Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,770
- 5,423
Naunga Mkono hoja!!Watafte tuuu , huwez kutuuzia bandari kisa Una mamlaka , hyo haipo
Safi sana endeleeni kukaza maana Zambia na DRC wanataka kutumia Bandari ya Namibia, Msumbiji na Angola..Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.
Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!
Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Nikiwa mjinga kuna tatizo gani?Kwa maneno hayo. Nikisema wewe ni mjinga kuna watu watanibishia
Unajua ni hasara kias gani itatokea pindi wakiacha kutumia bandari yetu?Taja Kifungu cha Katiba kinachosema Tanzania lazima isafirishe Mizigo ya Zambia na Congo!
Muachage ujinga kupinga maendeleo yenuKwa hiyo ndiyo kusema
Kama huoni kama kuwa mjinga ni tatizo basi polee sanaNikiea mjinga kuna tatizo gani?
Bandari imeuzwa shingap mkuu? tujue kwaza iloKwa hiyo hoja yako lengo lake ni kuhalalisha uuzaji wa bandari au siyo?
Wamemilikishwaje milele?Mjinga ni wewe unayetetea waarabu kumilikishwa Bandari yetu milele
Eh nyie hamtaki kufanya biashara na nchi jiraniTaja Kifungu cha Katiba kinachosema Tanzania lazima isafirishe Mizigo ya Zambia na Congo!
Wewe ni mzanzibari. Haya ya Tanganyika tuachie wenyeweWakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.
Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!
Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Tangu lini mngoni wa Songea akawa Mzanzibari?Wewe ni mzanzibari. Haya ya Tanganyika tuachie wenyewe
Muulize maswali yenye logicMleta mada Lord denning usikimbie hili swali la Yohana mbatizaji😆😆
Ukiogelea unaingiza mapato? Mbona bandari ipo sikuzote umeenda kuogelea? Kwaza unajua kuogelea?Pambaf, hata wasipokuja, bandari yetu tutaitumia kwa kuogelea!
Wewe ndio wale wajinga ambao mtoa mada anawazungimzia..Taja Kifungu cha Katiba kinachosema Tanzania lazima isafirishe Mizigo ya Zambia na Congo!
Mjinga ni wewe.Kwa maneno hayo. Nikisema wewe ni mjinga kuna watu watanibishia
Kwa hiyo kwa akili yako unaamini huo uwekezaji wa tshs trillion 1 serekali haiwezi kuufanya.kwamba Serikali yako inashindwa kutenga trillion 1 kuwekeza kwenye bandari katika bajeti yake hata tukisema tutenge kwa awamu 3 inawezekana."""Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia""""
You speak as if wewe ni raia wa nchi nyingine...pathetic kabisa, hakuna Mtanzania anayekataa uwekezaji ulio na tija kwa Tanzania.