Mwanasiasa mtata
JF-Expert Member
- Oct 25, 2022
- 1,520
- 3,781
Mkataba haujasema chochote kuhusu mgawanyo wa faida zaidi ya kumhakikishia mwekezaji msamaha wa kodiHebu tupe mchanganuo wa mapato ya bandari kwanza revenue na exp halafu ndio tutajuwa mkataba wa kisenge au?
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapaImeuzwaje?
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapaImeuzwaje?
Ppengo na kundi lake ni ttizoWakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.
Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!
Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Wajinga nyie,Watafute tuuu, huwez kuuza bandari kisa Una mamlaka, hiyo haipo, alaf bandari ni Kwa ajili ya Watanzania Kwanza then hao jamaa wengine badae..!!
Lord denning kwann unajitoa akili kisa posho? Ni mtanzania yupi hataki uwekezaji? Kwann mnapotosha kua watanzania hawataki uwekezaji wa DP world? Hoja za watanzania zipo waz kbs kuhusu some articles kweny mkataba zirekebishwe au ziondolewe!! Acha uzushi kisa posho.Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.
Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!
Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.
Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!
Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Upo sahihi, unateuaji CEO kwa kujuana kwenye suala nyeti kama la bandari badala ya uwezo binafsi wa mtu?Matatizo ya bandari yetu ni ya kiutawala zaidi kuliko viongozi wanavyoaminisha watu.kama ni uwekezaji wa vifaa vya kisasa miaka na miaka Serikali hutoa fedha kwa akili ya kuwekeza.
Shida ya bandari ni utawala wa hovyo unaoanza na Rais mwenyewe kushindwa kusimamia na kuruhusu bandari kuwa shamba la Bibi na ucheleweshaji wa mizigo.
Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.
Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!
Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
You keeMatatizo ya bandari yetu ni ya kiutawala kzaidi kuliko viongozi wanavyoaminisha watu.kama ni uwekezaji wa vifaa vya kisasa miaka na miaka Serikali hutoa fedha kwa akili ya kuwekeza.
Shida ya bandari ni utawala wa hovyo unaoanza na Rais mwenyewe kushindwa kusimamia na kuruhusu bandari kuwa shamba la Bibi na ucheleweshaji wa mizigo.
Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.
Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!
Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928you keep thinking all Tanzanians are stupid.Hakuna anaye Pinga uwekezaji.Tuna Pinga mikataba ya Carl Peters kufikiri upande wa pili ni mbumbumbu. Badirisheni articles za kuwadhurumu walipa Kodi wa tz muone kama mtu atapinga!
Watafute tuuu, huwez kuuza bandari kisa Una mamlaka, hiyo haipo, alaf bandari ni Kwa ajili ya Watanzania Kwanza then hao jamaa wengine badae..!!
Mkuu kwani Angola nao wamekodisha bandari yao kwa mwekezaji kwa muda usiojulikana?Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.
Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!
Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Hata kama mapato yakiongezeka kama uhuru na mali zenu me kabishi mwarabu kunafaida ganiUwekezaji mkubwa watakaouleta hao DP World sio wa hela pekee Bali wa efficient, network ya soko na kuondoa urasimu na Bandari kuwa shamba la bibi Kwa maslahi ya wachache..
Wale msiojua nawataadifu tuu kwamba Zambia na Congo wakipungiza nusu tuu ya Cargo Yao Dar Port ujue hiyo Bandari inageuka kuwa temba mweupe..
Nilidhani wanahamisha Bahari kupeleka kwao. Kwanini wasiende SA au Beira?Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.
Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!
Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Umelipwa sh ngapi kuja kutetea kuuzwa kwa raslimali zetu?,msaliti mkubwa wewe,nyie China mnapigwa risasi hadharaniWakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.
Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!
Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Hapo kwenye sentensi yako uliposema kuwa "bandari ni kwa ajili ya watanzania kwanza" ndipo panapo hakikisha kuwa wengi wa watanzania hata hawajui kinachoendelea bandarini lakini mumerukia tu majadiliano kwa kuwa tu fulani kasema hivi na fulani kasema hivi!Watafute tuuu, huwez kuuza bandari kisa Una mamlaka, hiyo haipo, alaf bandari ni Kwa ajili ya Watanzania Kwanza then hao jamaa wengine badae..!!
Nadhani hujailewa swali langu lakini wacha niruke nikupe kidogo, mkataba wa kibishara hata siku moja hauwezi kuwekwa hadharani swali langu lililenga kwa hali ya sasa hivi bandarini kiasi gani tunakusanya na kiasi gani tunatumia. Serikali imesema kijumla tu mapato yataongezeka kutoka Trillion 7 kuja kufikia 26 Trillion huko mbele ndio nikauliza unajuwa bandari imekuwa inakusanya trillion 7 kwa muda mrefu hakuna ongezeko hapo sijatoa matumizi ya bandari. Bandari ya Tz pamoja na kuwa location best lakini ina rank 312 duniani kati ya bandari 346 kwa ufanisi ndio utajuwa tuna safari ndefu sana tena sana.Mkataba haujasema chochote kuhusu mgawanyo wa faida zaidi ya kumhakikishia mwekezaji msamaha wa kodi
Faida si ni ya kupata pesa au? Uhuru gani ambao wewe utaukosa? Acha ujinga basiHata kama mapato yakiongezeka kama uhuru na mali zenu me kabishi mwarabu kunafaida gani