Chukueni na Magogoni!!!
 
Huu mnakasha ni kuhusu zanzibar kumiliki shamba la mukurunge sio Bandari
 
Mamlaka alikua nayo ndio maana aliwapa
Ardhi ya Tanganyika ni mali ya Serikali ya Tanganyika ni kuwa inakodishwa tu.
Hata hiyo ya Bagamoyo, Zanzibar ilikodishwa ili kunenepeshea mifugo tu.
Ila awamu hii mnaongea kwa ubabe sana. Mjue Kuna kesho pia.
Na hiyo hati mnayo ihangaikia sasa siyo ya milele.
Sana sana mtapewa ya miaka 90 ila kisheria ni miaka 30 tu.

Zanzibar hamna kipande cha ardhi Tanganyika. Na hamta kuja kuwa nacho.
 
Hao Wajurumani walikuwa na uhalali gani wa kumiliki na kuigawa ardhi ya Tanganyika kwa Sultan?
Unadhani kwa nini Wajerumani hawakumgawia Sultan kipande cha ardhi pale Berlin au Born au Frunkfurt?
Elimu ikusaidie kufikiri bhana.
 
Mlipoambiwa kuna siku nchi itapigwa mnada na aliyesema akalazimishwa kujiuzulu unadhani ilikuwa bongo movie?
"Ipo siku mtanikumbuka, na najua mtanikumbuka kwa mazuri"
Kuna nwanasiasa mzalendo wa upinzani aliwahi kuonya kwamba" ikitokea tukapata rais mwenye mpenzi nje ya Tanzania ,akapewa mapenzi akanogewa,basi atagawa rasilimali zetu kama njugu." Je ,ndo unabii unatimia?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Kipo sii ndio hicho cha makurunge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…