Tunaweza tukiwezeshwaaaKuna wanawake wanampongeza Zamaradi humu, tena naona wanajimegea mapande "mwanamke akipenda kapenda kweli ".
Mimi nina swali kwa dada zangu JF hivi zawadi kubwa kumpa mpenzi wako (ukiondoa, soksi, leso na boksa),ilikuwa kitu gani?
Kuna wengine wakumbuki lini washawahi kuwapa zawadi wapenzi wao.Bango hilo mnaliona hapo mil 6 kwa mwezi moyo huo mnao dada zangu wa JF.
Nawaombea wapendwe na wadada wanaospoil wataelewa[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]jamani ma mkwe uko sahihi kabisaa dear!kuugua sio kufa wanakufa wazima daily wanabaki hao wanaoambiwa wana ugonjwa. In short ni wivu tuu!
Interchange ya Ubungo mkweYaani Sanamu lako tuliweke wapiii?!!Posta Au Sinzaa...!!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwenza happy Valentine's[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daah aise jamaa kaula.. saivi atazichakata mpaka achoke. Maana wanawake watamiminika kwake kutaka kujua ni kipi hasa alicho nacho mpaka apendwe kiasi hicho..! 😄
Huyo jamaa ni mpwa wa Waziri mkuu usimkadirie bossNikimcheki Jamaa namuona wa Kawaida Sana Kulinganisha na huyo Zamaradi. Tena Jina la Shabani ni kama Mwamedi. Anyway Bro unabahati sana
Alafu kuna mpaka wanaume wamepost hilo bango bila hata aibu 😊
Sio jambo jepesi kuvumilia na kuoa singo maza yenye watoto zaidi ya mmoja.
Tena hilo bango mwezi mmoja bado halitoshi alipie mwaka mzima.
Wadada mnakuaga wagum sana kuamin mambo..unaambiwa kabisa yule bwana ana ngoma achana nae husikii..mwisho wa siku unayavagaa unalaumu..aisee...mim huyo dada namjua kuliko unavyodhan..niishie hapa..na huyo jasiri muongoza way..nishafanya nae had kazi fulan fulan..so nawajua fika..na the whole industry ya entertainment inajua ...wako kimya tu..ni wewe tu dada angu ndo hujui...au useme kama unataka umbea(in warumis voice...RIP).. sawa..hahaha
Huku mtaani wanaume tunakutana na wadada konki, wasio na mioyo ya kupenda mtu yoyote, na hao wadada wanawakilisha asilimia 98 ya wanawake wote duniani Mzigua90Sema hujapata wa kukufanyia mambo ya ngwengwe mnasema nyiee madokta wa mtaani. Msimseme mtu hali yake ya afya wakati hujampima na huna majibu yake. Sana sana mnakua mnamuonea wivu jamaa kupendwa. Maana Zama akitaka bwana wa maana zaidi anampata vizuri tu ila ndo kampenda fundi garage wake.
Jikazeni kina kaka na nyie mtakuja mpate kina Zama
Hajiamini ndio maana kaweka tangazoMtangazaji Zamaradi Mketema ametrend sana kwenye mitandao ya kijamii kutokana na kukodi Bango na kuweka ujumbe wa mahaba kwa mume wake kama zawadi ya siku ya valentines.
Bango hilo liko maeneo ya Morocco Dar es Salaam ambayo ni barabara anayopita mumewe kila siku.
View attachment 2118894
Zama amesema kuwa mumewe Bwana Shabani alifurahi sana alipompeleka eneo la tukio hadi machozi kumtoka.
View attachment 2118895
Bango hilo litakaa kwa muda wa mwezi mzima.
Note: Madanga ya shemeji yetu yajipange pamoja na mke mkubwa (kama yupo) mwenzao kawazidi kete bango kuubwa kama tangazo la Condomu.
Hahahaha…..duh. Kweli lakini. Si mchezo kuoa single maza aliye na watoto kadhaa. Jamaa anahitaji sifa pekee kwa wanaume…Sio jambo jepesi kuvumilia na kuoa singo maza yenye watoto zaidi ya mmoja.
Tena hilo bango mwezi mmoja bado halitoshi alipie mwaka mzima.
Million 6Hivi hilo bango kalipia kama sh ngapi kwa muda wa mwez mzima
Bro una hoja za kizamani sana. Zamani ndio tulikuwa tunasema " Usimuone yule jamaa Simple tu, yule wana undugu na Mkuu wa Mkoa". Mjomba wake ni Balozi Ulaya huko.Huyo jamaa ni mpwa wa Waziri mkuu usimkadirie boss