Zambia: Hakainde Hichilema atangazwa mshindi wa Urais

Zambia: Hakainde Hichilema atangazwa mshindi wa Urais

Ndiyo uzuri wa DEMOKRASIA ya kweli. UKIVURUNDA unapokuwa madarakani wananchi WANAKUADHIBU wewe na chama chako kwa KUWAONDOA MADARAKANI, siyo hapa kwetu Tume FEKI ya uchaguzi na polisiccm wanatumika KUPORA Uchaguzi miaka nenda miaka rudi.
Endeleeni kujifariji mafisi ipo siku mkono utaanguka!
 
Zambia wajinga tu chama cha4 hichi kinashika nchi ila barabara yao muhimu kwa mapato ya Tunduma na nakonde border aina lami hii nchi ina shida maali vyama vimeshindwa kuwasaidia.
 
Chanzo Cha taarifa yako na Edgar Lungu wa PF ameshakubali matokeo na kumpengeza mshindi.Taarifs yako haionyeshi wapiga kura walikuwa wangapi,hii idadi ya watu uliowataja inaonyesha Kama wapiga kura walikuwa wachache Sana.
haijalishi wapiga kura walikuwa 10 au milioni. ametangazwa mshindi thats it... the rest ni irrelevant kwa sasa
 
Usiku wa leo mda wa saa 0200, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi wa nchi hiyo amtangaza Mpinzani wa Chama cha UNDP kuwa Rais wa nchi baada ya kushinda Kwa kura 2.8m akimuacha Rais Edga Lungu wa PF kwa kura kama 1M. VivA Zambia!


======

View attachment 1893970
Hichilema is popularly referred to by his initials 'HH' or Bally (slang for dad)

Zambian opposition candidate Hakainde Hichilema won Zambia's presidential election, defeating incumbent Edwar Lungu, the southern African nation's election commissionannounced early on Monday.

Hichilema secured more than 2.8 million votes, while Lungu was in second place with over 1.8 million votes in the vote held last Thursday. Hichilema, 59, had been leading in exit polls and preliminary election results released throughout the weekend.

Now, Hichilema faces the daunting task of turning around the economic fortunes of debt-laden Zambia.

Zambia, a copper-rich nation, defaulted on a $42.5 million sovereign debt payment in November.

Zambian voters look for change

Rising costs of living and the impact of the pandemic had led to frustration with Lungu's rule. He had been in office since 2015.

Voters were also concerned about rising costs of living and crackdowns on dissent. Young Zambian's often complain of a lack of opportunity.

World Bank sounds alarm over developing world's debt

A former business tycoon who entered politics, Hichilema, ran for the presidency for the sixth time this year. The 2021 election was his first victory, after he campaign was able to take advantage of dissatisfaction over Lungu's handling of the economy.

During one of his final campaign speeches, Hichilema said, "It hurts to see citizens go to bed without food in such a country," adding that Zambia's rich natural resources have not translated to well-being for the population.

"Assets worth billions of dollars are yielding nothing... to better our lives," he said.

Lungu says election was 'unfair'

Hichilema has challenged Lungu three times previously for the presidency.

Lungu had cried foul before a winner was declared, claiming the elections were neither free nor fair due to alleged acts of violence at polling stations. He would have to approach Zambia's Constitutional Court within a week to formally lodge a complaint.

Hichilema's victory comes with the backing of ten opposition parties under the banner of United Party for National Development (UPND), the largest opposition party.

Source: DW
wapinzani wa bongo wanajifariji kupitia ushindi huu
Yakwao yanawashinda kazi kupiga domo mitandaoni
 
Siyo mara ya kwanza mgombea wa upinzani kushinda. Hata hapa imetokea mara kadhaa wagombea wa ubunge na udiwani kutoka upinzani wakatangazwa kushinda. Tatizo kwetu ni kuwa wapinzani wanaposhindwa kiti cha urais basi wanalalamikia tume hata kama namba haziwasapoti kabisa
Mbona unajenga ukuta wa mabua mzee? Kwenye mazingira ya uchaguzi kama Tanzania ambapo masanduku ya kura yanapigwa kabla ya uchaguzi, watotowa shule wanapigishwa kura kabla ya siku ya uchaguzi, how can you rely on those numbers? Pale wasimamizi wa pande zingine wanapopigwa na kkufukuzwa vituoni, how do you validate the numbers?
Pale unapohusika na genge la mumiani ambao wanauroho wa madaraka kama ccm kiasi kwamba wako tayari watu wote wafe, ili mradi wasiondoke madarakani, unategemea kupata namba gani zenye uhalisia?
Pale ambapo mpinzani anatanganzwa kwa gharama kubwa sana baada ya kushinda hata katika majimbo, unawezaje kuwafanya watu wote wajinga uwaambie namba nao waseme kwlei namba hizi ni halali?

LABDA MWENDE MKAWAAMBIE HIZI HADITHI WALE MISUKULE ILIYOKO MADARINI, KWA KUWA HATA WEWE MSUKULE WA LUMUMBA, UKWELI HUU UNAUJUA.
 
Ni jambo jema! Ila kushinda upinzani haina maana na matatizo ya Nchi yataondoka! Leo hii wamalawi wanatamani Mutharika arudi madarakani, mpinzani aliyechukua nchi anazingua mbaya mnoo! Ana kashfa sasa hivi nchini kwake ya kubeba family members (ambao walichukua nafasi za maofisa wa serikali waliotakiwa kuhudhuria vikao) kwenda kwenye mkutano wa wa kiofisi London, kikubwa kilichowapeleka ni kutalii! Mimi nafikiri dhamira ya mtu ni jambo muhimu kuliko upinzani/utawala! Leo hii US na demokrasia yake yote, lakini signature moja tu ya Biden imetosha kuwarudisha Taliban Afghanistan
Ni bora kuheshimu MATAKWA ya umma kuliko nchi kukaliwa kichwani na kikundi cha KIDIKTETA cha watu wachache miaka yote
 
Zambia sio Tanzania, chadema msijifariji kupitia nchi ya Zambia,ninyi mtaendelea kuwa ndugu watazamaji Hadi miaka 1000 ijayo.
Ni kweli unachokisema kwa sababu Tanzania ccm ndio inaandaa, kusimamia na kujitangazia hayo wanayoita matokeo.

Yaani Simba anacheza na Yanga na waamuzi ni Haji Manara, Zakaria Hans Pope na Ezekiel Kimwaga, ebu niambie unategemea nini hapo kama kweli una akili kidogo hata za kukusaidia kujitawaza tu.
 
Siyo mara ya kwanza mgombea wa upinzani kushinda. Hata hapa imetokea mara kadhaa wagombea wa ubunge na udiwani kutoka upinzani wakatangazwa kushinda. Tatizo kwetu ni kuwa wapinzani wanaposhindwa kiti cha urais basi wanalalamikia tume hata kama namba haziwasapoti kabisa
tunazungumzia ya zambia kwanza tuache kidogo..
 
Usiku wa leo mda wa saa 0200, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi wa nchi hiyo amtangaza Mpinzani wa Chama cha UNDP kuwa Rais wa nchi baada ya kushinda Kwa kura 2.8m akimuacha Rais Edga Lungu wa PF kwa kura kama 1M. VivA Zambia!


======

View attachment 1893970
Hichilema is popularly referred to by his initials 'HH' or Bally (slang for dad)

Zambian opposition candidate Hakainde Hichilema won Zambia's presidential election, defeating incumbent Edwar Lungu, the southern African nation's election commissionannounced early on Monday.

Hichilema secured more than 2.8 million votes, while Lungu was in second place with over 1.8 million votes in the vote held last Thursday. Hichilema, 59, had been leading in exit polls and preliminary election results released throughout the weekend.

Now, Hichilema faces the daunting task of turning around the economic fortunes of debt-laden Zambia.

Zambia, a copper-rich nation, defaulted on a $42.5 million sovereign debt payment in November.

Zambian voters look for change

Rising costs of living and the impact of the pandemic had led to frustration with Lungu's rule. He had been in office since 2015.

Voters were also concerned about rising costs of living and crackdowns on dissent. Young Zambian's often complain of a lack of opportunity.

World Bank sounds alarm over developing world's debt

A former business tycoon who entered politics, Hichilema, ran for the presidency for the sixth time this year. The 2021 election was his first victory, after he campaign was able to take advantage of dissatisfaction over Lungu's handling of the economy.

During one of his final campaign speeches, Hichilema said, "It hurts to see citizens go to bed without food in such a country," adding that Zambia's rich natural resources have not translated to well-being for the population.

"Assets worth billions of dollars are yielding nothing... to better our lives," he said.

Lungu says election was 'unfair'

Hichilema has challenged Lungu three times previously for the presidency.

Lungu had cried foul before a winner was declared, claiming the elections were neither free nor fair due to alleged acts of violence at polling stations. He would have to approach Zambia's Constitutional Court within a week to formally lodge a complaint.

Hichilema's victory comes with the backing of ten opposition parties under the banner of United Party for National Development (UPND), the largest opposition party.

Source: DW
One Zambia, One Nation! Congratulations Chililabombwe squad!
 
Edgar Lungu kilichomkuta haki yake

Alifungia sana uhuru wa kuabudu na alifunga makanisa kibao akiyaita ya uchochoroni hayataki Zambia. Wakamwambia hutashinda sababu umeingilia uhuru wa kuabudu akasema kwendeni huko nyie vikanisa vidogo mna nini hata vikura vyenu sivihitaji hata mkinipa havitoshi kunipa ushindi!!! na yamemkuta. Mdharau mwiba mguu umemuota tende
 
Siyo mara ya kwanza mgombea wa upinzani kushinda. Hata hapa imetokea mara kadhaa wagombea wa ubunge na udiwani kutoka upinzani wakatangazwa kushinda. Tatizo kwetu ni kuwa wapinzani wanaposhindwa kiti cha urais basi wanalalamikia tume hata kama namba haziwasapoti kabisa
Kwa hiyo wewe una imani na Tume yetu ya uchaguzi kwa 100%! Tume ambayo Mwenyekiti wake, Mkurugenzi wake, na Maafisa wake wote huteuliwa na Rais! Ambaye pia ni Mwenyekiti wa ccm na pia Mgombea wa Urais kupitia ccm!

Ok.
 
Wanangu wana jamvi. Sasa rasmi. Zambia kimeumana na Edgar Lungu amebwagwa vibaya. Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA.
1629091131585.png
 
Back
Top Bottom