Zamaradi ambwaga Bosi wa Clouds, aolewa na mwanaume mwingine!!

Zamaradi ambwaga Bosi wa Clouds, aolewa na mwanaume mwingine!!

Ni rahisi kuwa baba mzazi ila kuwa baba ni kazi....

Kuna tofauti saana kati ya ndoa na uchumba hata km muna watoto mia.

Pesa hainunui love ingawaje ni nyenzo muhimu katika love....

Wewe binafsi ukipewa billion na usiolewe bado kuna kitu utamis... sawa na mimi unipe trillion afu unikate pu...mb utaniwaza kweli?

Zamarad ni cheche zoefu anajua madhara ya kuwepo alipokuwa na faida ya anakoelekea...

Bariki ndoa tu.
Uyo unayemtaka wewe huja na kasepa kama mtalii ndani ya serengeti.

Mmmh ila hapo kwenye bilioni mi uvumilivu ungenishinda nauza titi moja maana yapo mawili ila ni kawaida tu hahaha
 
Wanaume wa kitanzania mnatia aibu...mwanamke akifanya maisha yake mkaona yanaenda sawa roho zinawauma mpk mnatia huruma! Mara kazaa mara mkubwa ! Wangap madada zenu wamezalishwa nyumbani na mnatamani wapate wenza wao? Ooh mara siwez kuoa mwanamke aliezaa aliyewaambia aliemuoa hana watoto ni nani? Na hata asingekua nao inawahusu? Yaone mmekalia umbea tu na kuumiza roho kwa vitu vicvyo na mcngi..nia yenu ni wanawake wateseke mbaki kuchekelea na kujiona wanaume! Zama hizo zishapita wanawake wameerevuka muda yaan unamwaga mboga wenyewe wanamwaga ugali habari za kubabaikia wanaume mataira hazipo tena! Na mtaumia roho sana mwaka huu! Tena wengine mnakazana kuropoka wakati ni watoto wa nje ya ndoa..km sio mama zenu walizalishwa na kuachwa wakalea wenyewe..mnataka mama zenu wadhihakiwe pia? Shwain kabisa nyinyi akili zote mmezimalizia chooni!
 
Kijana kaopoa kongoro, huyo itakua karogwa. Wenzako wamezalisha watoto wawili yy anajitia kupotezea alaf baada ya Mwaka itaanza kumuuma kimoyo moyo anajikuta anaongeza mke wa pili kuziba nafasi ya maumivu.
Labda na yeye ana matoto kibao!
 
Ila wanaume tuna tofautiana yaani kijana hata 40 haujafika unaoa mwanamke mwenye watoto 2 na mwanaume mwingine na unaamini ndoa itakua na furaha na amani, ana roho ngumu huyu dogo
[emoji86] [emoji86] kwa hiyo mwanamke akishazaa hapaswi tena kuolewa?
 
Back
Top Bottom