Zangira ni nani na katumwa na nani kuwashughulikia akina Lema huko ughaibuni?

System zetu ni za ovyo sana mkuu na zinaoperate very locally and primitive wakati dunia iko mbali sana kwenye tech ya ulinzi na usalama.

Mfano ni kutaka kumuua Lissu kwa risasi,hawa watu wetu wa Intelijensia wamepitwa sana na wakati
 
Well said.
 
Sasa rais si ndio anasafisha kwa kutumia Zangira we vepe❗
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…