Zanzibar imepata wapi hela zote hizi ndani ya miaka 3? tangia Samia awe Rais wa Muungano skuli za ghorofa mpaka Kojani

Zanzibar imepata wapi hela zote hizi ndani ya miaka 3? tangia Samia awe Rais wa Muungano skuli za ghorofa mpaka Kojani

saigilomagema

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2015
Posts
4,683
Reaction score
7,222
Tanganyika shule ya ghorofa hairuhusiwi?

Zanzibar imepata wapi pesa zote hizi sahivi? Hasa baada ya Samia kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Huyu haoni hata aibu, tukimchagua tena 2025 hiyo miaka 5 Tanganyika kuna kitakachokuwa kimebaki?

Watanganyika tuamke

Tuko kwenye ukoloni wa Zanzibar, tutafute uhuru kwa mara ya pili. Tanganyika hali ya miundo mbinu ni mbaya sana, shule za sekondari huku hata plasta hazijapigwa unajenga maghorofa upande wa Zanzibar huoni ht aibu na huruma? Barabara ukienda mikoa kama Manyara, Simiyu, Singida ni mbaya sana. Mswahili ni mswahili tu hata haya haoni.

Atuachie nchi yetu, huu muungano hauna faida, ni kainchi km wilaya kuionyonya nchi kubwa, Kweli Tanganyika ni kubwa jinga.

Huu muungano upo kumfurahisha nani? Wazanzibari wenyewe hawautaki, Waziri mkuu ni wa Jamhuri ya muungano lakini wazanzibari hawamwelewi na hawamheshimu, tunataka kumfurahisha nani?.

Abeid Amani alikubali muungano ili kuilinda Zanzibar, kulinda mapinduzi maana Sultani angerudi na kuwamaliza hao midubwedo.
 
Nijuavyo mimi ujenzi wa majengo ya shule za ngorofa serikali imeelekeza kujenga kwenye maeneo yasiyo na viwanja vikubwa hasa mijini. Lengo hasa kuwezesha eneo lililopo liwezeshe kuratua tatizo la uhaba wa madarasa/zahanati nk.
Ila zanzibar najua wazi eneo lao ni dogo hivyo wamekubaliana kufanya hivyo.
Ila majengo ya shule kwa sasa yanajengwa mengi tu tena kwenye kila Halmashauri zaidi ya 184 Tz bara.
 
Tanganyika shule ya ghorofa hairuhusiwi?

Zanzibar imepata wapi pesa zote hizi sahivi? Hasa baada ya Samia kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Huyu haoni hata aibu, tukimchagua tena 2025 hiyo miaka 5 Tanganyika kuna kitakachokuwa kimebaki?

Watanganyika tuamke

Tuko kwenye ukoloni wa Zanzibar, tutafute uhuru kwa mara ya pili. Tanganyika hali ya miundo mbinu ni mbaya sana, shule za sekondari huku hata plasta hazijapigwa unajenga maghorofa upande wa Zanzibar huoni ht aibu na huruma? Barabara ukienda mikoa kama Manyara, Simiyu, Singida ni mbaya sana. Mswahili ni mswahili tu hata haya haoni.

Atuachie nchi yetu, huu muungano hauna faida, ni kainchi km wilaya kuionyonya nchi kubwa, Kweli Tanganyika ni kubwa jinga.

Huu muungano upo kumfurahisha nani? Wazanzibari wenyewe hawautaki, Waziri mkuu ni wa Jamhuri ya muungano lakini wazanzibari hawamwelewi na hawamheshimu, tunataka kumfurahisha nani?.

Abeid Amani alikubali muungano ili kuilinda Zanzibar, kulinda mapinduzi maana Sultani angerudi na kuwamaliza hao midubwedo.
Ukiacha wivu utafika mbali

Hivi kweli shule ambazo zitatoa elimu ni kitu cha kuonea wivu?
 
Tanganyika shule ya ghorofa hairuhusiwi?

Zanzibar imepata wapi pesa zote hizi sahivi? Hasa baada ya Samia kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Huyu haoni hata aibu, tukimchagua tena 2025 hiyo miaka 5 Tanganyika kuna kitakachokuwa kimebaki?

Watanganyika tuamke

Tuko kwenye ukoloni wa Zanzibar, tutafute uhuru kwa mara ya pili. Tanganyika hali ya miundo mbinu ni mbaya sana, shule za sekondari huku hata plasta hazijapigwa unajenga maghorofa upande wa Zanzibar huoni ht aibu na huruma? Barabara ukienda mikoa kama Manyara, Simiyu, Singida ni mbaya sana. Mswahili ni mswahili tu hata haya haoni.

Atuachie nchi yetu, huu muungano hauna faida, ni kainchi km wilaya kuionyonya nchi kubwa, Kweli Tanganyika ni kubwa jinga.

Huu muungano upo kumfurahisha nani? Wazanzibari wenyewe hawautaki, Waziri mkuu ni wa Jamhuri ya muungano lakini wazanzibari hawamwelewi na hawamheshimu, tunataka kumfurahisha nani?.

Abeid Amani alikubali muungano ili kuilinda Zanzibar, kulinda mapinduzi maana Sultani angerudi na kuwamaliza hao midubwedo.
Nyie Tanzania bara mmekalia wizi wa ufisadi tu. Ukitokea mradi mnaanza kukaa vikao hapa tunakulaje.

Wenzenu zikija fedha za miradi zote zinafanya mrsdi husika na ndo mana mnaona wenzenu saivi ni magholofa tu. Si shule za kawaida, si makazi ya wananchi.

Nyie endeleeni na ufisadi tu na mark this comment. In 15 years tutaenda kujifunza Zanzibar kwa namna walivyoendelea kama tunavyoenda kujifunza Singapore na Korea Kusini.
 
Nijuavyo mimi ujenzi wa majengo ya shule za ngorofa serikali imeelekeza kujenga kwenye maeneo yasiyo na viwanja vikubwa hasa mijini. Lengo hasa kuwezesha eneo lililopo liwezeshe kuratua tatizo la uhaba wa madarasa/zahanati nk.
Ila zanzibar najua wazi eneo lao ni dogo hivyo wamekubaliana kufanya hivyo.
Ila majengo ya shule kwa sasa yanajengwa mengi tu tena kwenye kila Halmashauri zaidi ya 184 Tz bara.
Tanzania bara yanajengwa mabanda ya kuku.

Ushahidi ninao. Fedha za Covid ziligawanywa sawa ila kuna shule walijenga madirisha ya aluminium na wakaweka hadi feni na kuna shule walijenga madirisha ya machuma kama gereza

Bara mkijua tatizo kuu linalowaridisha nyuma ni ujinga unaowafanya wanasiasa kugeuza kazi zao za kisiasa kama chanzo cha kujipatia utajiri alafu mkiwa hamuwezi kuwafanya lolote kwa sababu ya Katiba mbovu ndo mtakuja kupata akili.
 
Tanganyika shule ya ghorofa hairuhusiwi?

Zanzibar imepata wapi pesa zote hizi sahivi? Hasa baada ya Samia kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Huyu haoni hata aibu, tukimchagua tena 2025 hiyo miaka 5 Tanganyika kuna kitakachokuwa kimebaki?

Watanganyika tuamke

Tuko kwenye ukoloni wa Zanzibar, tutafute uhuru kwa mara ya pili. Tanganyika hali ya miundo mbinu ni mbaya sana, shule za sekondari huku hata plasta hazijapigwa unajenga maghorofa upande wa Zanzibar huoni ht aibu na huruma? Barabara ukienda mikoa kama Manyara, Simiyu, Singida ni mbaya sana. Mswahili ni mswahili tu hata haya haoni.

Atuachie nchi yetu, huu muungano hauna faida, ni kainchi km wilaya kuionyonya nchi kubwa, Kweli Tanganyika ni kubwa jinga.

Huu muungano upo kumfurahisha nani? Wazanzibari wenyewe hawautaki, Waziri mkuu ni wa Jamhuri ya muungano lakini wazanzibari hawamwelewi na hawamheshimu, tunataka kumfurahisha nani?.

Abeid Amani alikubali muungano ili kuilinda Zanzibar, kulinda mapinduzi maana Sultani angerudi na kuwamaliza hao midubwedo.
Mind your business.
Fankuro.
 
Back
Top Bottom