herzygovina mwangosi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 900
- 431
From Incubator status to which status
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We hapo kilicho kushangaza ni nini?Katika hali iliyoshtua wengi, Mtangazaji wa Clouds Tv , Zamaradi Mketema, ametangaza hadharani juu ya uhusiano wa kimapenzi kati yake na "BOSS" wake Ruge Mutahaba.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Zamaradi ameweka picha inayoweka wazi Mahaba ya wawili hao, picha ambayo ilipigwa wako was eneo moja la faragha.
Sambamba na picha hiyo Zamaradi aliandika " Your Mine, I am Yours. And that is Enough. My love " (Wewe ni wangu, Mimi ni wako. Hilo linatosha MPENZI WANGU).
Zamaradi ambae ni Mama wa mtoto mmoja , ameshangaza wengi kwa kuanika mahusiano hayo na "BOSS" wake. Ruge Mutahaba huwa ni mtu msiri sana, hivyo kukubali kuweka wazi mapenzi yake na Zamaradi inaonyesha jinsi gani amezama kwenye penzi la mermaid huyo wa Kitanga.
View attachment 330312 View attachment 330313 View attachment 330312
Sheria ipi mkuu?Ni kosa la jinai kujinafasi na subordinate wako (period) na ikiwa hivyo lazima utamke wazi ili mtenganishwe, huo ndio utawala bora. Kilichopo ni aidha bibie amwage manyanga au Ruge auze share aanze upya
Waja Leo waondoka Leo? Hilo nilikuwa swali unatakiwa kijabu"Ufike leo na kuondoka leo leo"!
Mkuu GENTAMYCINE ulisemaga nini ati, hebu weka udhibitisho wa post yako hapa ili wakuelewe vizuri.
hao watoto ni wa nani sasa?? huyuhuyu mzee wa KUREKEBISHAA auu???Kwa kukurekebisha tu mkuu...Zamaradi ni mama wa watoto wawili. Jujuh na Shubi
Nasikiaga kuna mashoga pale..sijui ni kweli kwa maana wavulana wengi wanafunga kifungo cha mwisho cha shati bila tai
Nasikia ruge anagegeda hatare ndo maana anagombaniwa
Waliomjaribu walishaleta mrejesho tayariUnaonaje Ukijaribu Kugegedana Nae Kisha Uturejeshee Mrejesho ULIOTUKUKA?
Anapiga katerero hatariWamesemaje Labda?
Anapiga katerero hatari
In his boyhood he did something terrible to a respected family at the "hill" by impregnating a primary school going daughter of his then foster family. Still a terrible person even in adulthood!!!