Uchaguzi 2020 Zanzibar: Askari wanaolinda usalama wa watu na mali zao, washambuliwa kwa Mawe!

Uchaguzi 2020 Zanzibar: Askari wanaolinda usalama wa watu na mali zao, washambuliwa kwa Mawe!

Nyinyi Ni wajinga wachache ndani ya Africa hii na dunia kiujumla,mpuuzi Sana wewe.
Kuna udhalimu gani gadafi amefanya zaid ya vibaraka Kama nyinyi kupandikizwa na Kisha kusapotiwa kuharibu nchi ya Libya ilikua na Kila neema.
Haya Leo huyo gadaf hayupo,vp hao kina mama,wazee,watoto na wanachi wanavyopata tabu ndani ya nchi yao kwa kutiwa ulemavu na Vita ya wenyewe kwa wenyewe.Walowatuma hawana habar wanauza silaha na kunyonya mafuta watakavyo.

Majinga Kama nyinyi yanaendelea kuishi Africa,mjinga kabisa Tena mpumbavu wewe
Sasa mkuu povu lote hilo la nini? Si uchaguzi huru na wa haki ufanyike ili mshindi halali atangazwe?
 
Hao polisi si ndio walikwenda kumkamata Mazrui,Kampeni meneja wa maalim Seif bila sababu ya msingi?Naona wameanza kuisoma namba.
 
IGP Sirro ameapa kuwauwa kwa risasi na wenyewe wameapa kuwa hawamtaki kiongozi wa ccm! Sasa KIUMANE Ukishakuwa na urafiki na Rwanda au Burundi lazima uuwe watu wako kwa risasi!
kama kaapa kuuwa kwa risasi ajitayarishe kupelekwa ICJ inamsubiri. Hatutaki muungano simple. aende zake khanithi huyo
 
Kwa confidence iliyo shuhudiwa Zanzibar, ni dhahili kuwa ni hatari kwa usalama na uhai wa watu. Ni wakati wa serikali kuwapa Wazanzibar kile ambacho wamekuwa wakikiota, wawape nafasi watambue mbivu na mbichi

Kitendo cha kuandamana huku wakipishana na magari ya polisi wenye silaha, kitendo cha kurusha mawe hadi kufukuza polisi wenye silaha, ni dhahili kuwa kama ni mimba sasa mtoto anajigeuza atoke.

Hizi confidence za kurushi polisi mawe na kuandamana mkielekea polisi walio tulizoea kuziona huko Parestina. Jambo hili la kutafakari
 
Mnafurahia raia kurushia polisi mawe. Wakati huohuo mnachukia polisi kupiga raia virungu.
Hii ndio haki inayopiganiwa!



 
Lissu ba vibaraka wake wasifikiri kuchukua ncho nirahisi hivyo. Ushinde uchaguzi kwa sera ya bata na ushoga. Nchi yenyewe Tanzania wamejidanganya kweli.


Mshaiba iba kwa kudanganya watu kununua midege na kujenga viwanja vya ndege bila kuonyesha mumetumia kiasi gani halafu muachiwe muendelee kuiba na kupora mashamba ya watu

IMEKULA KWENU MARA HII TUTAKUFA NA NYINYI
 
Mshaiba iba kwa kudanganya watu kununua midege na kujenga viwanja vya ndege bila kuonyesha mumetumia kiasi gani halafu muachiwe muendelee kuiba na kupora mashamba ya watu

IMEKULA KWENU MARA HII TUTAKUFA NA NYINYI

Afadhali yule dada kimambe na mkwara wake kuliko huu wako. Subri Lissu na basha wake robertison waingizwe Tanzania waijue vizuri.
 
Ungejua jeshi ni kazi ambayo aliye nayo anaitegemea na kimsingi hao wajinga wanaweka kazi za watu matatani. Haina tofauti na wewe unavyolipwa kuandika hapa. Tumbo linakufanya uandike hivi ululivyo andika hamnanamna.

Kama unavyoweka kazi yako matatani hapa. Tunamwosha shoga wako Magu fool mwaka huu, hatuna chengine , usitupotezee muda
 
Back
Top Bottom