Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Niwie radhi Mkuu
Umebahatika kuwa na Wazazi wote wawili (Me na Ke)? Kama hautajali unaweza kumuuliza Bi Mkubwa(Kama yu angali hai) kama aliolewa Kwa kutolewa mahari ama alichukuliwa bure kwenda kuishi na Mzee?
Tunaweza kujadili mambo ya Ndoa na mahari na kumbe mwenzetu Mtibeli hajaoa wala hana mpango wa Kuoa 🙌
Umebahatika kuwa na Wazazi wote wawili (Me na Ke)? Kama hautajali unaweza kumuuliza Bi Mkubwa(Kama yu angali hai) kama aliolewa Kwa kutolewa mahari ama alichukuliwa bure kwenda kuishi na Mzee?
Tunaweza kujadili mambo ya Ndoa na mahari na kumbe mwenzetu Mtibeli hajaoa wala hana mpango wa Kuoa 🙌