Zanzibar 2020 Zanzibar: Hali ilivyo mapokezi ya Mgombea Urais Kupitia ACT- Wazalendo, Maalim Seif na Bernard Membe. Ni Mafuriko

Zanzibar 2020 Zanzibar: Hali ilivyo mapokezi ya Mgombea Urais Kupitia ACT- Wazalendo, Maalim Seif na Bernard Membe. Ni Mafuriko

Mimi natamani CHADEMA wawaachie ACT majimbo ya Zanzibar, halafu huku bara waunganishe nguvu na waachiane majimbo kulingana na eneo chama kipi kina nguvu angalau wasiburuzwe ovyo ovyo bungeni. Wakiweza ku-win majority bungeni, ni dhahiri hata rais akiwa JPM watamdhibiti.
 
Zanzibar hawajieajielew hata kidogo ndo maana hawajawahi kuanzisha chama
Ukitaka kujua kwamba Zanzibar wanajielewa kuliko sisi, angalia idadi ya wanao swap vyama. Kuhama kutoka chama kimoja kwenda kingine, ni wapi wana swap sana vyama kati ya bara na visiwani? Loyalty (utiifu) kwa chama ni mkubwa sana visiwani kuliko bara.
 
Haya mataga njooni muone si mlisema upinzani umekufa? Ukosa akili kitu kibaya sana ,mlifikiri kuzuia mikutano ya kisiada ndio ujanjaujanja ?Haya sasa faida yake mmeiona.
 
Mtoto huyo wa 1992 hamjui vizuri maalim seif sharif hamad, kwaa taarifa yake baada ya uchaguzi chama mali yake, hapo ndo atajua nguvu ya chama iko wapi kati ya unguja na kigoma.
Mbona ccm inapumulia mashine kule chato kila kitu ni mwenyekiti nyie wengine ni walamba tu makalio na kusifia kijinga jinga
 
Haya mataga njooni muone si mlisema upinzani umekufa? Ukosa akili kitu kibaya sana ,mlifikiri kuzuia mikutano ya kisiada ndio ujanjaujanja ?Haya sasa faida yake mmeiona.
Achana nayo maccm hayana aili kabisa
 
Tunamsubiri kwa hamu Maalim Seif huku Pemba.
Hapo ndipo mtakapojua kuwa kuna ghalika ya umati wa wana ACT Wazalendo.
 
Ivi jaman kwa mgawanyiko huu kweli tutaiweza ccm kweli??
Wapinzani huwa mnatuangusha sana wananchi au mna ajenda ya makusudi kubuy time ccm akiendelea kutawala?

Bila kuungana nawahakikishia hamtaing'oa ccm, mnatupotezea mda wapiga kula.
tena ni afadhali wkt ule tukiwa na ukawa ulituunganisha na ccm kama alikufa japo tume NEC iliwanusuru lkn kwa hali hii ya sasa mnajua mnapoteza mda tu ccm hamtaiweza.

KUMBUKENI,
UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFI.

KIDOLE KIMOJA HAKIVUNJI CHAWA.

NDG WAKIGOMBANA CHUKUA JEMBE UKALIME WAKIPATANA CHUKUA KAPU KAVINE, MAANAKE NI HERI TUSHUGULIKE NA MAMBO YETU NYIE NI WASANII TU.

AHYA MTATWAMBIA..
Shida lisu hataki mtu mwingine agombee urais kuwakilisha umoja zaidi ya yeye
 
Back
Top Bottom