Inawezekana Ndg, sio tu miaka miwili hata miaka mitano. Kwenye biashara kuna kuanza, kukua, kukomaa na kuanguka. Miaka miwili inawezekana wako kwenye kipindi cha kukua ambapo wanatumia fedha nyingi kuliko zinazoingia.Kwa hio TV kwa muda wa 2 years haingizi kitu???
Ampe hiyo 200k tuache mboyoyo za kijingaNimjuavyo Dada Zamaradi Mketema Classmate wangu SAUT Mwanza Darasa letu la BAMC 2006 - 2009 ( japo hakuendelea tena Kusoma ) na Kujikita na Business Deals zake zingine si Mtu Mswahili na Mpuuzi wa Kushindwa Kumlipa huyo Mtu hiyo Pesa.
Sometimes ukiwa Tajiri au na Mafanikio ya Kimaisha Maadui zake hupendi Kukuharibia kupitia Watu wako wa Karibu wakiamini kwa Upumbavu ( Upopoma ) Wao kuwa Watakushusha wakati kumbe ndiyo wanazidi Kukupaisha tu Kiumaarufu.
Nakuunga mkono hoja mwamba ulichoongea kina ukweli kwa asilimia Mia kabisaKuna Jambo moja watu hawaelewi.., Biashara / Kampuni ni "an entity; sio necessarily yule CEO" Yaani mimi naweza nikawa na pesa lakini kama Biashara haizalishi sio Hekima mimi kutoa Pesa pengine ili mradi tu kuendeleza hio Biashara...
Kwahio labda tuulize vipi hio TV imezalisha kiasi gani ? ; Sio kwamba natetea kutokulipana (sababu inategemea contract) na kama contract inasema unilipe haijalishi unazalisha au hauzalishi..., Nachoongelea ni statement ya mleta uzi kwamba fulani anakosa laki mbili kweli ?..., Sababu ukiwa mtu wa kutoa hizo 200k kila zinapotakiwa mwisho wa siku na wewe utajiunga na wale wanaotafuta / wanaokosa hizo 200k
Maelezo yana ukakasi, tusidanganyane huu sio uteteziUme kariri ujinga, kaweka evidence kuwa jamaa hadai hata 100.
👉Tafuta hella, uache kuforce Mambo ya ajabu.
View attachment 2741837
Kwema lakini Kaka!, Natumai una endelea powa 🙏Maelezo yana ukakasi, tusidanganyane huu sio utetezi
Niko imara kuliko jana, karibu kakaKwema lakini Kaka!, Natumai una endelea powa 🙏
Nime furahi kusikia hivyo, tuendelee na mapambano💪Niko imara kuliko jana, karibu kaka
Hayo ndiyo kipaumbele, mengine ni kelele za chura tuNime furahi kusikia hivyo, tuendelee na mapambano💪
Powa mkuu💪Hayo ndiyo kipaumbele, mengine ni kelele za chura tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna chawa wa Zama wamevamia uzi qqmk.
Usipopata Faida ? Ndio maana Kampuni ni an Entity kama haileti faida na haina muedelezo basi wauze asset zote wadeni walipwe (The company should file for bankruptcy)Unabeba liability,kwa kutoa ya kwako unaiandikia ukipata faida unarudisha kwako
Mungu kauli zake hazipindishi alishasema ukimdhalilisha mtu nawe utadhalilishwa TU Leo Zama anadhalilika kama alivyomdhalilisha Ruge Kwa mange yule yule Tena yeye pakubwa Sana,zile VN za Ruge alivujisha kumkomoa Leo Kiko wapi!na yeye za mmewe zimevujishwa wakimpiga mtu biti,haitoshi tumejua maisha fake ya mtandaoni wanayoishi Hawa marole modo wa watu humuHio ishu inawezekana ni kweli huyo jamaa anaakili timamu kabisa awezi amka asubui na kuanza kusema anadaiwa tuu.
Inaonyesha ni kweli.
Maana zama na mume wake wamekimbilia kituo cha police kawe na kumuweka ndani kijana.
Wapo wengi tuu wamezulumiwa haki zao.
Waje tutaenda nao sambamba tu waache unaafikiKuna chawa wa Zama wamevamia uzi qqmk.
Hadithi njoo uongo njoo tamu koleaNimjuavyo Dada Zamaradi Mketema Classmate wangu SAUT Mwanza Darasa letu la BAMC 2006 - 2009 ( japo hakuendelea tena Kusoma ) na Kujikita na Business Deals zake zingine si Mtu Mswahili na Mpuuzi wa Kushindwa Kumlipa huyo Mtu hiyo Pesa.
Sometimes ukiwa Tajiri au na Mafanikio ya Kimaisha Maadui zake hupendi Kukuharibia kupitia Watu wako wa Karibu wakiamini kwa Upumbavu ( Upopoma ) Wao kuwa Watakushusha wakati kumbe ndiyo wanazidi Kukupaisha tu Kiumaarufu.
Hadithi njoo uongo
Weeee yule n bilionea ujueZamaradi ni msanii kama wasanii wengine..
Aache ubabaishaji na stori ndeeeefu
Amlipe ujira wake period