Hakuna mwenye ubavu wa kugomea huduma mkuu. Amini hilo.Tutaathirika kwa namna moja au nyingine, moja ya sababu ya nchi yetu kugoma kufunga mipaka yake katika kipindi hiki ni kukwepa athari ya kiuchumi. Sasa wale tunaoona ni wateja wetu nje ya mipaka ya nchi yetu wameanza kugomea huduma zetu! Mteja akisusa, utamhudumia nani? Diplomasia zaidi inahitajika juu ya suala hili la Covid-19.
unaweza kutofautisha maambukizi ya Taiwan na china ?hawa ni majiraniWenzetu wakimaliza corona? Duuh! Hivi mkuu hukuwahi kujiuliza kwa nini nchi kubwa za dunia ya kwanza zilishindwa kuzuia ugonjwa huu usingie kwao then wakasubiri uingie ndio wafungie watu ndani?
Amini amini nakuambia kama corona itaisha Zambia, Kenya, Burundi, Rwanda nk na Tanzania pia itaisha. Kama ambavyo ilivyoanza China hakuna aliyeweza kuizuia isiingie nchini kwake vivyo hivyo hakuna atayeweza kuzuia corona ishishe Tanzania wakati dunia nzima imeisha.
Ni Mungu pekee ndio mwenye kujua corona itaisha lini duniani. Hata sasa njia tunazotumia kuudhibiti huu ugonjwa kisayansi tunaita trial and error, hakuna mwenye huwakika na njia yake, ndio maana kuna wengine hufanya total lockdown wengine partial lockdown, wengine wameanza kufuta lockdown na wengine hawakufanya lockdown kabisa. Wote hawa wanaweza kuwa sahihi kwa namna moja ama nyingine maana hakuna mwenye huwakika na njia yake.
Offcourse!.......ni muda tu! Itakavyopitapita ndiyo matokeo yake.Hata hili litapita kama Ebola
Sasa kama Taiwan na China hawafanani kwa maambukizi japo ni majirani, kwanini unataka Tanzania ifanane kwa maambukizi na majirani zake?unaweza kutofautisha maambukizi ya Taiwan na china ?hawa ni majirani
Acha madharau ww....Short minded prezidaaa. Yani JK hatutakusamehe umetuletea mzigo
Pesa tunazotafuta kama nchi mwisho wa siku hatutozipata.
Wakati wenzetu wamemaliza corona, sisi tutakuwa bado na maambukizi, watatublock kila nchi duniani, tutabaki kama kisiwa kidogo
Zambia wanahunumu uchumi wetu, sisi tunahudumia nchi 8 wao wanatangaza kufunga? Shwain kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hicho kinachotaka kufanywa na Zambia kinaelekeana na moja ya options anazozifikiria Museveni? Museveni amesema kuwa option mojawapo anayoifikiria ni madereva wa malori toka Tanzania waishie pale mpakani. Toka mpakani malori yaendeshwe na Waganda kuingia ndani ya Uganda. Hivyo wasafirishaji watatakiwa kuwa na madereva wawili, mmoja wa kuwepo Tanzania, na mwingine ndani ya Uganda.
Option ya pili wapimwe mpakani halafu waruhusiwe kuendelea ndani ya Uganda lakini wasichangamane na yeyote, waende mpka kituo kitakachokuwa kimepangwa, wasubirie majibu. Ukiwa positive, unaishia hapo hapo. Ukiwa negative, unaendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app