Zamaradi acha kumfananisha Billgate na Mtoto wa Kajala, Unampotosha

Anabanduliwa huyo sister tena na analiwa na makinikia kabisa! Anajua historia za hao anaowataja?

Thomas Edison alishakataa mbele ya mahakama kuitwa kilaza na gazeti moja wakati wa uhai wake.

Huyu sister hata yeye mwenyewe ni kilaza tu amebeba vyeti ambavyo havimsaidii kitu zaidi kupata kula yake ndiyo maana anasimama katika jamii anatoa mifano duni kwa mtoto ambaye anahitaji muongozo imara kutoka kwa watu makini. Mtoto ambaye mama yake kashindwa kumlea. Ukienda You tube video chafu kibao.

Atakayemuoa au anayemkula Zamaradi anafuata Papuchi na sio akili yake. Napata mashaka hata malezi ya wanae wa kuwazaa.


Wanaumeee! Tusioe wanawake wasioweza kutoa ushauri! Familia yako itakuwa mbovu
 
Unawajua kuwa kuna watu wana elimu ya ufunuo?
Mimi nilikuwa naota nafundishwa hesabu, na style yangu ya kusoma nikupitisha macho, napenda kuangalia pilau, pc yangu chuoni ilikuwa na GB 10 Ni kikesha usiku kusoma jua wazi masaa matatu ni pilau hapo, mawili msuli. Story za kutosha. Mchana

Na kuhusu migegedo usiseme hata kama kesho paper no kulemba.

Nadhani wewe ulifunga zipu. Mpaka sasa najua reference zote nilizopitia.

Waliokuwa na shida ya reference. Walikuja kwangu.

Kwanini?

Wazazi wangu baba na mama walinipa mazingira mazuri sana. Niliandaliwa kabati, kiti na meza kuanzia o level mpaka A level. Na mpaka kesho nondo zangu zipo.
Wazazi walisapoti juhudi zangu.

Swali mama msambwanda amesapoti vipo juhudi za mwanae baada ya kumpeleka shule?

Chanzo cha maendeleo duni ya mtoto ni mama yake. Kubali ukatae tu. Mpaka nipo University nakula pesa ya mama bado kuhusu masomo yangu mbali na HESLB.

Tuache mzaha elimu mazingira
 
Itabidi atuwekee screenshot za reault slip au vp?
 
Hivi walio fanikiwa bila kwenda shule wako marekani tu , hapa tanzania hawapo? kwanini asitumie mifano hai ya watu hao? . Maisha ya insta ni maisha ya hisia sana kuliko uhalisia. hivi huyo binti ana uzuri gani ? mbona mabinti wengi ni wazuri na kichwani wako vizuri.


Unamuonaje jokate (wa kisarawe), shule ipo na akili ipo! Na ni muri kuliko huyo pimbi mtoto
 
Mama anaeyemsuka mwanae wa kiume wa miaka 6 Rasta sijui vipili pili Ni bogus boga empty set hajielewa .

Uzungu mwingi mwisho Ni mburula tu

Hawezi kukupa ushauri constructive ukakujenga.

Huyo zamaradi Ni bwege tu.

Anamtia ujinga zaidi Huyo binti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…