Huku kila uchwao watu wanatapeliwa. Kuna wenyeviti feki ,madalali feki na madiwani feki. Ukienda kichwa kichwa unapigwa vizuri tu.Halafu huko Makurunge ya Bagamoyo (sio Kiluvya), kuna raia wanauziana viwanja kama hawana akili nzuri...
Huenda kuna wajanja wanalijua hili, wanaingiza watu mkenge huko...
Hata hiyo ya tatu hatuna manufaa nayo tuachane na huu muungano wa kikupe kila mmoja abaki kwake.Serikali 3
Kwani muuzaji wa Hekari 1700 anaweza kuwa nani? Mwenyekiti wa Kijiji au?Msemaji wa Serikali ya Zanzibari, Charles Hillary amesema Shamba la Zaba lililoko Makurunge wilayani Bagamoyo ni mali ya Serikali ya Zanzibar hakuna mtu anayeruhusiwa kufanya shughuli yoyote eneo hilo.
Msemaji amesema Zanzibar imemiliki eneo hilo lenye ukubwa wa heka 1700 tangu mwaka 1977. Na amesema yoyete atakayeuziwa eneo katika ardhi hiyo hatalipwa fidia.
View attachment 2641879
😀Msemaji wa Serikali ya Zanzibari, Charles Hillary amesema Shamba la Zaba lililoko Makurunge wilayani Bagamoyo ni mali ya Serikali ya Zanzibar hakuna mtu anayeruhusiwa kufanya shughuli yoyote eneo hilo.
Msemaji amesema Zanzibar imemiliki eneo hilo lenye ukubwa wa heka 1700 tangu mwaka 1977. Na amesema yoyete atakayeuziwa eneo katika ardhi hiyo hatalipwa fidia.
View attachment 2641879
Hakika, 1 au UFE.Hata hiyo tatu hatuna manufaa nayo tuachane na huu muungano wa kikupe kila mmoja abaki kwake.
Huo mkoa unaiendesha sana Bara kwa ujinga so called muungano ukichukulia huo muungano hauna favour yoyote kwa mtu wa Bara.
Kwa jicho la tatu ni bora serikali tatuHata hiyo tatu hatuna manufaa nayo tuachane na huu muungano wa kikupe kila mmoja abaki kwake.
Huo mkoa unaiendesha sana Bara kwa ujinga so called muungano ukichukulia huo muungano hauna favour yoyote kwa mtu wa Bara.
Hako kanchi kanasumbua sana. Juzi tu kamesamehewa deni la umeme bilioni kadhaa. Na vyombo vipo vinaona tu huku waruguru sisi na wapare tukiendelea kulipa units za umemeNchi inamiliki eneo ndani ya nchi nyingine? Makubwa!
Duuh🙄Msemaji wa Serikali ya Zanzibari, Charles Hillary amesema Shamba la Zaba lililoko Makurunge wilayani Bagamoyo ni mali ya Serikali ya Zanzibar hakuna mtu anayeruhusiwa kufanya shughuli yoyote eneo hilo.
Msemaji amesema Zanzibar imemiliki eneo hilo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977. Na amesema yoyete atakayeuziwa eneo katika ardhi hiyo hatalipwa fidia.
View attachment 2641879
Hivi mkuu wewe unaweza kutuwekea hapa japo sababu moja ya msingi ya kwanini tuendelee na muungano na visiwani?Kwa jicho la tatu ni bora serikali tatu
Ya tuachane na uu muungano wa kipong'ole kila mmoja akae kivyake.Hata hiyo tatu hatuna manufaa nayo tuachane na huu muungano wa kikupe kila mmoja abaki kwake.
Huo mkoa unaiendesha sana Bara kwa ujinga so called muungano ukichukulia huo muungano hauna favour yoyote kwa mtu wa Bara.
Nchi gani ya serikali tatu ndio maana wazungu wanatuona nyani kwa akili hizi, muungano gani huu .Kwa jicho la tatu ni bora serikali tatu
Makato yako Chale!!Msemaji wa Serikali ya Zanzibari, Charles Hillary amesema Shamba la Zaba lililoko Makurunge wilayani Bagamoyo ni mali ya Serikali ya Zanzibar hakuna mtu anayeruhusiwa kufanya shughuli yoyote eneo hilo.
Msemaji amesema Zanzibar imemiliki eneo hilo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977. Na amesema yoyete atakayeuziwa eneo katika ardhi hiyo hatalipwa fidia.
View attachment 2641879
Serikali ya marekani majimbo yaliyo ungana kutengeneza nchiNchi gani ya serikali tatu ndio maana wazungu wanatuona nyani kwa akili hizi, muungano gani huu .
Raisi angekuwa mmoja wa jamuhuri ya muungano zenji ikagawanywa mikoa ya tanzania uko wakawekwa wakuu wa mikoa alikadhalika kama ilivyo uku.
1.Higher Distribution of resourcesHivi mkuu wewe unaweza kutuwekea hapa japo sababu moja ya msingi ya kwanini tuendelee na muungano na visiwani?
Just one,moja tu.
Hako kanchi kanasumbua sana. Juzi tu kamesamehewa deni la umeme bilioni kadhaa. Na vyombo vipo vinaona tu huku waruguru sisi na wapare tukiendelea kulipa units za umeme
TAIFA DOGO LIMELIMEZA TAIFA KUBWA.WATANGANYIKA TUAMKENI CCM IMETUINGIZA UTUMWANI. HAWA WAZANZIBARI WAKIWA WENYEWE WANATUTUKANA NA KUTUDHARAU SANA SISI WATANGANYIKA.Kwani muuzaji wa Hekari 1700 anaweza kuwa nani? Mwenyekiti wa Kijiji au?
Ndio kusema jmt ni kivuli cha smz sasa hivi?