Hofu ya akina John Okello imetanda kila kona

Huko kenya kuna hofu kubwa imetanda.

Hapa bongo leo imetoka kauli tata.

Huko Afrika Magharibi ni utata mtupu. Kila rais anahofu kubwa.

Je Afrika inawahitaji akina John Okello?
Usitarajie kisichowezekana Dogo!
 
Kwa namna Siasa ya Nchi yetu inavyoendeshwa ni ngumu sana kushuhudia mapinduzi ya kijeshi.

Misingi ya Nchi yetu imewekwa kwenye mwamba imara
waambie hao wapumbavu wanaoota mchana, wasilinganishe nchi yetu na vitu vya ajabu. sisi tuko imara
 
Kwa namna CCM inavyokaa madarakani bila ridhaa ya umma, ni aidha machafuko, au mapinduzi ya kijeshi. Bila mambo hayo kutokea, CCM itaendelea kukaa madarakani kwa shuruti. Mapinduzi ya kijeshi ndio yatawezesha kupata katiba mpya yenye maoni ya wananchi. Ni suala la muda tu lazima hilo litokee Tanzania.
nyie ni mazuzu tu, endeleeni kujidanganya
 
Kwa namna CCM inavyokaa madarakani bila ridhaa ya umma, ni aidha machafuko, au mapinduzi ya kijeshi. Bila mambo hayo kutokea, CCM itaendelea kukaa madarakani kwa shuruti. Mapinduzi ya kijeshi ndio yatawezesha kupata katiba mpya yenye maoni ya wananchi. Ni suala la muda tu lazima hilo litokee Tanzania.
Tanzania ya Ufipa labda... punguza kuota mchana ukiwa macho.
 
Back
Top Bottom