Zamaradi Mketema wa kukosa Tsh 200,000/= kweli. Malipo kwa wafanyakazi

Zamaradi Mketema wa kukosa Tsh 200,000/= kweli. Malipo kwa wafanyakazi

Watu wa Kigoma asili Yao ni roho mbaya(mnisamehe wenye mkoa wenu)wakatili,wanafiki na roho kubwa...!!!jinsi alivyodhalilisha ila Kwa hili la meggy wamejua uhalisia wake sisi wengine tunamjua kitambo ilikua ni suala la muda tu,enzi Yuko Clouds kile kipindi chake Cha kuhoji mastaa idea ilikua ya Irene Paul ye Kwa kua alikua chakula ya boss wakamkatia denge akakichukua yeye!!enzi zile Yuko close na WCB akaandaa nadhani arobaini ya mwanawe akampa oda Mobetostyle amshonee wamebuni mshono akapeleka kungine wamshonee dkk za mwishoni kabisaa,Halafu shilole akaulia Kwa nguvu"usiniambie kale katoto ndo kamekushonea hivi",Kila kizuri anataka awe nacho yeye,Idea ya kitabu ya mtoto wa Faiza ,masikini WA Watu kaenda kuongea nae akambidi Tena kaibeba kampa mwanawe..Leo anajitilisha huruma huruma tu Hayo tunayoyajua,tusojayajua ni mengi
Ila mmewe nimempenda na biti balaa la kiume Lile la kuheshimisha yaani[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]
Duuuh Zama anayaweza kwa kweli, khaaah
 
Kapata kupitia ruge ila kapoteza kupitia shabani,maana nimeona mange kasema kauza nyumba alojengewa na ruge akanunua range alafu iliyobaki kamfungulia shabani ofisi
Na nyumba iliyobaki katumia kuweka dhamana crdb bank kapewa mkopo kafungua hiyo tv yake ambayo halipi wafanyakazi
Kama ni kweli anastahili kuonewa huruma,mwanaume sio wa kumlia yamini over your own kids!
Kheeh mbna shebby wanasema ana mawe, pia pia ni inblood wa PM? sasa had ofisi ndo afunguliwe na zama?

Mbna mabwakuuuu
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kuna watu wako Egocentric sema ndio mabingwa wa kutafuta Public Sympathy.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.
 
Leo anadhalilika mbaya nimeanza kumuonea huruma halafu[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]maana mange kakichafua Tena instaa

Nimegundua ubaya una tabia ya kurudi mara 100000 asee...!!!hivi vitu kumbe vipo kweli jamani
Zama WA kudhalilika hivi
Mweee
Zama ana aibika tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mange kamlipua tenaa.
 
Unatuletea habari za kike hapa, huna kazi za kufanya mwanaume unakuaje mmbea? Kama hukutaka kuzaliwa mwanaume si useme wahuni tukukamie
Sasa wewe mwenyewe unaweza ukawa shoga mkuu.
Kama mtu shoga unaongeaje na unakuja kufanya nini kwenye huu uzi mbona unachangia.
Acha kujifanya msafi wakati mtu ni full shoga.
Mkuu.
 
View attachment 2741843
Hio ni August 8 anamuuliza kama behind the gram imeditiwa .
Inaonyesha still alikuwa anapoga anafanya kazi pale.

Wewe ukifanya kazi kibalau ata cha kung'oa majana ndo usilipwe kisha hakuna mkatapa?????
sasa kama anadai mshahara mahakama ya kazi si ipo...au mahakama ya hakimu mkazi..kwa mange ndio mahakama..kwa mange ni umbea na umbea tumeupata..
 
Back
Top Bottom