RAIS MTEULE WA ZAMBIA
- Nataka tuonyeshe tofauti kati Yetu na wao
- Nilikamatwa mara 15 na kuwekwa ndani.
- nilipigwa mabomu
- Habari za mikutano Yangu hazikutangazwa na TV YA TAIFA
Ili kuonyesha kuwa sisi ni Tofauti na wao
- Nawasamehe wote
-Rais Mstaafu uwe na Amani
- hakuna Bomu la machozi litakupata
- Endesha mambo Yako kwa mujibu wa Sheria na hakuna atakayekugusa
- TV ya Taifa onyesheni mambo Ya wapinzani pia. Msipoyaonyesha watazamaji watapungua. Watazamaji wakipungua hamtapata Matangazo. Mkikosa matangazo Mtakufa na mtafunga
- wafuasi wangu msilipize Kisasi.
- kama kuna mtu alikutendea vibaya usilipe kisasi.
- ukienda ukavamia super makert na kuiba unakua unaharibu KAZI maana kuna watu watakosa kazi na sisi tumeahidi kuongeza ajira
- wafuasi wangu mkiharibu mali za wapinzani wetu mnaharibu UCHUMI wa Taifa. Mali zao ni mali za Taifa pia. Ukiziharibu unaharibu uchumi
- wafuasi wangu pelekeni Amani kwa waliowanyanyasa hapo nyuma. Waambieni huu ni wakati wa kuunganisha nchi
- Taifa lilogawanyika halitashinda VITA ya uchumi
- Nataka zambia iwe ya Wazambia WOTE bila kujali umezaliwa wapi na umezaliwa na nani mradi wewe ni Mzambia
- Amani ikiwepo Biashara mpya zitaanzishwa. Wawekezaji Watakuja