swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,478
- 3,628
dina ndio alimpa shavu zamaradi pale clouds cha ajabu zama akaja kumfanyia figisu asirudi tena kutangaza pale leo hii na yeye zama yanamkuta mengine kivingine...maisha haya dooohdina marious atakuwa anamung'unya ubuyu huku anacheka.
Alimfanyia figisu Dina Marios kumbe nae atapatokaZamaradi hana kazi tena pale clouds
Yaapp si ndo Rais wa bongoUONGO MBAYA KILA KITU MNAMSINGIZIA MAKONDA KHEEEE SAKATA LA LISSU MAKONDA ANATAJWA,KUOLEWA KWA ZAMARADI MAKONDA YUPO. MAKONDA KAGEUKA SUPERMAGIC KWA KILA KITOKEACHO MJINI AISEEEE
Mwenzangu. Umeniwahi hili aiseeeedina marious atakuwa anamung'unya ubuyu huku anacheka.
ww unavomtishia maisha mwenzako VPN code yako haijulikan??Wewe hivi unadhani kujiita Miss natafuta kwenye mtandao VPN code zako hujulikana, Ni vizuri ukaheshimu mamlaka kuu, usiite bashite huku unaishi mbezi Beach tena mlinzi wako ni maombi yako ya dini be carefull, Hii ni nchi hakuna siri kwa usalama wa taifa, Wewe na ukoo wako ni sehemu tu ya watu milioni 45 ,Take care andika ukweli story za kutunga zitakucost sana
ila ruge kuwatumia vijana wake wa shilawadu kumzalilisha zama ni sawa eeh!!Huyu Mange ndo anazidi kumuharbia Zamaradi kwanza inaonekana Zamaradi ndio aliemrekodi Boss Ruge, sizani kama hii ni sahihi ukifkria kwamba wale ni wazazi, mulio karbu na Mange mwambieni pale anaiharbu familia wala hamdharirishi Ruge.. Alafu mambo ya ndani kurecordiana ndo nn.. Alafu bado mnamuita Zamaradi yupo smart upstairs kweli unamrekodi mzazi mwenzako alafu unarusha mitandaoni, hv watoto wakikua wakiona ile hali baba yao analia hadharani itakuaje...
karma mama karma........tusitendeane mabaya jamani hatujui kesho yetu.Alimfanyia figisu Dina Marios kumbe nae atapatoka
Nyinyi si ndo mmesema zama. Yupo smart upstairs, nazani kama mlimaanisha yupo smart kichwani basi kwa alichofanya huo usmart kichwani hana, maswala ya shilawadu wale ile ni kazi yao, walipokaa kimya na kupotezea hii habari sisi ndo tulipiga kelele kutaka kupata ubuyu...ila ruge kuwatumia vijana wake wa shilawadu kumzalilisha zama ni sawa eeh!!
je watoto watajisikiaje kuona mama yao anasemwa eti alikua desperate na ndoa hadi akaamua kuolewa na shamba boy wa majaliwa!!
kutesa kwa zàmuMwenzangu. Umeniwahi hili aiseeee
Vp mbona mmeanza kutishana tena?!Wewe hivi unadhani kujiita Miss natafuta kwenye mtandao VPN code zako hujulikana, Ni vizuri ukaheshimu mamlaka kuu, usiite bashite huku unaishi mbezi Beach tena mlinzi wako ni maombi yako ya dini be carefull, Hii ni nchi hakuna siri kwa usalama wa taifa, Wewe na ukoo wako ni sehemu tu ya watu milioni 45 ,Take care andika ukweli story za kutunga zitakucost sana
Amesema mwacheni na Misheni Town wake! Kwa maana nyingine, ni sawa na kusema mwacheni na mwanaume muongo wake!!!mwanaume muongo sitamvumilia kamwe? sema tu ukweli kwanini udanganye una maisha ya hali ya juu huku huna kitu?
Wewe ulikuwa wapi wakati unasikia mazungumzo ya pande zote mbili? Yaani ulikuwa unasikia anachokiongea huyo Bashite na hata alichokuwa anaongea huyo Misheni Town?! Au ni telephone operator uliyekuwa unafuatilia mazungumzo yao ya simu?Mission Town akaambiwa na Bashite, Haya sasa Sema nini unataka? Jamaa akamjibu akamwambia tumepanga kufunga ndoa mwisho wa mwezi wa kumi na moja 2017 na budget nayotakiwa kuitoa ni milioni 65, binafsi Sina hata theluthiiiii, Bashite akacheka ho ho ho ho pesa ndogo sana hyo, mm nitatoa hata milioni 100, Mission Town akapigwa na Bumbuwazi la furahaaa, sasa wakati anachekelea Bashite akasema "Nitatoa hiyo hela kwa Sharti Moja tu" ehe "Nataka Sherehe ziwe mbili, hyo ya mwezi wa kumi na moja ifanyike, Ila Ndoa nataka ifungwe wiki hii Ijumaa siku ambayo Ruge Anafanya Fiesta yake Tabora kwanza itavuruga promo ya fiesta na tutengeneze propaganda Kama Ruge kachezea shilingi chooni, na tutatumia Baadhi ya Page za watu wetu mtandaoni kusambaza Taarifa Hizi, Safari Hii hata Yule Dada wa Marekani atam'bamiza Ruge shabashhhh" Mission Town akashtuka moyoni Waaaaaaaaat? Bashite akaanza kutumia kofia yake ya Ufalume na Amri zake utasema yupo kwenye Semina za udhalilishaji za "Mji Mpya" zile Mara anaamrisha mzee flani afungwe, Bashite akamwambia Bwana Mission Town, Nataka Ndoa ifanyike ijumaa Hii hapo hapo Bashite akashika simu na kumpigia simu Tajiri mmoja alete milioni 25, Baada ya Dakika kama 50 Naaaa Mzigo ukaletwa kwenye mifuko ya Rambo, Mission Town akaaambiwa Haya Chukua hii na Usimwambie mtu yeyote kama mm nipo nyuma ya tukio hili, na ukikamilisha Kazi Hii Nakupa Pesa nyingine kwa ajili ya Sherehe kubwa ya MWEZI wa 11 tumwaibishe Ruge
.
Basi Mission Town Vuup akatoka mkuku Hadi kwa Zamaradi na kujifanya Ana Kiu ya kuhalalisha mahusiano yao eti Wafunge Ndoa Fasta kwasababu ni jambo jema huku akinukuu Maneno ya vitabu vya Dini, Kwa kuwa Zama alikua na Kiu cha Kuolewa Mara Paaaap Wakapita huku wakapita kulee Mpaka kwa Kaka wa Zamaradi Mara Paaap