Zama za Kilimanjaro Express zimeisha

Mkuu badala ya kupiga picha basi na siti zake mbovu umepiga tiketi!!!
 
Wapo hovyo sio uongo...
Hayo luxury nilipanda siku moja walisema iko na choo ndani kumbe ni haja ndogo tu...sasa kuna mwanamke mmoja akafanya kubwa badala ya ndogo Aisee gari zima ilinuka safari ilikuwa chungu sana na watu walikuwa wanalalamika mno
Kwani wanawake wanakunyer?
 
mkuu majinjah, ni mashine zile. ziache tu,
we uliza tu safari zao ni za wapi, dar-sumbawanga, dar kibondo,
ukitaka kujua, wewe siku ukipanda ukishuka toka nje kaisikilize ikiwa inanguruma.
Majinjah ni scania au volvo. ,

YEREMIAH 23
Hizi hizi CDE, BUL??
Zinazojazwa maji Kila baada ya km 100 ili kupooza radiator, come on
Ilitufikisha Dodoma saa 11 jioni kutoka Moro saa nne, halafu tukafika mpanda saa 10:30 alfajiri
 
Mkuu hakuna Luxury buses Tanzania kama wanavyozitaja.

Ni ile BM moja tu yenye seat nne mwanzoni za kuweza kuadjust na kulala comfortably na ina space ya kuweka food stuffs

Mengine yote ni matangazo tu...Mara Luxury, Mara semi luxury....hamna kitu.
Na pia ma-bus yote yanayoletwa bongo hua Ni kwa ajili ya watu wafupi tu.
 
Arusha panda
1. BM
2. Tilhisho
3. Marangu

Ukikosa hayo panda
4. Extra luxury
5. Esther
Ukikosa haya hairisha safari ndugu hao wakina Kilimanjaro sijui Dar express wamejichokea ni safari za kubahatisha.
Nilipata extra luxury, niliridhishwa na huduma.
 
Kila chenye mwanzo kina mwisho wake
 
Yule anazidi kudorora daily. Subiri afundishwe kazi na akina BM. Atanyooka tu.
 
Mkuu inaelekea wewe siyo mpandaji sana wa mabasi, hao BM wana huduma mbovu sana sijawah ona ofisini kwao. Nilishaenda kukata ticket ofisini kwao nikaona isiwe shida wakati hela ni ya kwangu nikasepa. Through experience na Kilimanjaro, Luxury huwa huwa zinakuwa chache sana na mara nyingi zinaondokaga saa 3 asubuhi- na kama hazipo huwa wanakuwa fair sana kusema ukweli.
- Hii habari ya kwamba KLM wanajaza sana mpaka abiria wanakosa pa kukaa nadhani ni uongo uliotukuka 🤣 🤣 🤣 . KVC au MBAZI tu na nauli zao za 20'000 hawawezi kujaza msimu huu wa ukosefu wa abiria ndo sembuse KLM 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…