Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu badala ya kupiga picha basi na siti zake mbovu umepiga tiketi!!!Juzi kati nikawa na kijisafari cha kuelekea mikoa ya huko kaskazini mwa Tanzania.
Nikasema ngoja nipande Kilimanjaro express, duh kwa kweli nilijuta sana kupanda lile basi.
Cha kwanza tulidanganywa kuwa basi ni luxury hivyo tukakatishwa nauli kubwa ila kiuhalisia hakuna luxury bus pale, bus siti zake zimechakaa,ndani linatoa harufu kama ya uvundo flani hivi,hakuna cha AC wala TV ndani ya basi. Basi lilikua limejaza kiasi kwamba abiria wengine wakawa wamekaa pale mbele kwa dereva na tulikua tukifika karibu na mizani wanawashusha baadhi ya abiria wanawachukulia bodaboda then tunawakuta mbele ya safari tukishavuka mizani.
Wahudumu wa basi ni kama wamekata tamaa yani hawana mwamko na kazi yao wanaongea lugha mbaya kwa abiria,badala yake muda wote wa safari walikua wamekaa tu kule mbele wanapiga story pasipokusikiliza abiria
pia bus lilikua linavuja.
Kwa kweli Kilimanjaro express niliyoipanda miaka mitano huko nyuma ina tofauti kubwa sana na hii ya leo.wakati narudi Dar nikasema ngoja nijaribu kupanda BM coach,kwa kweli nimeinjoy sana kusafiri na BM,huduma nzuri sana na wahudumu wao wakarimu mno.
Kilimanjaro express msipobadilika na kufanyia kazi hizi kero za wateja wenu basi naweza kusema huu ndiyo mwisho wa zama zenu.
TUNAMAMA NA MADUVETI ndio nini mkuu?Una uhakika? Maana nimetoka Dar j3 na kuna baridi Doma tunamama na maduveti
mkuu majinjah, ni mashine zile. ziache tu,KLM ni Majinjah iliyochangamka
Hivi huyu majinjah gari huwa ananunua wapi? Sijawahi ona majinjah mpya aiseeKLM ni Majinjah iliyochangamka
Juzi nimeteremka saa kumi na nusu alfajiri hapa mpanda nikitokea Moro na Jinja boy, ama hakika cha moto nimekionaKLM ni Majinjah iliyochangamka
Hilo basi limeenda kufanya nini huko?
Kwani wanawake wanakunyer?Wapo hovyo sio uongo...
Hayo luxury nilipanda siku moja walisema iko na choo ndani kumbe ni haja ndogo tu...sasa kuna mwanamke mmoja akafanya kubwa badala ya ndogo Aisee gari zima ilinuka safari ilikuwa chungu sana na watu walikuwa wanalalamika mno
Limeenda kumsalimia bibiHilo basi limeenda kufanya nini huko?
Hizi hizi CDE, BUL??mkuu majinjah, ni mashine zile. ziache tu,
we uliza tu safari zao ni za wapi, dar-sumbawanga, dar kibondo,
ukitaka kujua, wewe siku ukipanda ukishuka toka nje kaisikilize ikiwa inanguruma.
Majinjah ni scania au volvo. ,
YEREMIAH 23
Na pia ma-bus yote yanayoletwa bongo hua Ni kwa ajili ya watu wafupi tu.Mkuu hakuna Luxury buses Tanzania kama wanavyozitaja.
Ni ile BM moja tu yenye seat nne mwanzoni za kuweza kuadjust na kulala comfortably na ina space ya kuweka food stuffs
Mengine yote ni matangazo tu...Mara Luxury, Mara semi luxury....hamna kitu.
Nilipata extra luxury, niliridhishwa na huduma.Arusha panda
1. BM
2. Tilhisho
3. Marangu
Ukikosa hayo panda
4. Extra luxury
5. Esther
Ukikosa haya hairisha safari ndugu hao wakina Kilimanjaro sijui Dar express wamejichokea ni safari za kubahatisha.
TunaTUNAMAMA NA MADUVETI ndio nini mkuu?
Tunalala na Duvet, samahani mkuu wa shule🤭🤭TUNAMAMA NA MADUVETI ndio nini mkuu?
Kila chenye mwanzo kina mwisho wakeJuzi kati nikawa na kijisafari cha kuelekea mikoa ya huko kaskazini mwa Tanzania.
Nikasema ngoja nipande Kilimanjaro express, duh kwa kweli nilijuta sana kupanda lile basi.
Cha kwanza tulidanganywa kuwa basi ni luxury hivyo tukakatishwa nauli kubwa ila kiuhalisia hakuna luxury bus pale, bus siti zake zimechakaa,ndani linatoa harufu kama ya uvundo flani hivi,hakuna cha AC wala TV ndani ya basi. Basi lilikua limejaza kiasi kwamba abiria wengine wakawa wamekaa pale mbele kwa dereva na tulikua tukifika karibu na mizani wanawashusha baadhi ya abiria wanawachukulia bodaboda then tunawakuta mbele ya safari tukishavuka mizani.
Wahudumu wa basi ni kama wamekata tamaa yani hawana mwamko na kazi yao wanaongea lugha mbaya kwa abiria,badala yake muda wote wa safari walikua wamekaa tu kule mbele wanapiga story pasipokusikiliza abiria
pia bus lilikua linavuja.
Kwa kweli Kilimanjaro express niliyoipanda miaka mitano huko nyuma ina tofauti kubwa sana na hii ya leo.wakati narudi Dar nikasema ngoja nijaribu kupanda BM coach,kwa kweli nimeinjoy sana kusafiri na BM,huduma nzuri sana na wahudumu wao wakarimu mno.
Kilimanjaro express msipobadilika na kufanyia kazi hizi kero za wateja wenu basi naweza kusema huu ndiyo mwisho wa zama zenu.
[emoji3][emoji3] Zile ni made in KibanguHivi huyu majinjah gari huwa ananunua wapi? Sijawahi ona majinjah mpya aisee
Yule anazidi kudorora daily. Subiri afundishwe kazi na akina BM. Atanyooka tu.Hiyo kampuni hata kama hapo katikati ilikuwa inatoa huduma nzuri, niseme tu kwa sasa hiyo huduma wanayotoa sasa hivi ndio level zao. Kwa sie wahenga tuliosafiri mwanzoni mwa miaka ya 2000 tulikuwa tunaikwepa maana mnaweza kuishiwa mafuta njiani....enzi hizo kampuni ilikuwa inajulikana kama Kilimanjaro trucks au Sawaya
N.B. kama taarifa ya kweli lakini maana kwa gari za Arusha kwa Kilimanjaro Express sio mbaya sana
Mkuu inaelekea wewe siyo mpandaji sana wa mabasi, hao BM wana huduma mbovu sana sijawah ona ofisini kwao. Nilishaenda kukata ticket ofisini kwao nikaona isiwe shida wakati hela ni ya kwangu nikasepa. Through experience na Kilimanjaro, Luxury huwa huwa zinakuwa chache sana na mara nyingi zinaondokaga saa 3 asubuhi- na kama hazipo huwa wanakuwa fair sana kusema ukweli.Juzi kati nikawa na kijisafari cha kuelekea mikoa ya huko kaskazini mwa Tanzania.
Nikasema ngoja nipande Kilimanjaro express, duh kwa kweli nilijuta sana kupanda lile basi.
Cha kwanza tulidanganywa kuwa basi ni luxury hivyo tukakatishwa nauli kubwa ila kiuhalisia hakuna luxury bus pale, bus siti zake zimechakaa,ndani linatoa harufu kama ya uvundo flani hivi,hakuna cha AC wala TV ndani ya basi. Basi lilikua limejaza kiasi kwamba abiria wengine wakawa wamekaa pale mbele kwa dereva na tulikua tukifika karibu na mizani wanawashusha baadhi ya abiria wanawachukulia bodaboda then tunawakuta mbele ya safari tukishavuka mizani.
Wahudumu wa basi ni kama wamekata tamaa yani hawana mwamko na kazi yao wanaongea lugha mbaya kwa abiria,badala yake muda wote wa safari walikua wamekaa tu kule mbele wanapiga story pasipokusikiliza abiria
pia bus lilikua linavuja.
Kwa kweli Kilimanjaro express niliyoipanda miaka mitano huko nyuma ina tofauti kubwa sana na hii ya leo.wakati narudi Dar nikasema ngoja nijaribu kupanda BM coach,kwa kweli nimeinjoy sana kusafiri na BM,huduma nzuri sana na wahudumu wao wakarimu mno.
Kilimanjaro express msipobadilika na kufanyia kazi hizi kero za wateja wenu basi naweza kusema huu ndiyo mwisho wa zama zenu.