kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Endeleeni kujifariji mafisi ipo siku mkono utaanguka!Ndiyo uzuri wa DEMOKRASIA ya kweli. UKIVURUNDA unapokuwa madarakani wananchi WANAKUADHIBU wewe na chama chako kwa KUWAONDOA MADARAKANI, siyo hapa kwetu Tume FEKI ya uchaguzi na polisiccm wanatumika KUPORA Uchaguzi miaka nenda miaka rudi.
Lungu apatiwe kesi ya ugaidiUsiku wa leo mda wa saa 0200 ,Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi wa nchi hiyo amtangaza Mpinzani Wa Chama cha UNDP kuwa Rais wa Nchi baada ya kushinda Kwa kura 2.8m akimuacha Rais Edga Lungu wa PF kwa kura kama 1m!! VivA Zambia!!
haijalishi wapiga kura walikuwa 10 au milioni. ametangazwa mshindi thats it... the rest ni irrelevant kwa sasaChanzo Cha taarifa yako na Edgar Lungu wa PF ameshakubali matokeo na kumpengeza mshindi.Taarifs yako haionyeshi wapiga kura walikuwa wangapi,hii idadi ya watu uliowataja inaonyesha Kama wapiga kura walikuwa wachache Sana.
wapinzani wa bongo wanajifariji kupitia ushindi huuUsiku wa leo mda wa saa 0200, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi wa nchi hiyo amtangaza Mpinzani wa Chama cha UNDP kuwa Rais wa nchi baada ya kushinda Kwa kura 2.8m akimuacha Rais Edga Lungu wa PF kwa kura kama 1M. VivA Zambia!
======
View attachment 1893970
Hichilema is popularly referred to by his initials 'HH' or Bally (slang for dad)
Zambian opposition candidate Hakainde Hichilema won Zambia's presidential election, defeating incumbent Edwar Lungu, the southern African nation's election commissionannounced early on Monday.
Hichilema secured more than 2.8 million votes, while Lungu was in second place with over 1.8 million votes in the vote held last Thursday. Hichilema, 59, had been leading in exit polls and preliminary election results released throughout the weekend.
Now, Hichilema faces the daunting task of turning around the economic fortunes of debt-laden Zambia.
Zambia, a copper-rich nation, defaulted on a $42.5 million sovereign debt payment in November.
Zambian voters look for change
Rising costs of living and the impact of the pandemic had led to frustration with Lungu's rule. He had been in office since 2015.
Voters were also concerned about rising costs of living and crackdowns on dissent. Young Zambian's often complain of a lack of opportunity.
World Bank sounds alarm over developing world's debt
A former business tycoon who entered politics, Hichilema, ran for the presidency for the sixth time this year. The 2021 election was his first victory, after he campaign was able to take advantage of dissatisfaction over Lungu's handling of the economy.
During one of his final campaign speeches, Hichilema said, "It hurts to see citizens go to bed without food in such a country," adding that Zambia's rich natural resources have not translated to well-being for the population.
"Assets worth billions of dollars are yielding nothing... to better our lives," he said.
Lungu says election was 'unfair'
Hichilema has challenged Lungu three times previously for the presidency.
Lungu had cried foul before a winner was declared, claiming the elections were neither free nor fair due to alleged acts of violence at polling stations. He would have to approach Zambia's Constitutional Court within a week to formally lodge a complaint.
Hichilema's victory comes with the backing of ten opposition parties under the banner of United Party for National Development (UPND), the largest opposition party.
Source: DW
Mbona unajenga ukuta wa mabua mzee? Kwenye mazingira ya uchaguzi kama Tanzania ambapo masanduku ya kura yanapigwa kabla ya uchaguzi, watotowa shule wanapigishwa kura kabla ya siku ya uchaguzi, how can you rely on those numbers? Pale wasimamizi wa pande zingine wanapopigwa na kkufukuzwa vituoni, how do you validate the numbers?Siyo mara ya kwanza mgombea wa upinzani kushinda. Hata hapa imetokea mara kadhaa wagombea wa ubunge na udiwani kutoka upinzani wakatangazwa kushinda. Tatizo kwetu ni kuwa wapinzani wanaposhindwa kiti cha urais basi wanalalamikia tume hata kama namba haziwasapoti kabisa
Ni bora kuheshimu MATAKWA ya umma kuliko nchi kukaliwa kichwani na kikundi cha KIDIKTETA cha watu wachache miaka yoteNi jambo jema! Ila kushinda upinzani haina maana na matatizo ya Nchi yataondoka! Leo hii wamalawi wanatamani Mutharika arudi madarakani, mpinzani aliyechukua nchi anazingua mbaya mnoo! Ana kashfa sasa hivi nchini kwake ya kubeba family members (ambao walichukua nafasi za maofisa wa serikali waliotakiwa kuhudhuria vikao) kwenda kwenye mkutano wa wa kiofisi London, kikubwa kilichowapeleka ni kutalii! Mimi nafikiri dhamira ya mtu ni jambo muhimu kuliko upinzani/utawala! Leo hii US na demokrasia yake yote, lakini signature moja tu ya Biden imetosha kuwarudisha Taliban Afghanistan
Mafisi yameshikilia madaraka, hayataki kuporwa. Hata hii katiba tuliyonayo pia huwa wanaivunja.Endeleeni kujifariji mafisi ipo siku mkono utaanguka!
Ni kweli unachokisema kwa sababu Tanzania ccm ndio inaandaa, kusimamia na kujitangazia hayo wanayoita matokeo.Zambia sio Tanzania, chadema msijifariji kupitia nchi ya Zambia,ninyi mtaendelea kuwa ndugu watazamaji Hadi miaka 1000 ijayo.
tunazungumzia ya zambia kwanza tuache kidogo..Siyo mara ya kwanza mgombea wa upinzani kushinda. Hata hapa imetokea mara kadhaa wagombea wa ubunge na udiwani kutoka upinzani wakatangazwa kushinda. Tatizo kwetu ni kuwa wapinzani wanaposhindwa kiti cha urais basi wanalalamikia tume hata kama namba haziwasapoti kabisa
One Zambia, One Nation! Congratulations Chililabombwe squad!Usiku wa leo mda wa saa 0200, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi wa nchi hiyo amtangaza Mpinzani wa Chama cha UNDP kuwa Rais wa nchi baada ya kushinda Kwa kura 2.8m akimuacha Rais Edga Lungu wa PF kwa kura kama 1M. VivA Zambia!
======
View attachment 1893970
Hichilema is popularly referred to by his initials 'HH' or Bally (slang for dad)
Zambian opposition candidate Hakainde Hichilema won Zambia's presidential election, defeating incumbent Edwar Lungu, the southern African nation's election commissionannounced early on Monday.
Hichilema secured more than 2.8 million votes, while Lungu was in second place with over 1.8 million votes in the vote held last Thursday. Hichilema, 59, had been leading in exit polls and preliminary election results released throughout the weekend.
Now, Hichilema faces the daunting task of turning around the economic fortunes of debt-laden Zambia.
Zambia, a copper-rich nation, defaulted on a $42.5 million sovereign debt payment in November.
Zambian voters look for change
Rising costs of living and the impact of the pandemic had led to frustration with Lungu's rule. He had been in office since 2015.
Voters were also concerned about rising costs of living and crackdowns on dissent. Young Zambian's often complain of a lack of opportunity.
World Bank sounds alarm over developing world's debt
A former business tycoon who entered politics, Hichilema, ran for the presidency for the sixth time this year. The 2021 election was his first victory, after he campaign was able to take advantage of dissatisfaction over Lungu's handling of the economy.
During one of his final campaign speeches, Hichilema said, "It hurts to see citizens go to bed without food in such a country," adding that Zambia's rich natural resources have not translated to well-being for the population.
"Assets worth billions of dollars are yielding nothing... to better our lives," he said.
Lungu says election was 'unfair'
Hichilema has challenged Lungu three times previously for the presidency.
Lungu had cried foul before a winner was declared, claiming the elections were neither free nor fair due to alleged acts of violence at polling stations. He would have to approach Zambia's Constitutional Court within a week to formally lodge a complaint.
Hichilema's victory comes with the backing of ten opposition parties under the banner of United Party for National Development (UPND), the largest opposition party.
Source: DW
Kwa hiyo wewe una imani na Tume yetu ya uchaguzi kwa 100%! Tume ambayo Mwenyekiti wake, Mkurugenzi wake, na Maafisa wake wote huteuliwa na Rais! Ambaye pia ni Mwenyekiti wa ccm na pia Mgombea wa Urais kupitia ccm!Siyo mara ya kwanza mgombea wa upinzani kushinda. Hata hapa imetokea mara kadhaa wagombea wa ubunge na udiwani kutoka upinzani wakatangazwa kushinda. Tatizo kwetu ni kuwa wapinzani wanaposhindwa kiti cha urais basi wanalalamikia tume hata kama namba haziwasapoti kabisa