Zamaradi Mketema wa kukosa Tsh 200,000/= kweli. Malipo kwa wafanyakazi

Hivi kwa influence aliye nayo Zamaradi na mjomba wa majaliwa unategemea unaweza simamisha kesi dhidi yao na ukashinda ikiwa Waziri atapiga simu moja hapo Oysterbay?
 
Kaangalie kweny viwanda vya wahindi na kampuni watu wanavyoteseka huo usomi weka pembeni.
Ukweli ukikosa mkataba unaweza kufukuzwa na kunyanyasika mda wowote na bado muajiri akawa na kinga ya sheria .
  • Kinga gani ya kisheria? Yaani asikulipe mshahara halafu awe na Kinga ya kisheria?
  • akikufukuza kazi kinyume cha utaratibu nenda CMA (Mahakama ya kazi )
 
  • Kinga gani ya kisheria? Yaani asikulipe mshahara halafu awe na Kinga ya kisheria?
  • akikufukuza kazi kinyume cha utaratibu nenda CMA (Mahakama ya kazi )
Hauna mkataba mzee labda kama ushahidi wa maandishi pembeni.

Hivi viwanda visingetesa watu kiasi hiki.
 
Hata Dina Marios aliwahi kumlalamikia, kipindi ameenda likizo ya kujifungua akamfanyia figusu kurudi anakuta kipindi kapokonywa, anaambiwa unaenda kwa TV, akasubiri weeh hicho kipindi cha tv apewe wapi! Akaamua kujiongeza na kwenda EFM.
Kipindi hicho yeye ndio mama boss Ruge.
 
Halafu kuna watu rôlemodel wao.Yaani mtu kafika hapo alipo kwa kumseduise Ruge,akampa K mpaka akabeba mimba,akazaa .Ruge akampa maisha .Ndo leo eti anaonekana mchakarikaji.
 
Hauna mkataba mzee labda kama ushahidi wa maandishi pembeni.

Hivi viwanda visingetesa watu kiasi hiki.
- inaonekana hujui sheria za kazi, kwenye sheria ya Labour institutions Act kuna vigezo vimewekwa ambavyo vikitimia tu huyo ni mwajiriwa hata kama hamjaandikiana, mfano mtu akiwa anafanya kazi kwa mtu mwingine kwa maelekezo ya huyo mtu including muda wa kuingia kazini, masaa ya kazi, kingine mtu huyo akiwa anapewa vifaa vya kazi, akiwa amefanya kazi kwa masaa si chini ya saa45 kwa kipindi cha miezi mitatu nk
-Kasome Kesi ya Director of usafirishaji africa vs Hamis Mwakabala na wenzake.
 
Haki zipo kisheria ila sio kiutendaji naongelea uhalisia sio sheria iliyopo kwenu makaratasi ambayo hata wafanyakazi hawaijui...
 
" Is deemed to be an employee by the Minister under Section 98(3)", Unaelewa Nini hayo maneno ambayo nimeyatoa kwenye sheria ya ajira na mahusiano kazini.
Mimi naongelea uhalisia sio sheria ambazo zipo zipo tu na hazifanyi kazi ,kaangalie watu wanaofanya kazi viwandani ,watu wanaofanya kazi mshamba hata madereza...

Sheria ni too general inacover yeyote yule anaonekana ni mfanyakazi (amekizi vigezo vya kazi na anafanya kazi halali kigezo cha umri ,masaa husika na vingine) wizara inaweza kumtambuw kama mfanyakazi kisheria ..

Ila ukienda mateso ya watu kweny uhalsiia ni mengi ukiwa hauna mkataba.
 
Ata wewe kujua hii Habari ni tabia ya kike hizo.
Nawasiwasi na marinda unaweza ukawa huna.
Unatuletea habari za kike hapa, huna kazi za kufanya mwanaume unakuaje mmbea? Kama hukutaka kuzaliwa mwanaume si useme wahuni tukukamie
 
Leo anadhalilika mbaya nimeanza kumuonea huruma halafu☺️☺️☺️☺️maana mange kakichafua Tena instaa

Nimegundua ubaya una tabia ya kurudi mara 100000 asee...!!!hivi vitu kumbe vipo kweli jamani
Zama WA kudhalilika hivi
Mweee
 
Halafu kuna watu rôlemodel wao.Yaani mtu kafika hapo alipo kwa kumseduise Ruge,akampa K mpaka akabeba mimba,akazaa .Ruge akampa maisha .Ndo leo eti anaonekana mchakarikaji.
Ila Vicky 🙌🙌🙌🙌☺️☺️role model wa watu bwana!!!smart woman,akaja kuvujisha VN za ruge anaomba Msamaha!!!
Akatakaga kujoin na WCB Ili tu amuumize Ruge nadhani Kusaga alikataa asiingie Zama maana ingekua fitna kubwa ukifikiria Ruge alikua rafiki yake na boss pale clouds Ndo akaandeleza U tube yake
 
Mange Hana urafiki, Kama sio yeye aliyemtetea kipindi kile anatangazwa kaolewa na mission town
 
Mnatuchanganya si mlisema TV siyo yake ana Share zake tu hapo [emoji31]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…