Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Wasi wasi wangu ni ile tume.
Tulia kwanza mkuu hujui mipango chini ya carpetNyie tatizo lenu mnapokea puppet ili Chadema tusiende ikulu ila mjue unafiq utawaponza.
Rangi bomba sana, zamani ilitumika kwa mavazi ya KifalmeZanzibar imekuwa purple ghafla
Uko sahihi 100%Ndugu yangu tusubiri. Muda bado na hata hizo fomu za ugombea hazijarudishwa na zaidi hazijapitishwa. Hata kampeni bado. Bado muda upo. Haraka haraka haina baraka. Wapinzania siyo wajinga na wanajua wanachokifanya.
Tena basi kumbuka: muda mzuri wa kuungana ni baada ya kampeni kuanza na kujua yupi amepitishwa na NEC kugombea nini. Nadhani unajua kabisa hili tawi la CCM linavyoweza kufanya lolote iwapo wataungana mapema na wagombea rasmi kujulikana.
Viongozi wenu hawataki kugawa Ruzuku tatizo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wala hawana shida na nchiIvi jaman kwa mgawanyiko huu kweli tutaiweza ccm kweli??
Wapinzani huwa mnatuangusha sana wananchi au mna ajenda ya makusudi kubuy time ccm akiendelea kutawala?
Bila kuungana nawahakikishia hamtaing'oa ccm, mnatupotezea mda wapiga kula.
tena ni afadhali wkt ule tukiwa na ukawa ulituunganisha na ccm kama alikufa japo tume NEC iliwanusuru lkn kwa hali hii ya sasa mnajua mnapoteza mda tu ccm hamtaiweza.
KUMBUKENI,
UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFI.
KIDOLE KIMOJA HAKIVUNJI CHAWA.
NDG WAKIGOMBANA CHUKUA JEMBE UKALIME WAKIPATANA CHUKUA KAPU KAVINE, MAANAKE NI HERI TUSHUGULIKE NA MAMBO YETU NYIE NI WASANII TU.
AHYA MTATWAMBIA..
Unatoa povu bure hujui hata viongozi wa upinzsni wamekubaliana je tulia kunywa maji usije aibikaAcheni ubanafsi hivi nyie mnajiona keki eti eh! Kwamba Nyinyi ndio mna haki ya kuwa wapinzani, hii ndio Demokrasia kila mtu ashinde mechi zake!
Hivi mkuu hawawezi kubaliana mmoja awe rais na nwingine awe mgombea mwenza?Itabidi Tundu Lisu ampishe Membe awe mgombea urais wa Upinzani!
ACT hata ipate serikali yote ya Zanzibar, bado maamuzi yako huku bara maana ndio yenye maamuzi yote.
Imwagike nini, labda Kama ni ya familia yako.Huu mwaka "nanihiii" isipomwagika, sijui!
Sasahuyo Lissu ni charismatic au uropokaji na huruma ya kupigwa risasi ndo msaada kwake.??Membe hamuwezi Lissu hata robo kwanza sio Charismatic
Rais akitoka bara mgombea mwenza lazima atoke Zanzibar kwa mujibu wa katiba!Hivi mkuu hawawezi kubaliana mmoja awe rais na nwingine awe mgombea mwenza?
kipimo cha haki ni kumtangaza yule aliyepata kura nyingi kuliko wenziwe. basi. hakuna chengine!Hiyo ndio kauli ya kiongozi mkuu wa ACT wazalendo mh Zitto Kabwe kwenye mapokezi ya viongozi wa ACT wazalendo huko visiwani Zanzibar.
Amesema wazanzibar watakuwa na haki ya kulinda ushindi wa kiongozi wao na kwamba Zanzibar itakuwa na amani iwapo tu haki itatendeka.
View attachment 1532201
View attachment 1532209
MY TAKE: matamshi ya Mh Zitto na yale ya Mh Tundu Lissu yanafanana kwa kiasi fulani.
Tutarajie matamko mengi mno kuelekea uchaguzi mkuu lakini tujiulize.
Ni kipimo kipi Cha haki kutendeka kitakachofanya wakubaliane na matokeo iwapo wakishibdwa uchaguzi?
Hivi vitisho dhidi ya amani yetu vinaashiria nini?
Mtoto huyo wa 1992 hamjui vizuri maalim seif sharif hamad, kwaa taarifa yake baada ya uchaguzi chama mali yake, hapo ndo atajua nguvu ya chama iko wapi kati ya unguja na kigoma.Hapo unajidanganya mkuu, inaonekanwa unamchukulia poa sana Maalim Seif