Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Rejea...." ni marufuku kwa mtu au kikundi au taasisi kufanya shughuli yoyote........." hujaelewa nini hapo?kwanini mnapenda kupotosha habari?hajasema mTanganyika yeyote bali amesema mtu,kikundi au taasisi yeyote....unapata faida gani ukipotosha
Ni bara Mkuu
Walilipata kihalali ndiyo maana wanaonesha umiliki wao wa halali...rejea hatari ya kutokushirikishwa kwenye majadiliano mezani ni kushirikishwa wakati wa kula...Duu, kama ni hivyo basi ni shidaa.
Lkn swali langu ni namna walivyolipata.
Sikilizah🤣🤣🤣🤣View attachment 2641794
sasa ulichojibu ni nini umesoma lichondika mtoa mada yeye amesema hairuhusiwi mTngnyika yeyoteRejea...." ni marufuku kwa mtu au kikundi au taasisi kufanya shughuli yoyote........." hujaelewa nini hapo?
Ulienda lini kuomba ardhi ukanyimwa?Kwanini Mimi msukuma siruhusiwi kumiliki ardhi pale michenzani Znz??
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania ni nchi moja ya JMT, ambapo Zanzibar ni sehemu ya JMT, SMZ na Mzanzibari yoyote yuko huru kumiliki Ardhi huku kwasababu kila Mzanzibari ni Mtanzania, ana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki Ardhi.
Ranchi ya Makurunge iliyopo Bagamoyo ni mali halali ya SMZ. Tena tuna bahati wakoloni Wajerumani walitusaidia, ukanda wa maili 10 za Pwani yote ya bahati ya Hindi kuanzia Sofala hadi Mombasa ilikuwa ni mali ya Sultan of Zanzibar!. Sultan alipewa eneo hilo na mkutano wa Berlin kugawana Africa ile 1884. Miaka 6 baadae 1890, ndipo Ujerumani, na Uingereza wakaingia mkataba za Sultan of Zanzibar awaachie, na wao wakaahidi kumlinda.
Mkataba huo unaitwa The Zanzibar Treaty, huku Ujerumani na Uingereza wakiachiana maeneo, visiwa vya Witu na Helingoland, na ni mkataba huu ndio wakahamisha mipaka ya Ziwa Nyasa kulifanya la Malawi!.
P
Tatizo la historia ni pale inapojirudia tunakuwa tumeshasahauHeligoland treaty kila Mtanzania kasoma historia shule ya msingi...
Ajabu watu wanajitoa ufaham
Tanzania ni nchi moja ya JMT, ambapo Zanzibar ni sehemu ya JMT, SMZ na Mzanzibari yoyote yuko huru kumiliki Ardhi huku kwasababu kila Mzanzibari ni Mtanzania, ana haki zote za Utanzania ikiwemo kumiliki Ardhi.
Ranchi ya Makurunge iliyopo Bagamoyo ni mali halali ya SMZ. Tena tuna bahati wakoloni Wajerumani walitusaidia, ukanda wa maili 10 za Pwani yote ya bahati ya Hindi kuanzia Sofala hadi Mombasa ilikuwa ni mali ya Sultan of Zanzibar!. Sultan alipewa eneo hilo na mkutano wa Berlin kugawana Africa ile 1884. Miaka 6 baadae 1890, ndipo Ujerumani, na Uingereza wakaingia mkataba za Sultan of Zanzibar awaachie, na wao wakaahidi kumlinda.
Mkataba huo unaitwa The Zanzibar Treaty, huku Ujerumani na Uingereza wakiachiana maeneo, visiwa vya Witu na Helingoland, na ni mkataba huu ndio wakahamisha mipaka ya Ziwa Nyasa kulifanya la Malawi!.
P
Umetumia Artificial IntelligenceKwa nini isiwe kama Mrusi na Ukraine mambo yapambe moto ili tuone nani ni nani
Hili ni kweli, ardhi hiyo ipo na inajulikana kwa jina la RAZABA (sijui kirefu chake). Nimefika, nimeliona eneo na ninalifahamu.Kama hili lina ukweli huenda likawa kivutio cha utalii..
Sikiliza hiiView attachment 2641794
Umewahi hata kufika Zanzibar wewe? Hairuhusiwi mtu wa bara kumiliki kiwanja na kugombea uongozi wa aina yoyote hukuUlienda lini kuomba ardhi ukanyimwa?
Wapo wabara Wengi wenye mashamba huko Zanzibar...acheni kuandika vitu bila uhakika
Nadhani maana mstari wa mpaka umenyooshwa kwa rula, pale kwenye mlima, wakapindisha, mlima ukaingizwa kwetu.Na huu mkata wa Heligoland si ndo uliweka Kona ili kuondoa mlima Kenya na kuurudisha Tanzania? Hicho ki-kona kati ya bahari ya Hindi na ziwa Victoria ndo kiliwachinja Wakenya