Zambia: Hakainde Hichilema atangazwa mshindi wa Urais

Zambia: Hakainde Hichilema atangazwa mshindi wa Urais

RAIS MTEULE WA ZAMBIA NI HAKAINDE HICHILEMA

Uchaguzi Zambia 2021: Rais Edgar Lungu akubali kushindwa

MANENO YA SEHEMU YA HOTUBA YAKE KAMA RAIS MTEULE


  • Nataka tuonyeshe tofauti kati Yetu na wao
  • Nilikamatwa mara 15 na kuwekwa ndani.
  • Nilipigwa mabomu
  • Habari za mikutano Yangu hazikutangazwa na TV YA TAIFA

Ili kuonyesha kuwa sisi ni Tofauti na wao

- Nawasamehe wote
-Rais Mstaafu uwe na Amani
  • Hakuna Bomu la machozi litakupata
  • Endesha mambo Yako kwa mujibu wa Sheria na hakuna atakayekugusa
  • TV ya Taifa onyesheni mambo Ya wapinzani pia. Msipoyaonyesha watazamaji watapungua. Watazamaji wakipungua hamtapata Matangazo. Mkikosa matangazo Mtakufa na mtafunga
  • Wafuasi wangu msilipize Kisasi.
  • Kama kuna mtu alikutendea vibaya usilipe kisasi.
  • Ukienda ukavamia super makert na kuiba unakua unaharibu KAZI maana kuna watu watakosa kazi na sisi tumeahidi kuongeza ajira
  • Wafuasi wangu mkiharibu mali za wapinzani wetu mnaharibu UCHUMI wa Taifa. Mali zao ni mali za Taifa pia. Ukiziharibu unaharibu uchumi
  • Wafuasi wangu pelekeni Amani kwa waliowanyanyasa hapo nyuma. Waambieni huu ni wakati wa kuunganisha nchi
  • Taifa lilogawanyika halitashinda VITA ya uchumi
  • Nataka Zambia iwe ya Wazambia WOTE bila kujali umezaliwa wapi na umezaliwa na nani mradi wewe ni Mzambia
  • Amani ikiwepo Biashara mpya zitaanzishwa. Wawekezaji Watakuja



Hayo ni maneno Ya Rais mteule MR HH wa Zambia

YOIBmBqA.jpg


E86-tvIXEAAO2-t.jpg
 
Wakwetu alianza vizuri
tukasema anaupiga mwingi
lakini kwa sasa tunasema tumwachie Mungu
madaraka yanalevya
 
Usiku wa leo mda wa saa 0200, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi wa nchi hiyo amtangaza Mpinzani wa Chama cha UNDP kuwa Rais wa nchi baada ya kushinda Kwa kura 2.8m akimuacha Rais Edga Lungu wa PF kwa kura kama 1M. VivA Zambia...
Tija ya multiparty system huwa hakuna,waulize hao Wazambia toka wameanza kubadili vyama nini cha maana kingepatikana kwenye hiyo nchi yao.
 
wale mnaosgangilia msichokijua ni kwamba hapo upinzani umeng'olewa madarakani na ccm ya kule ndio imerudi madarakani
 
RAIS MTEULE WA ZAMBIA
  • Nataka tuonyeshe tofauti kati Yetu na wao
  • Nilikamatwa mara 15 na kuwekwa ndani.
  • nilipigwa mabomu
  • Habari za mikutano Yangu hazikutangazwa na TV YA TAIFA
Ili kuonyesha kuwa sisi ni Tofauti na wao
- Nawasamehe wote
-Rais Mstaafu uwe na Amani
  • hakuna Bomu la machozi litakupata
  • Endesha mambo Yako kwa mujibu wa Sheria na hakuna atakayekugusa
  • TV ya Taifa onyesheni mambo Ya wapinzani pia. Msipoyaonyesha watazamaji watapungua. Watazamaji wakipungua hamtapata Matangazo. Mkikosa matangazo Mtakufa na mtafunga
  • wafuasi wangu msilipize Kisasi.
  • kama kuna mtu alikutendea vibaya usilipe kisasi.
  • ukienda ukavamia super makert na kuiba unakua unaharibu KAZI maana kuna watu watakosa kazi na sisi tumeahidi kuongeza ajira
  • wafuasi wangu mkiharibu mali za wapinzani wetu mnaharibu UCHUMI wa Taifa. Mali zao ni mali za Taifa pia. Ukiziharibu unaharibu uchumi
  • wafuasi wangu pelekeni Amani kwa waliowanyanyasa hapo nyuma. Waambieni huu ni wakati wa kuunganisha nchi
  • Taifa lilogawanyika halitashinda VITA ya uchumi
  • Nataka zambia iwe ya Wazambia WOTE bila kujali umezaliwa wapi na umezaliwa na nani mradi wewe ni Mzambia
  • Amani ikiwepo Biashara mpya zitaanzishwa. Wawekezaji Watakuja

Hayo ni maneno Ya Rais mteule MR @HHichilema wa Zambia
 
Kwamba Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wa Chadema mpaka awe rais wa tz
 
RAIS MTEULE WA ZAMBIA
  • Nataka tuonyeshe tofauti kati Yetu na wao
  • Nilikamatwa mara 15 na kuwekwa ndani.
  • nilipigwa mabomu
  • Habari za mikutano Yangu hazikutangazwa na TV YA TAIFA
Ili kuonyesha kuwa sisi ni Tofauti na wao
- Nawasamehe wote
-Rais Mstaafu uwe na Amani
  • hakuna Bomu la machozi litakupata
  • Endesha mambo Yako kwa mujibu wa Sheria na hakuna atakayekugusa
  • TV ya Taifa onyesheni mambo Ya wapinzani pia. Msipoyaonyesha watazamaji watapungua. Watazamaji wakipungua hamtapata Matangazo. Mkikosa matangazo Mtakufa na mtafunga
  • wafuasi wangu msilipize Kisasi.
  • kama kuna mtu alikutendea vibaya usilipe kisasi.
  • ukienda ukavamia super makert na kuiba unakua unaharibu KAZI maana kuna watu watakosa kazi na sisi tumeahidi kuongeza ajira
  • wafuasi wangu mkiharibu mali za wapinzani wetu mnaharibu UCHUMI wa Taifa. Mali zao ni mali za Taifa pia. Ukiziharibu unaharibu uchumi
  • wafuasi wangu pelekeni Amani kwa waliowanyanyasa hapo nyuma. Waambieni huu ni wakati wa kuunganisha nchi
  • Taifa lilogawanyika halitashinda VITA ya uchumi
  • Nataka zambia iwe ya Wazambia WOTE bila kujali umezaliwa wapi na umezaliwa na nani mradi wewe ni Mzambia
  • Amani ikiwepo Biashara mpya zitaanzishwa. Wawekezaji Watakuja

Hayo ni maneno Ya Rais mteule MR HH wa Zambia
Huyu mwamba itakua ni mchamungu sana pia amejaaliwa hekima
 
Kwanza tunajifunza jinsi vyombo vya ulinzi na usalama vilivyo smart kwenye maswala makubwa kama haya hawakuingilia wala kuhusishwa kwa namna moja au nyingine kuingilia uchaguz mtu kashinda no mizengwe japo kulikuwa na vitu vidogo vidogo ambavyo vilizibitiwa atimaye katangazwa mshindi hii ni heshima kubwa sana kwa nchi kama Zambia sasa huu uchaguz ungekuwa ni hapa kwetu mamamama a...... AIBU itoshe kusema AIBU kila aina ya salakasi tungeona[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Vumilivu hula mbovu Ila nataka anilipizie kisasi watu tuanze kujifunza kuheshimiana
 
Hakuna lolote, hawezi kutoa ajira kama alivyowaahidi watu wake, pesa atatoa wapi zaidi ya kuwakamua kwenye kodi, kuyaongea mahitaji na kuyatimiza ni vitu viwili tofauti,

Sasa hivi anamzuka na mhemko wa Uraisi, subiri aanze kazi muone atakavyo haribu kuliko E. LUNGU.
 
Back
Top Bottom