Zamaradi: Niacheni na mishentown wangu

Zamaradi: Niacheni na mishentown wangu

UONGO MBAYA KILA KITU MNAMSINGIZIA MAKONDA KHEEEE SAKATA LA LISSU MAKONDA ANATAJWA,KUOLEWA KWA ZAMARADI MAKONDA YUPO. MAKONDA KAGEUKA SUPERMAGIC KWA KILA KITOKEACHO MJINI AISEEEE
Yaapp si ndo Rais wa bongo
 
Huyu Mange ndo anazidi kumuharbia Zamaradi kwanza inaonekana Zamaradi ndio aliemrekodi Boss Ruge, sizani kama hii ni sahihi ukifkria kwamba wale ni wazazi, mulio karbu na Mange mwambieni pale anaiharbu familia wala hamdharirishi Ruge.. Alafu mambo ya ndani kurecordiana ndo nn.. Alafu bado mnamuita Zamaradi yupo smart upstairs kweli unamrekodi mzazi mwenzako alafu unarusha mitandaoni, hv watoto wakikua wakiona ile hali baba yao analia hadharani itakuaje...
 
Wewe hivi unadhani kujiita Miss natafuta kwenye mtandao VPN code zako hujulikana, Ni vizuri ukaheshimu mamlaka kuu, usiite bashite huku unaishi mbezi Beach tena mlinzi wako ni maombi yako ya dini be carefull, Hii ni nchi hakuna siri kwa usalama wa taifa, Wewe na ukoo wako ni sehemu tu ya watu milioni 45 ,Take care andika ukweli story za kutunga zitakucost sana
ww unavomtishia maisha mwenzako VPN code yako haijulikan??

au ww na ukoo wako sio kati ya watz mil 45
 
Huyu Mange ndo anazidi kumuharbia Zamaradi kwanza inaonekana Zamaradi ndio aliemrekodi Boss Ruge, sizani kama hii ni sahihi ukifkria kwamba wale ni wazazi, mulio karbu na Mange mwambieni pale anaiharbu familia wala hamdharirishi Ruge.. Alafu mambo ya ndani kurecordiana ndo nn.. Alafu bado mnamuita Zamaradi yupo smart upstairs kweli unamrekodi mzazi mwenzako alafu unarusha mitandaoni, hv watoto wakikua wakiona ile hali baba yao analia hadharani itakuaje...
ila ruge kuwatumia vijana wake wa shilawadu kumzalilisha zama ni sawa eeh!!
je watoto watajisikiaje kuona mama yao anasemwa eti alikua desperate na ndoa hadi akaamua kuolewa na shamba boy wa majaliwa!!
 
ila ruge kuwatumia vijana wake wa shilawadu kumzalilisha zama ni sawa eeh!!
je watoto watajisikiaje kuona mama yao anasemwa eti alikua desperate na ndoa hadi akaamua kuolewa na shamba boy wa majaliwa!!
Nyinyi si ndo mmesema zama. Yupo smart upstairs, nazani kama mlimaanisha yupo smart kichwani basi kwa alichofanya huo usmart kichwani hana, maswala ya shilawadu wale ile ni kazi yao, walipokaa kimya na kupotezea hii habari sisi ndo tulipiga kelele kutaka kupata ubuyu...
 
Mambo ya voice note haya. Ni funzo aisee unaweza kummwagia mtu umbea au unaji sexisha kwa baby wako kumbe unarekodiwa bila kujijua. Unaumbuka kweupe.Kipindi hiki karibu cha mwisho Wa mwaka naona skendo nyingi
 
Wewe hivi unadhani kujiita Miss natafuta kwenye mtandao VPN code zako hujulikana, Ni vizuri ukaheshimu mamlaka kuu, usiite bashite huku unaishi mbezi Beach tena mlinzi wako ni maombi yako ya dini be carefull, Hii ni nchi hakuna siri kwa usalama wa taifa, Wewe na ukoo wako ni sehemu tu ya watu milioni 45 ,Take care andika ukweli story za kutunga zitakucost sana
Vp mbona mmeanza kutishana tena?!
 
Msije mkashangaa.mkaambiwa ile ni movie mpya.jasho litawatoka.
 
Albadiri imetowa majibu tofauti Nayalivyotegemewa hehehe na bado hayo manyunyu tu ya mvua tutaona mengi. Kumbe ruge naye analiaga hehehe
 
mwanaume muongo sitamvumilia kamwe? sema tu ukweli kwanini udanganye una maisha ya hali ya juu huku huna kitu?
Amesema mwacheni na Misheni Town wake! Kwa maana nyingine, ni sawa na kusema mwacheni na mwanaume muongo wake!!!
 
Mission Town akaambiwa na Bashite, Haya sasa Sema nini unataka? Jamaa akamjibu akamwambia tumepanga kufunga ndoa mwisho wa mwezi wa kumi na moja 2017 na budget nayotakiwa kuitoa ni milioni 65, binafsi Sina hata theluthiiiii, Bashite akacheka ho ho ho ho pesa ndogo sana hyo, mm nitatoa hata milioni 100, Mission Town akapigwa na Bumbuwazi la furahaaa, sasa wakati anachekelea Bashite akasema "Nitatoa hiyo hela kwa Sharti Moja tu" ehe "Nataka Sherehe ziwe mbili, hyo ya mwezi wa kumi na moja ifanyike, Ila Ndoa nataka ifungwe wiki hii Ijumaa siku ambayo Ruge Anafanya Fiesta yake Tabora kwanza itavuruga promo ya fiesta na tutengeneze propaganda Kama Ruge kachezea shilingi chooni, na tutatumia Baadhi ya Page za watu wetu mtandaoni kusambaza Taarifa Hizi, Safari Hii hata Yule Dada wa Marekani atam'bamiza Ruge shabashhhh" Mission Town akashtuka moyoni Waaaaaaaaat? Bashite akaanza kutumia kofia yake ya Ufalume na Amri zake utasema yupo kwenye Semina za udhalilishaji za "Mji Mpya" zile Mara anaamrisha mzee flani afungwe, Bashite akamwambia Bwana Mission Town, Nataka Ndoa ifanyike ijumaa Hii hapo hapo Bashite akashika simu na kumpigia simu Tajiri mmoja alete milioni 25, Baada ya Dakika kama 50 Naaaa Mzigo ukaletwa kwenye mifuko ya Rambo, Mission Town akaaambiwa Haya Chukua hii na Usimwambie mtu yeyote kama mm nipo nyuma ya tukio hili, na ukikamilisha Kazi Hii Nakupa Pesa nyingine kwa ajili ya Sherehe kubwa ya MWEZI wa 11 tumwaibishe Ruge
.
Basi Mission Town Vuup akatoka mkuku Hadi kwa Zamaradi na kujifanya Ana Kiu ya kuhalalisha mahusiano yao eti Wafunge Ndoa Fasta kwasababu ni jambo jema huku akinukuu Maneno ya vitabu vya Dini, Kwa kuwa Zama alikua na Kiu cha Kuolewa Mara Paaaap Wakapita huku wakapita kulee Mpaka kwa Kaka wa Zamaradi Mara Paaap
Wewe ulikuwa wapi wakati unasikia mazungumzo ya pande zote mbili? Yaani ulikuwa unasikia anachokiongea huyo Bashite na hata alichokuwa anaongea huyo Misheni Town?! Au ni telephone operator uliyekuwa unafuatilia mazungumzo yao ya simu?

Mwacheni Zamaradi na misheni town wake na nyie wengine endeleeni kuhangaika kutafuta wanaume JF wanaoishia kuwagonga na kuwatema!!!
 
UONGO TUUU NDO UMEWAJAAA ,,NDIO MAANA WENGI WENU HAMUOLEWI TUUU.KWA KUSHABIKIA UONGO.


IVI KILA KITU KINACHOTOKEA NIBASHITE TUUU ??????
 
Back
Top Bottom