Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
-
- #41
Mkuu hata kama huzipendi Bajeti ndio uziitw Porojo kweli?Niache kuangalia sinema zetu
Nkasikilize porojo🥲💩
Huyo Magufuli ndio chanzo Cha watu kuacha kufuatilia hilo bunge na siasa. Yeye ndio alikuwa analazimisha Kila siku habari zake zitangazwe. Kila mara utasikia vituo vya redio na tv wanajiunga kurusha matangazo ya rais. Aliishia kujigamba na kumwaga vitisho huku akitengeneza kundi la watu wa kumnyenyekea kama Mungu mtu.Uko sahihi kabisa, lakini hali hii inaweza kuwa imepelekewa na mambo ya viongozi wetu wanaokuwepo madarakani. Mfano mzuri tuu hivi unakumbuka awamu ya hayatti magufuli namna watu walijawa na hamu ya kufuatlia vyombo vya Habari kaka kutafuta Habari za nini setikali imefanya siku husika, serikali inajambo gani, na rais sna hotuba gani. Ukweli ni kuwa watu wamekata Tamaa na nchi Yao hawaoni haja ya kufuatlia mambo ya siasa tena kutokana na ujinga wa baadhi ya viongozi wenye Nia ovu na nchi yetu.
Bajeti za copy & paste hazina msisimko hasa ukizingatia bunge nalo limeshapoteza mvuto.Mkuu hata kama huzipendi Bajeti ndio uziitw Porojo kweli?
Kwa hiyo ni mrundikano wa matukio yaliyokosa mvuto.Bajeti za copy & paste hazina msisimko hasa ukizingatia bunge nalo limeshapoteza mvuto.
Mwisho wa kunukuuKwa sasa hakuna anayependwa sana Wala kuchukiwa sana, hivyo kundi kubwa halina hamasa tena ya kufuatilia hayo maigizo.
Shida ni bajeti na wasoma bajeti.Sijajua kama ni shida ya Watanzania au shida iko kwenye bajeti zenyewe.
Ama Watanzania wamesusa baada ya kuona hazina maana sana kwao au ni ujinga tu wanahitaji kuelimishwa.
Zamani tukiwa vijijini ukisikia leo Bajeti ya Nchi itasomwa Nchi nzima masikio na Macho ilikuwa Dodoma.
Siku hizi habari za Bajeti huzisikii sehemu yoyote wala mitaani.
Habari naona heading to Hapa Jukwani na mimi sijalifungua na lina wachangiaji na wasomaji wachache sana.
Hadi Msoma Bajeti anajaribu Kuvuta attention kwa kufananisha Note na jezi ya team ya mpira ili kupata kiki za kuforce.
Enzi za Dkt. Mkulo habari ingekuwa nyingine.
Je tatizo ni Watanzania kushadadia mipira, sanaa na miziki na kuacha mambo ya msingi au Shida ni Bajeti na wasoma bajeti.
Hili nalo mkalitazame wana nzengo
PIA SOMA
- News Alert: - Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
Naamini watanzania wana mawazo mengine wameshajua matatizo yetu hayawezi kuondolewa na wale walioyatengeneza.Hii Tabia Ya Wananchi kususia mambo ya Kitaifa sio nzuri na ina impact kubwa kwenye Social and National cohesion.
Watz sio wamoja tena
Bilashaka....wameshtukia diliNaamini watanzania wana mawazo mengine wameshajua matatizo yetu hayawezi kuondolewa na wale walioyatengeneza.
DuuhShida ni bajeti na wasoma bajeti.
Hakuna la maana kwenye hiyo bajeti wala hawana maana hao wasoma bajeti.
Kuanzia bajeti yenyewe mpaka bunge zima siku hizi kheri uangalie porn videos za Mia Khalifa na Tory lane kuliko kuangalia na kusikiliza bunge na content zake.Hii kitu kuna mtu nilikuwa namwambia jana
Zamani siku ya kusomwa bajeti Nchi yote inakuwa na hali ya ukimya...
Sehemu zenye TV watu walikuwa wanajaa wanafuatilia....Wengine unawakuta wako na headphones masikioni wanasikiliza...Na inakuwa ni mjadala kila mahali..
Siku hizi sasa....Tumewezwa na mambo ya Simba na Yanga...Na wameshatujua na ndiyo huko wanapohakikisha mambo yanakuwa sawa tuendelee kupoteza muda...Tukishtuka hadi ardhi walizonunua wazee wetu vijijini huko zimeshauzwa😄
CHADEMA.Sijajua kama ni shida ya Watanzania au shida iko kwenye bajeti zenyewe.
Ama Watanzania wamesusa baada ya kuona hazina maana sana kwao au ni ujinga tu wanahitaji kuelimishwa.
Zamani tukiwa vijijini ukisikia leo Bajeti ya Nchi itasomwa Nchi nzima masikio na Macho ilikuwa Dodoma.
Siku hizi habari za Bajeti huzisikii sehemu yoyote wala mitaani.
Habari naona heading to Hapa Jukwani na mimi sijalifungua na lina wachangiaji na wasomaji wachache sana.
Hadi Msoma Bajeti anajaribu Kuvuta attention kwa kufananisha Note na jezi ya team ya mpira ili kupata kiki za kuforce.
Enzi za Dkt. Mkulo habari ingekuwa nyingine.
Je tatizo ni Watanzania kushadadia mipira, sanaa na miziki na kuacha mambo ya msingi au Shida ni Bajeti na wasoma bajeti.
Hili nalo mkalitazame wana nzengo
PIA SOMA
- News Alert: - Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
Huo ndio uhalisia bro.Duuh
Wamalize waende waje wengine.We gave up, this government . it's not for the people.
Watu tumewaachia nchi yao wafanye watakavyo.
Wameifunika Bajeti?CHADEMA.
Umetupiga kwa uongo hapa.Tatizo mleta mada sio mfanyabiashara au consultant WA biashara
Bajeti inabeba tenda za biashara ukisikia mwaka ujao tunataka kujenga hospital ina maana kutakuwa na tenda za ujenzi,visa tiba NK
Au matrekta hakutakuwa na ushuru NK unajua kama mfanyabiashara au mkulima mkubwa ufanye nini
Mleta mada lofa
mkuu with all due respect kwakweli hakuna bashasha kama hapo nyuma!Hata Leo ilikua talk of the town
Na kumezizima
Wewe tu na chuki yako
Ndio maana na sredi umekuja kuanzisha
Punguza silesi dogo
Kuna kipindi taarifa ya habari ilkua lazima ufatilie kama ufatiliavo movies hasa za seriesSijajua kama ni shida ya Watanzania au shida iko kwenye bajeti zenyewe.
Ama Watanzania wamesusa baada ya kuona hazina maana sana kwao au ni ujinga tu wanahitaji kuelimishwa.
Zamani tukiwa vijijini ukisikia leo Bajeti ya Nchi itasomwa Nchi nzima masikio na Macho ilikuwa Dodoma.
Siku hizi habari za Bajeti huzisikii sehemu yoyote wala mitaani.
Habari naona heading to Hapa Jukwani na mimi sijalifungua na lina wachangiaji na wasomaji wachache sana.
Hadi Msoma Bajeti anajaribu Kuvuta attention kwa kufananisha Note na jezi ya team ya mpira ili kupata kiki za kuforce.
Enzi za Dkt. Mkulo habari ingekuwa nyingine.
Je tatizo ni Watanzania kushadadia mipira, sanaa na miziki na kuacha mambo ya msingi au Shida ni Bajeti na wasoma bajeti.
Hili nalo mkalitazame wana nzengo
PIA SOMA
- News Alert: - Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
Anataka kulazimisha Kiki kwa Pikipikimkuu with all due respect kwakweli hakuna bashasha kama hapo nyuma!
We dogo acha mchezo mchafu huo utakuharibu UbongoKuanzia bajeti yenyewe mpaka bunge zima siku hizi kheri uangalie porn videos za Mia Khalifa na Tory lane kuliko kuangalia na kusikiliza bunge na content zake.