Zambia na Congo zaanza kutafuta njia mbadala kusafirisha mizigo yao

Zambia na Congo zaanza kutafuta njia mbadala kusafirisha mizigo yao

Hiyo safi sana wala isikussubuwe kabisa, mimi naamini kwenye ushindani wa biashar ndipo kunazaa ubora wa huduma.

Sisi kwa upande wa Zambia, tumeliua wenyewe soko kuanzia bandarini, reli, barabara mpaka pale Tunduma,

Hao wametuheshimu sana kuvumilia yote hayo kwa miaka mingi sana. Ukiitazama TAZARA utafikiri imepigwa bomu, ukiitazama bandari hohehahe. Ukienda Tunduma kama nidereva wa kutoka nchi za nje basi huna hamu ya kurudia tena njia za Tanzania.

Ukija kutazama madereva wa IT wanaokuja kuchukuwa gari zao Dar. Hao ndiyo kabisa hawana hamu, wanacheleweshewa kutoa magari, yanaibiwa vifaa yakiwa bandarini, wanasumbuliwa na mapolisi njia nzima, kila sehemu kukaguliwa, na hakuna cha kukaguliwa bali ni lazima watowe posho ya kusafisha viatu.


Binafsi nawapongeza sana kwa uamuzi huo.

Kama wanavyosema wengine humu, kuwa mizigo yetu ya Tanzania tu inatutisha, ni heri tubaki kuwa omba-omba wa bajeti yetu kwa wazungu kuliko kuwa na sisi na ubora wa kuwaajiri wazungu.

Heko sana Watanzania wazalendo, tutapakia kwenye tazara mzigi wetu wenyewe. Tutatumia bandari yetu kwa meli zetu wenyewe. Kwani tataizo nini? Si wazungu wanatulisha? Waende zao haraka sana, wasitunyanyase.


Kwa upande wa Zambia na Congo nawaunga mkono, maana hapa mpaka shaba zenu zilikuwa zinaibiwa. Abiria chunga mzigo wako.
Umesema maneno mazito sana kwa kweli
 
Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.

Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!

Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Hawawezi kuelewa mkuu. Utajibiwa kwa hoja zenye kudhihirisha ujinga huohuo kutoka kwa watanzania. Watanzania ni watu wajinga sana kwenye mambo ya maana. Tena cha kushangaza, hata kundi utakaloona ni la wasomi nao ni wajinga tu. Viongozi aina ya Magufuli ndio dawa yao.
 
Muwe mnaelewa hoja! Hakuna anayepinga uwekezaji wala uboreshaji wa Bandari ili kuleta ufanisi!

Hiyo haihalalishi kugawa Bandari zetu na kuingia ktk mikataba ya Kimangungo!
Hivi nyie watu mbona wajinga ilhali mmesoma?? Inakuwaje mnasoma halafu mnabakia na ujinga wenu vichwani!
 
Tatizo la huko mzigo utachekewa hd mwezi mzima. Mzigo uzunguke hd South Africa ndipo ufike kwao. Bado tz tutawezafanikisha mapema zaidi tukiwa na wepesi

Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
 
Wewe unaeitakia mema tuoneshe mchango wako au input Yako
Acha ukuwadi, mtu yoyote anayepinga mkataba wa kisenge kama huu ni mzalendo na anaitakia mema nchi hii.

Kama sisi tumeshindwa kuendesha mandali kwa faida., basi tuiwaachie vizazi vyetu vijavyo kuliko kuifunga kwa kuwapa wageni bule kabisa kwa milele
 
Kwani Loliondo alikopewa waarabu tokea Enzi za Rais Mwinyi imekunufaisha ni nini? au unadhani madini ya Almasi na Dhahabu na Gesi Mtwara inanufaisha nchi zaidi ya Bandari inayoendeshwa na wabongo? Mkiwapa DPW kwa makubaliano ya terms zile nmeliwa zaidi ya bora ibaki tuendelee kuiendesha.
Ni vita ya kiuchumi inayoendelea kati ya World Bank dhidi ya DPW. World bank walipotoa pesa ya mkopo wa kuendeleza bandari walitegemea kazi ya ukarabati na usimamizi wapewe makampuni ya magharibi ili wauendeleze ushawishi wao katika ukanda huu.

Maamuzi ya serikali ya kwenda na DPW ni kama wamewachanganya, hivyo mashambulizi yao yanakuwa mengi kupitia mawakala wao baadhi wakiwa humu JF.
 
Ni vita ya kiuchumi inayoendelea kati ya World Bank dhidi ya DPW. World bank walipotoa pesa ya mkopo wa kuendeleza bandari walitegemea kazi ya ukarabati na usimamizi wapewe makampuni ya magharibi ili wauendeleze ushawishi wao katika ukanda huu.

Maamuzi ya serikali ya kwenda na DPW ni kama wamewachanganya, hivyo mashambulizi yao yanakuwa mengi kupitia mawakala wao baadhi wakiwa humu JF.
PUMBA? Watanzania hatuwapingi hao DP World. Tunachoinga ni mkataba wa kisenge
 
Wewe maanina huna unalojua maku wewe

Tics Yuko Berth 8-11 ambazo ni Container terminal sio bandari nzima kima wewe!

Hao DP mnawapa Bandari nzima mna akili nyie.


Maku wewe
Punguza povu na ongea ukweli sio kupotosha watu. DPW wanapewa baadhi ya mageti sio bandari nzima.

Wanakuja kuongeza ufanisi, hatutaki tena yale mambo ya meli kukaa kule baharini kwa wiki nzima ikisubiri huduma.

Hii ni vita nzito kati ya World Bank na DPW, ni vita ya kiuchumi. Hivi sasa mmarekani kahamia huko Zambia na DRC ili auchukue mzigo wao kupitia bandari ya Lobito, ili kutukomoa sisi tulioamua kwenda na DPW.

Usipojua hizi habari kwa kina, unaishia kutukana tu matusi na kuwa bendera hufuata upepo mtu wa kuvutwa sikio na kupelekeshwa hovyo.
 
Back
Top Bottom