GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mtoto wa ndugu yake na Majaliwa. Siyo mtoto wa Majaliwa
HahahaaaaaaaTanzania hata ukiwa unaishi nyumba jirani na Nyerere utaambiwa ni Mtoto wa Nyerere au Ndugu yake Nyerere. Nimefurahi ulivyomsahihisha hapo Mkuu.
Ni rahisi kuwa baba mzazi ila kuwa baba ni kazi....
Kuna tofauti saana kati ya ndoa na uchumba hata km muna watoto mia.
Pesa hainunui love ingawaje ni nyenzo muhimu katika love....
Wewe binafsi ukipewa billion na usiolewe bado kuna kitu utamis... sawa na mimi unipe trillion afu unikate pu...mb utaniwaza kweli?
Zamarad ni cheche zoefu anajua madhara ya kuwepo alipokuwa na faida ya anakoelekea...
Bariki ndoa tu.
Uyo unayemtaka wewe huja na kasepa kama mtalii ndani ya serengeti.
Mweleze kabisaumerahisishiwa na JF kuna platform nyingi hujaziona za kilimo, biashara? ur in wrong position ndugu
Vipaumbele vyako ni status, so mtegemee kutafunwa kama biggee nakutemwaKila mtu ana vipaombele vyake. Soma uelewe nilichoandika
Umesema wewe.Vipaumbele vyako ni status, so mtegemee kutafunwa kama biggee nakutemwa
Furaha ndio kila kitu
Hahaaaaaa hivi inaweza ikawa sababueeee[emoji28] [emoji28] [emoji28]Na siku zote penye ' Mkuyenge Kibiriti ' huwa hakuna furaha.
Hahaaaaaa hivi inaweza ikawa sababueeee[emoji28] [emoji28] [emoji28]
Basi sawaaaaaUnauliza Chupi bafuni?
Ikawa jioni ikawa asubuhi siku ya kwanza.
Za kunyapianyapia ni mtoto wa Kasim Majaliwa
Labda na yeye ana matoto kibao!Kijana kaopoa kongoro, huyo itakua karogwa. Wenzako wamezalisha watoto wawili yy anajitia kupotezea alaf baada ya Mwaka itaanza kumuuma kimoyo moyo anajikuta anaongeza mke wa pili kuziba nafasi ya maumivu.
[emoji86] [emoji86] kwa hiyo mwanamke akishazaa hapaswi tena kuolewa?Ila wanaume tuna tofautiana yaani kijana hata 40 haujafika unaoa mwanamke mwenye watoto 2 na mwanaume mwingine na unaamini ndoa itakua na furaha na amani, ana roho ngumu huyu dogo
Sio pesa tena??Furaha ndio kila kitu