Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Majamaa zetu mazuzu sana
Kuna mshikaji alienda Lusaka alinambia kuna malls kila kona mm nikahisi ananijaza tu...sasa kitu kama unavyoona lakin wenyewe wako kimya...Hawa nyumbu as jubilee wanakelele sana na vyombo hawana
The same world you live in
It is ckear you dont kniw how to read.It's clear you don't know what you are talking about. The biggest mall in the world is found in Dubai, UAE, one if the most developed countries on the world. China and USA also have some of the most vibrant mall markets in the world, same as Canada, all of which developed countries. It's good to do a little bit of research before posting
Huyo jamaa unaejitutumua kumquote ana uelewa mpana kuliko wewe, anaongelea mambo kama yalivyo,. Wewe akili yako size ya kuku, tazama umeshaanza ligi tena,
Darasani mlisoma naye wapi? Kwenye ndoto yako pengine. Jamaa kasomea Aeronautical Engineering huko China. Wewe ulisomea kijitonyama high school.
Kamuulize ndugu yako hapo juu na utoe akili fupi hapaHebu tujulishe kinachoendelea. Hivi, walishafunga duka kama walivofanya huko bongolala na hatuna habari? π π
Inalegea according to mtu kama wewe uliyeko stone ageHata hiyo online shopping Tanzania bado inalegea tu. Just two weeks ago Jumia closed their operations in Tanzania
Afadhali ldc ya Tz kuliko mldc kenya inayopewa misaada ya chakula karne hiiHiyo yenu imeendelea sana Mbona iko LDC?
Hii uppercut ya nguvu umempatia,hawajiwez mlo lakin wanavimbaAfadhali ldc ya Tz kuliko mldc kenya inayopewa misaada ya chakula karne hii
πππ
Na ile misaada ya condom je? Juzi rais wenyu alilia mabeberua wamsaidie na condoms.Afadhali ldc ya Tz kuliko mldc kenya inayopewa misaada ya chakula karne hii
Hiyo akili yako refu was not enough to prevent Jumia from closing their operations in DanganyikaKamuulize ndugu yako hapo juu na utoe akili fupi hapa
Tulia sindano ziwaingie ipasavyoNa ile misaada ya condom je? Juzi rais wenyu alilia mabeberua wamsaidie na condoms.
Yaani kitu kinacho uzwa kariakoo Tz , kikuu china nk kwa bei rahisi eti nikanunua kwa bei kubwa jumia ili iweje.Hiyo akili yako refu was not enough to prevent Jumia from closing their operations in Danganyika
We nenda ukapnge foleni Tandale upewe misaada ya condom.Tulia sindano ziwaingie ipasavyo
Kwani ulisikia hakuna condom za kununua πππWe nenda ukapnge foleni Tandale upewe misaada ya condom.
Hakuna condoms Tanzania, that`s a fact.Kwani ulisikia hakuna condom za kununua πππ
Hakuna according to you.Hakuna condoms Tanzania, that`s a fact.
Darasani mlisoma naye wapi? Kwenye ndoto yako pengine. Jamaa kasomea Aeronautical Engineering huko China. Wewe ulisomea kijitonyama high school.Am proud of this guy. Darasani tulikuwa tunamwita Ghana Baby . Na chuo alijulikana kwa jina hilo.. safi sana naona katusua kwnye channel yake .. wode maya mwanangu nakumiss sana
MK254 mimi niliguess tu Kijitonyama high school. Sikujua kwamba ipo. Hahaha. Huyu Mtanzania anaconfirm kwamba ipo.