Zamaradi: Niacheni na mishentown wangu

Zamaradi: Niacheni na mishentown wangu

Nikosa kisheria kupokea na kusambaza taarifa Zisizo za kweli...

Au ID fake NDIO zinawachanganya ???? acheni ,ushwahili...huyo MTU wenu ,mbn kaifuta iyo habar ??????


Ruge kakosea Kakosea ....zamarad nimtu mzm anajua nn anafanya ......


Ndo maana HAMUOLEWI ,kwasababu umekosa akili za kufanya maamuzi sahihi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
hata wewe hujaolewa ndio maana upo humu asubuhi yote hii....ungekuwa umeolewa saizi ungekuwa unapigwa morning glory huko.
au unamuandalia mumeo chai.
 
Kwendraaaa huna jipya . Nenda Kwenye kilimo na siasa kahubiri risala Zako
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] BAADHI YA WATU HUITAJIKA KUUNGANISHA BONGO ZAO NA MIDOMO KABLA HAWAJAONGEA.

nawe nimmoja wao.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
hata wewe hujaolewa ndio maana upo humu asubuhi yote hii....ungekuwa umeolewa saizi ungekuwa unapigwa morning glory huko.
au unamuandalia mumeo chai.
Pengine ana mwezi hajatolewa kutu muache azifurahishe ogani zake za fahamu
 
hata wewe hujaolewa ndio maana upo humu asubuhi yote hii....ungekuwa umeolewa saizi ungekuwa unapigwa morning glory huko.
au unamuandalia mumeo chai.
Akili ZAKO ziko makalioni nakwabahati MBAYA ,ukapewa tukalio tudogooooo.
 
so zamaradi kanyang'anywa na take one kabisa? ila kile kilio cha "am gonna die" si mchezo!
 
kama unakumbuka dina aliacha clouds baada ya kukaa likizo ndefu ya uzazi...
kwa mujibu wa dina mwenyewe (aliandikaga kwenye blog yake na page yake ya insta) akakuta nafasi yake leo tena imejazwa na da huu.....akaambiwa atapewa kipindi kwenye tv...dina akasubirii weeeh hamna kipindi wala nini anachopewa...ndio katika kufukunyua huku na kule akajaga kugundua zama anafanyia figisu kwa baba watoto a.k.a boss.
ndio dina akatimkia efm.
ila zama naye alikanusha hilo kupitia page yake ya insta na kichambo kidogo alimpa dina.
 
Ukweli ni kwamba,Mwanaume(asiye na future na mwanamke) anapokuwa na mwanamke anayetaka kuolewa,hawa ni watu wawili tofauti,mwanaume ataangalia jinsi gani atasuuza kiu yake ya matamanio,mwananke atasuuza kiu yake ya matamanio pia ila huku akiwaza lini anavishwa pete ya uchumba,kwa hiyo kila unalomfanyia atajalibu kulihusisha na nini hatima yake kwenye kuvikwa pete kwake,jee linamuafaka mzuri wa mahusiano yao siku kidogo za mbeleni? Akiona hayaendani na wao kuwa wamoja ki ndoa,hapo mwanamke atatfuta hata ''mzibua mtaro'' ili tuu atimize azma yake
Sasa hapa mtamlaumu misheni town wa watu,mtamlaumu makonda wa watu mnachuma dhambi tuu,Zamaradi Alishaona Ruge hana future na yeye! msifikiri ukiwa na pesa kila demu ataziabudu pesa zako au utafanya lolote tu kwa kuwa una pesa,huo ni uongo tena uongo mkubwa wapo mademu hawahusudu pesa hata kidogo wanachojali ni jinsi gani future yake,kokote anakohisi ndoto yake itatimia,atakwenda!
 
Nimesoma mengi humu, nimepata funzo humu.
JF hii wee acha tuu
 
Nchi ya umbea usioisha kila uchwao, yan kila kukicha nadhan mambo yatatulia tuwaze vingine vya muhimu mtandaon, kumbe umbea hauishagi.
Imefika mahala dume zima linakaa chumbani linakata kiuno linajirekod kisha linamtupia mange alipost...
Hahaa bongo Nyoso
 
Back
Top Bottom