Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
- Thread starter
- #41
Mhuni maza wakoMuhuni kama wewe ni wakupotezea tuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhuni maza wakoMuhuni kama wewe ni wakupotezea tuu.
Umenena vyemaHapana. Huyo ni CHADEMA ila kaamua kuwa mkweli.
Alishafariki sasa sijui anaufanyia wapi uhuni? Nasubiria jibu lako ili nikuletee hypersonic missile nipewe ban.Mhuni maza wako
Naomba nyeo hilo nilipofoeAlishafariki sasa sijui anaufanyia wapi uhuni? Nasubiria jibu lako ili nikuletee hypersonic missile nipewe ban.
Unaonekana unatoto mwingi askari wa Zenji wewe.Naomba nyeo hilo nilipofoe
Toa location tupofoe nyeo hiloUnaonekana unatoto mwingi askari wa Zenji wewe.
Usemacho ni sahihi lakini sio kwa kizazi hichi kinachoendekeza Uchawa kwa ujira wa Beer za bure .....Haya ndio matamanio ya kila mwizi wa kura ndani ya nchi hii. Kwa taarifa yako hiki ni kizazi kingine, CCM wamekuwa wakipora chaguzi za nchi hii, hiyo imepelekea watu kupuuza box la kura. Na kwa kuwa CCM haiko madarakani kwa ridhaa ya umma, na hawako tayari kuheshimu matokeo ya kura, machafuko au mapinduzi ndio njia pekee kwa sasa.
Ni bora ufanye ufisadi maana ukiondoka unaiacha nchi, sasa mtu anauza kila kitu.., its a whole different case this time.., na matokeo ya haya ni lazima yawe very radical.., huwezi ukauza nchi ukabaki salama, nyie mmewahi kuona wapi?!Viongozi ndio chanzo cha majanga yote Afrika.
ufisadi wakishirikiana na mataifa ya kigeni huku wakizidi kuwafukarisha raia wao.
Wanajiwekea Kinga na Sheria zinazowalinda wao dhidi ya wananchi wao. Afrika nazani tuna laana
This situation will come to an end, no matter what.Usemacho ni sahihi lakini sio kwa kizazi hichi kinachoendekeza Uchawa kwa ujira wa Beer za bure .....
Fikiria ni Vijana wangapi hawana ajira Nchi hii, lakini umewahi kusikia hata wakiandamana?
Kumbuka tangu 2015 hadi 2021 Wafanyakazi wa Nchi hii hawakuwahi kupewa ongezeko la mshahara, vipi ulisikia wakiandamana?
Kizazi cha majasiri kiliishia Mwaka 1983, hawa wengine wote ni kondoo tu
Usitarajie kisichowezekana Dogo!Naona ile miaka ya akina John Okello imerudi Afrika
Hofu ya akina John Okello imetanda kila kona
Huko kenya kuna hofu kubwa imetanda.
Hapa bongo leo imetoka kauli tata.
Huko Afrika Magharibi ni utata mtupu. Kila rais anahofu kubwa.
Je Afrika inawahitaji akina John Okello?
Dogo baba yakoUsitarajie kisichowezekana Dogo!
Ahahahahaha!!!Dogo baba yako
Huyo ni gamba mwenzio anayejifanyanya kamanda.Kamanda Usiyechoka mnaendeleaje hapo Ufipa?
Huyo ni KAMANDA ASIYECHOKAHuyo ni gamba mwenzio anayejifanyanya kamanda.
Hamna kamanda duwanzi wa sampuli hiyo.Huyo ni KAMANDA ASIYECHOKA
waambie hao wapumbavu wanaoota mchana, wasilinganishe nchi yetu na vitu vya ajabu. sisi tuko imaraKwa namna Siasa ya Nchi yetu inavyoendeshwa ni ngumu sana kushuhudia mapinduzi ya kijeshi.
Misingi ya Nchi yetu imewekwa kwenye mwamba imara
we ni shoga nini, mbona unamfuatilia mwanamme mwenzio namna hiyo?Kupotezaje?
nyie ni mazuzu tu, endeleeni kujidanganyaKwa namna CCM inavyokaa madarakani bila ridhaa ya umma, ni aidha machafuko, au mapinduzi ya kijeshi. Bila mambo hayo kutokea, CCM itaendelea kukaa madarakani kwa shuruti. Mapinduzi ya kijeshi ndio yatawezesha kupata katiba mpya yenye maoni ya wananchi. Ni suala la muda tu lazima hilo litokee Tanzania.
Tanzania ya Ufipa labda... punguza kuota mchana ukiwa macho.Kwa namna CCM inavyokaa madarakani bila ridhaa ya umma, ni aidha machafuko, au mapinduzi ya kijeshi. Bila mambo hayo kutokea, CCM itaendelea kukaa madarakani kwa shuruti. Mapinduzi ya kijeshi ndio yatawezesha kupata katiba mpya yenye maoni ya wananchi. Ni suala la muda tu lazima hilo litokee Tanzania.