Zamani ukisikia siku ya Bajeti ilikuwa Talk of the Town, Nchi ilizizima, siku hizi habari utaziona kwa uchache sana

Umetupiga kwa uongo hapa.
Wewe Una shida wahindi Leo wakijifungia ndani wanasikiliza bajeti toka mwanzo hadi mwisgi kuangalia kuna fursa gani za kibiashara ziko kwenye bajeti

Wewe hujui kitu kuwa Leo bajeti za nchi zote za jumuiya ya Afrika mashariki zimesomwa muda mmoja ili kuepuka nchi engine isitengeneze bajeti ya kuvizia nwenzie nchi ingine Ku overtake

Kesho wahindi Wana kikao kizito na ma Consultant wahindi kuangalia hiyo bajeti kuna fursa gani zilizomo wazitumie

Shauri yako wewe unawaza bajeti kama nyongeza Tu ya mshahara kinatua WA serikalini wewe
 
We dogo acha mchezo mchafu huo utakuharibu Ubongo
Bro mie sio dogo bhanaa.
Mimi ninaelezea uhalisia,tizama bunge la miaka kadhaa nyuma na tizama na bunge la sasa la mbunge kubinuka sarakasi bungeni vinafanana!?
Bunge la sasa halina mantiki halina context.
HUO NDIO UHALISIA.
 
Acha uongo
 
Bro mie sio dogo bhanaa.
Mimi ninaelezea uhalisia,tizama bunge la miaka kadhaa nyuma na tizama na bunge la sasa la mbunge kubinuka sarakasi bungeni vinafanana!?
Bunge la sasa halina mantiki halina context.
HUO NDIO UHALISIA.
 

Attachments

  • Odinga Bunge.mp4
    9.3 MB
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Ukisha kosa mvuto,hakuna mtu ambaye atakuwa na habari na wewe.Bunge halina mvuto sababu ya upumbavu.
 
Wenzetu wanakimbizana na teknoljia sisi ndio kwanza tunapandisha gharama za magari ya umeme,huku tukiwaumiza watumiaji wa gesi ya magari
 
Watu wamekata tamaa Kila siku ni afadhali ya Jana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…