Hatuhitaji hata Elimu ya Cert kujua nani walimpiga risasi Tundu Lissu! Kwa kifupi ni Serikali ya Awamu ya Tano,chini ya Marehemu John Pombe Joseph Magufuli!
Sio twitter tu.Sinema hizi, unafikiri unaweza kuua kirahisi mkimbizi wa kisiasa Canada na Belgium?...
Impact ya Lema na TL kwa nchi ni ipi kiasi cha nchi kuharibu image yake?.... kuna wakati zinatafutwa attention tu...
Waripoti hizo taarifa kwa mamlaka za nchi walizopo halafu uone moto wake...ukiona wameishia twitani tu ujue ni zile zile sinema tu..
Tatizo unafikiri kuwa madhara ni kufadhili vita tu.Waliotajwa hawajafikia hatua ya kuwa na madhara kiasi cha kuchukuliwa hatua aka PK style.... hao wapinzani wa PK walikuwa na madhara makubwa kwa PK ndio maana aliamua kuwaeliminate... hao wapinzani wa PK ndio walikuwa wanavufund vikundi vya wanamgambo kama Maimai na fdla nk wakiwa ughaibuni..
Lema ana madhara gani kwa Taifa hili mpaka likamuue Canada, TL ana madhara gani kwa Taifa hili mpaka akauliwe Belgium... naomba niwaambie watu kitu tu...TL weupe walishamdharau hivyo hakuna backup wanaweza kumpa dhidi ya harakati zake na Tanzania, Lema hana uwezo wakufanya lolote dhidi ya Tanzania huko aliko kifupi hana madhara ndio maana hizo naita story za twita...
Kiki tu hizo, nani ana muda wa kupoteza na hizo garasa zikina Tundu Lissu na LemaKuna taarifa zimenistusha sana,zinarushwa kwa mtindo wa onyo hasa kwenye mtandao wa heshima...Twitter kuwa kuna mtu anaitwa Zangira ambae katumwa kuwashughulikia kimafia akina Lema na wenzake uko ughaibuni walipokimbilia kunusuru kesho yao.
Huyu mtu ni nani hasa na katumwa na nani?
Je 'muuaji' Zangira atafanikiwa au ameshashindwa kabla baada ya taarifa zake kujulikana?
Intelijensia ya magharibi itakubali uchafu ufanyike kwenye ardhi yao?
Je kuna wasiokubaliana na namna mambo yanavyoendeshwa na wameamua kuwa wavujishaji siri?
My take:
Kama yasemwayo ni kweli basi tumefika mahali pabaya sana na mh.Rais inabidi asimame imara sasa kusafisha uchafu huu unaofanywa na wachache na wasiojulikana vizuri bado. Kama ni kweli,Zangira adhibitiwe uko uko ili liwe fundisho kwa akina Zangira wengine.
Sasa Roma alikuwa anaimpact gani hadi wamrekodi wakimbaka na kumvunja miguu?Sinema hizi, unafikiri unaweza kuua kirahisi mkimbizi wa kisiasa Canada na Belgium?...
Impact ya Lema na TL kwa nchi ni ipi kiasi cha nchi kuharibu image yake?.... kuna wakati zinatafutwa attention tu...
Waripoti hizo taarifa kwa mamlaka za nchi walizopo halafu uone moto wake...ukiona wameishia twitani tu ujue ni zile zile sinema tu..
Chadema wafungue kesi wapi?? Mahakama za Tanzania, ni jambo ambalo haiwezekani!
Kimataifa,kuna utaratibu wake,mfano Magufuli hawezi pandishwa the Hague, sababu hajaleta mass destruction kwa watu wake! Angeuwa watu wengi,The Hague wangetoa warranty wakumdaka!
Naomba nikupe mfano,hivi ukisema nitakuonyesha Mimi ni nani,halafu kesho napata matatizo au nakufa,ni nani atakua mtu wa kwanza kua suspected??
Unajua Magufuli aliwahi sema,watu wanaopingana nae hua wanauwawa?? The same day,Lissu akapigwa risasi,tena mchana kweupe pee! 17.09.2017 hadi 17.03.2021! Opaga sana hizi tarehe,it's not just a collusion,ni kuonyesha kwamba Mwenyezi Mungu ana nguvu kuliko mtu yoyote!
Sasa Roma alikuwa anaimpact gani hadi wamrekodi wakimbaka na kumvunja miguu?
Hawa hawana madhara ila mange ndio alikua na madhara sio🤔🤔🤔🤔Hizo style zinatumika kwa watu wenye madhara na si vinginevyo, huwezi ukaniambia eti TL na Lema wanamadhara kiasi cha system ya Tanzania kwenda kuwatafuta na kuwaua ughaibuni na kuharibu vibaya image ya nchi..
Kama hizo taarifa ni za kweli wahusika watoe taarifa kwa mamlaka za nchi walizopo halafu uone Tanzania itakavyoshukiwa na hilo jina tajwa sijui ZINGIRA atakamatwa huko Europe mara moja.....vinginevyo zitakuwa porojo za twita kutafuta porojo nyumbani.....System haiwezi kuwa Pumbavu kuwaza kijinga hivyo...
Ata TL aliporipoti kufuatiliwa na wasiojulikana wakiwa kwenye gari ilisemwa ni kiki.Kiki tu hizo, nani ana muda wa kupoteza na hizo garasa zikina Tundu Lissu na Lema
Wote wanatafuta justification ya kurefusha kibali cha ukimbizi huko. Sioni kingine. Nipo tayari kukosolewa.View attachment 1984524
Nadhani huu ni uzushi,hakuna sababu ya kufanya hivyo
Yaani unasubiri mpaka atende ndipo achukuliwe hatua!? Au sijakuelewa?Kwa nilivyokusoma hapo kuna mtu umemtaja kama suspect number moja hapi tumaliza kwa kusema bado ni tuhumu mpaka itakapogundulika ni kweli ametenda na hatua zikachukuliwa..
Hivi unaniambia hakuna namna nyingine ya TL kupata haki yake tofauti na ICC? hivi CDM na TL wakaomba jumuiya za kimataifa msaada wa haki yake kwa either kuishinikiza serikali ya Tanzania ifanye uchunguzi huru au vyombo vya nje vije kufanya uchunguzi huru...
Hivi unadhani Serikali ya Magufuli ingekubali wachunguzi kutoka nje waje waivue nguo serikali yake?? Hukumbuki kama IGP aliwahi sema wao,wanaweza kuchunguza kesi na wala hawahitaji msaada toka nje??
Hivi ni kwa nini Marekani walimpiga marufuku Bwana Makonda kuingia Nchini Marekani??
Toka lini Criminal ikafunguliwa na Raia?? Au hili nalo hujui??
Kwa mahakama ipi?Nimekwambia shinikizo kutoka nje, huyo JPM angepewa shinikizo angetulia tu, wapi CDM na TL wameomba msaada huo? haki yao ipatikane.
CDM hawana wing yao ya usalama kwa siri ikaita watu wakaja wakafanya yao na kukusanya kila evidence then wakafungua charge mahala...?..
Ya Makonda na USA wanajuana wenyewe, Makonda yuko mtaani kama raia, mfungulieni kesi au mnasubiri jamhuri...?
Wewe ni mbishi bure tuuuuNi nani alitenda hayo? Roma ameshitaki wapi apate haki yake?
Hivi unajua kweli mambo au unapinga tu just kupoteza mda?? Serikali wakisema hawataki wachunguzi kutoka nje,na kweli hawawezi kuja!
Chadema haijawahi mshinda MunguShetani hajawahi kumshinda Mungu
Korti gani ilivyo huru mkuu?huko CDM bila shaka kuna wanasheria wasomi, kwahiyo tutasubiri CDM ishike dola ndio Makonda aburuzwe mahakamani? au tunasubiri huruma za watawala ndio tupate haki? hao wanasheria wetu hawana cha kufanya ili bwana Makonda aburuzwe kortini?
Ulishawahi ona wapi mtu binafisi kaenda fungua kesi ya Jinai dhidi ya mtu au watu?? Serikali ndiyo hufanya hivyo! Ingekua kila mtu anamfungulia kesi mtu yoyote,Mimi ningeanza na wewe!