Zanzibar imepata wapi hela zote hizi ndani ya miaka 3? tangia Samia awe Rais wa Muungano skuli za ghorofa mpaka Kojani

Zanzibar imepata wapi hela zote hizi ndani ya miaka 3? tangia Samia awe Rais wa Muungano skuli za ghorofa mpaka Kojani

Tanganyika shule ya ghorofa hairuhusiwi?

Zanzibar imepata wapi pesa zote hizi sahivi? Hasa baada ya Samia kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Huyu haoni hata aibu, tukimchagua tena 2025 hiyo miaka 5 Tanganyika kuna kitakachokuwa kimebaki?

Watanganyika tuamke

Tuko kwenye ukoloni wa Zanzibar, tutafute uhuru kwa mara ya pili. Tanganyika hali ya miundo mbinu ni mbaya sana, shule za sekondari huku hata plasta hazijapigwa unajenga maghorofa upande wa Zanzibar huoni ht aibu na huruma? Barabara ukienda mikoa kama Manyara, Simiyu, Singida ni mbaya sana. Mswahili ni mswahili tu hata haya haoni.

Atuachie nchi yetu, huu muungano hauna faida, ni kainchi km wilaya kuionyonya nchi kubwa, Kweli Tanganyika ni kubwa jinga.

Huu muungano upo kumfurahisha nani? Wazanzibari wenyewe hawautaki, Waziri mkuu ni wa Jamhuri ya muungano lakini wazanzibari hawamwelewi na hawamheshimu, tunataka kumfurahisha nani?.

Abeid Amani alikubali muungano ili kuilinda Zanzibar, kulinda mapinduzi maana Sultani angerudi na kuwamaliza hao midubwedo.
Ukiwa mpumbavu jitahidi kuficha upumbavu wako.

Zanzibar ni ndogo Kwa Ardhi hakuna sehemu watajenga majengo ya chini.

Pili Zanzibar imeimarika sana kiuchumi awamu hii ya Mwinyi na Mama kuanzia Mapato Hadi Utalii.

Mwisho nikuoneshe shule za gorofa za Serikali zilizojengwa ujione ulivyo lodi lofa?
20241204_071326.png
20241204_071338.png
habarimpyatv__1727431474127.jpg
habarimpyatv__1727431474984.jpg
rc_mkoa_arusha_1731123933394.jpg
rc_mkoa_arusha_1731123932935.jpg
 
Tanganyika shule ya ghorofa hairuhusiwi?

Zanzibar imepata wapi pesa zote hizi sahivi? Hasa baada ya Samia kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Huyu haoni hata aibu, tukimchagua tena 2025 hiyo miaka 5 Tanganyika kuna kitakachokuwa kimebaki?

Watanganyika tuamke

Tuko kwenye ukoloni wa Zanzibar, tutafute uhuru kwa mara ya pili. Tanganyika hali ya miundo mbinu ni mbaya sana, shule za sekondari huku hata plasta hazijapigwa unajenga maghorofa upande wa Zanzibar huoni ht aibu na huruma? Barabara ukienda mikoa kama Manyara, Simiyu, Singida ni mbaya sana. Mswahili ni mswahili tu hata haya haoni.

Atuachie nchi yetu, huu muungano hauna faida, ni kainchi km wilaya kuionyonya nchi kubwa, Kweli Tanganyika ni kubwa jinga.

Huu muungano upo kumfurahisha nani? Wazanzibari wenyewe hawautaki, Waziri mkuu ni wa Jamhuri ya muungano lakini wazanzibari hawamwelewi na hawamheshimu, tunataka kumfurahisha nani?.

Abeid Amani alikubali muungano ili kuilinda Zanzibar, kulinda mapinduzi maana Sultani angerudi na kuwamaliza hao midubwedo.
Anatoa hela bara na kuwapa wala urojo wenzake huko kibanda maiti na mchamba wima
 
Tanganyika shule ya ghorofa hairuhusiwi?

Zanzibar imepata wapi pesa zote hizi sahivi? Hasa baada ya Samia kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Huyu haoni hata aibu, tukimchagua tena 2025 hiyo miaka 5 Tanganyika kuna kitakachokuwa kimebaki?

Watanganyika tuamke

Tuko kwenye ukoloni wa Zanzibar, tutafute uhuru kwa mara ya pili. Tanganyika hali ya miundo mbinu ni mbaya sana, shule za sekondari huku hata plasta hazijapigwa unajenga maghorofa upande wa Zanzibar huoni ht aibu na huruma? Barabara ukienda mikoa kama Manyara, Simiyu, Singida ni mbaya sana. Mswahili ni mswahili tu hata haya haoni.

Atuachie nchi yetu, huu muungano hauna faida, ni kainchi km wilaya kuionyonya nchi kubwa, Kweli Tanganyika ni kubwa jinga.

Huu muungano upo kumfurahisha nani? Wazanzibari wenyewe hawautaki, Waziri mkuu ni wa Jamhuri ya muungano lakini wazanzibari hawamwelewi na hawamheshimu, tunataka kumfurahisha nani?.

Abeid Amani alikubali muungano ili kuilinda Zanzibar, kulinda mapinduzi maana Sultani angerudi na kuwamaliza hao midubwedo.
Raisi wa Zanzibar ni Hussein Mwinyi sio Samia, zile ni pesa za Mwinyi sio Samia punguza chuki kijana.
 
Nyie Tanzania bara mmekalia wizi wa ufisadi tu. Ukitokea mradi mnaanza kukaa vikao hapa tunakulaje.

Wenzenu zikija fedha za miradi zote zinafanya mrsdi husika na ndo mana mnaona wenzenu saivi ni magholofa tu. Si shule za kawaida, si makazi ya wananchi.

Nyie endeleeni na ufisadi tu na mark this comment. In 15 years tutaenda kujifunza Zanzibar kwa namna walivyoendelea kama tunavyoenda kujifunza Singapore na Korea Kusini.

..Wazanzibari wanafisadi mali za Tanganyika tu.

..kwao hakuna kitu cha kuiba wala kufisadi.

..nchi inaagiza mpaka mchanga toka Tanganyika.
 
Tanganyika shule ya ghorofa hairuhusiwi?

Zanzibar imepata wapi pesa zote hizi sahivi? Hasa baada ya Samia kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Huyu haoni hata aibu, tukimchagua tena 2025 hiyo miaka 5 Tanganyika kuna kitakachokuwa kimebaki?

Watanganyika tuamke

Tuko kwenye ukoloni wa Zanzibar, tutafute uhuru kwa mara ya pili. Tanganyika hali ya miundo mbinu ni mbaya sana, shule za sekondari huku hata plasta hazijapigwa unajenga maghorofa upande wa Zanzibar huoni ht aibu na huruma? Barabara ukienda mikoa kama Manyara, Simiyu, Singida ni mbaya sana. Mswahili ni mswahili tu hata haya haoni.

Atuachie nchi yetu, huu muungano hauna faida, ni kainchi km wilaya kuionyonya nchi kubwa, Kweli Tanganyika ni kubwa jinga.

Huu muungano upo kumfurahisha nani? Wazanzibari wenyewe hawautaki, Waziri mkuu ni wa Jamhuri ya muungano lakini wazanzibari hawamwelewi na hawamheshimu, tunataka kumfurahisha nani?.

Abeid Amani alikubali muungano ili kuilinda Zanzibar, kulinda mapinduzi maana Sultani angerudi na kuwamaliza hao midubwedo.
Miaka kadhaa nyuma kabla ya wafanyabiashara kuanza kwenda China na dubai, Zanzibar ndio ilikuwa dubai yetu. baada ya miaka kupita Znz ikafa kibiashara maajabu sisi wa Bara hatukuonyesha kusikitika.

Baada ya Znz kuanza kurejea kwenye fomu sasa kila kitu tunamsingizia mama. Hii ni dalili ya wivu, chuki na roho mbaya tuliyo nayo sisi wa bara. Kwetu kumejaa mijizi na mijambazi na tunatakiwa tupambane na hali zetu.

Kifupi znz walishatuzidi kiujanja kitambo sana. mambo tunayoyafanya sisi znz walishayafanya muda. znz walitangulia kuwa na umeme, leseni za card, vitambulisho vya taifa nk. Hata CCTV barabarani sie mpaka leo tunasua sua.

Sasa bwana mleta post wacha roho mbaya na hata huku bara shule za ghorofa zipo. Ni aidha ujinga wako, hufuatilii habari au uvivu basi hata wa kugoogle. Baadhi ya shule za ghorofa bara ni hizi

Screenshot_20250109-061536~2.png
Screenshot_20250109-061600~2.png
Screenshot_20250109-061920~2.png
Screenshot_20250109-062059~2.png
Screenshot_20250109-062023~2.png
 

Attachments

  • Screenshot_20250109-061629~2.png
    Screenshot_20250109-061629~2.png
    1.4 MB · Views: 4
Miaka kadhaa nyuma kabla ya wafanyabiashara kuanza kwenda China na dubai, Zanzibar ndio ilikuwa dubai yetu. baada ya miaka kupita Znz ikafa kibiashara maajabu sisi wa Bara hatukuonyesha kusikitika.

Baada ya Znz kuanza kurejea kwenye fomu sasa kila kitu tunamsingizia mama. Hii ni dalili ya wivu, chuki na roho mbaya tuliyo nayo sisi wa bara. Kwetu kumejaa mijizi na mijambazi na tunatakiwa tupambane na hali zetu.

Kifupi znz walishatuzidi kiujanja kitambo sana. mambo tunayoyafanya sisi znz walishayafanya muda. znz walitangulia kuwa na umeme, leseni za card, vitambulisho vya taifa nk. Hata CCTV barabarani sie mpaka leo tunasua sua.

Sasa bwana mleta post wacha roho mbaya na hata huku bara shule za ghorofa zipo. Ni aidha ujinga wako, hufuatilii habari au uvivu basi hata wa kugoogle. Baadhi ya shule za ghorofa bara ni hizi

View attachment 3196332View attachment 3196333View attachment 3196335View attachment 3196336View attachment 3196337
Majitu hayo ya Chadomo yalishajaa upumbavu sana,yanashida kwenye pages za udaku na X au Kwa kina Shangazi ndio maana hakuna kitu yanajua.

Kwa taarifa Yao tuu Mkoa wa Dar,Jiji la Arusha nk wamefuta utaratibu wa kujenga majengo ya shule za chini ni mwendo wa magorofa tuu.

View: https://www.instagram.com/reel/DD99GzPttfM/?igsh=c2Ntb3MyYnl3MW9l

Na Kwa taarifa Yao tuu hakuna Rais amejenga shule nyingi za gorofa Nchi hii kama Samia 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DEbpoi9oJvq/?igsh=eGpob2xxcWk1Yng0
 
Tanganyika shule ya ghorofa hairuhusiwi?

Zanzibar imepata wapi pesa zote hizi sahivi? Hasa baada ya Samia kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Huyu haoni hata aibu, tukimchagua tena 2025 hiyo miaka 5 Tanganyika kuna kitakachokuwa kimebaki?

Watanganyika tuamke

Tuko kwenye ukoloni wa Zanzibar, tutafute uhuru kwa mara ya pili. Tanganyika hali ya miundo mbinu ni mbaya sana, shule za sekondari huku hata plasta hazijapigwa unajenga maghorofa upande wa Zanzibar huoni ht aibu na huruma? Barabara ukienda mikoa kama Manyara, Simiyu, Singida ni mbaya sana. Mswahili ni mswahili tu hata haya haoni.

Atuachie nchi yetu, huu muungano hauna faida, ni kainchi km wilaya kuionyonya nchi kubwa, Kweli Tanganyika ni kubwa jinga.

Huu muungano upo kumfurahisha nani? Wazanzibari wenyewe hawautaki, Waziri mkuu ni wa Jamhuri ya muungano lakini wazanzibari hawamwelewi na hawamheshimu, tunataka kumfurahisha nani?.

Abeid Amani alikubali muungano ili kuilinda Zanzibar, kulinda mapinduzi maana Sultani angerudi na kuwamaliza hao midubwedo.
Mtoa mada ukiacha kushinda kwenye pages za porno na za kina Lisu,Chadomo na mashangazi wenu wengine utakuja kufahamu kwamba hakuna Rais amejenga miundombinu Bora kabisa ya Elimu hapa Tanzania Kwa Wingi na Kwa viwango yakiwemo shule za magorofa kama Samia.

Hapa ni Tunduma 👇 👇

View: https://www.instagram.com/p/DDz-2PcoHrV/?igsh=OHlnaWoweTNwM2ww
 
Katiba yetu na yenyewe ni jau, huwezi kuwa na maRais wote wawili kutoka upande mmoja wa muungano - hapo lazima uwekwe mtu kati.
Kwani bara rais wao kule rais anawa wawapi?
 
Tanganyika shule ya ghorofa hairuhusiwi?

Zanzibar imepata wapi pesa zote hizi sahivi? Hasa baada ya Samia kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Huyu haoni hata aibu, tukimchagua tena 2025 hiyo miaka 5 Tanganyika kuna kitakachokuwa kimebaki?

Watanganyika tuamke

Tuko kwenye ukoloni wa Zanzibar, tutafute uhuru kwa mara ya pili. Tanganyika hali ya miundo mbinu ni mbaya sana, shule za sekondari huku hata plasta hazijapigwa unajenga maghorofa upande wa Zanzibar huoni ht aibu na huruma? Barabara ukienda mikoa kama Manyara, Simiyu, Singida ni mbaya sana. Mswahili ni mswahili tu hata haya haoni.

Atuachie nchi yetu, huu muungano hauna faida, ni kainchi km wilaya kuionyonya nchi kubwa, Kweli Tanganyika ni kubwa jinga.

Huu muungano upo kumfurahisha nani? Wazanzibari wenyewe hawautaki, Waziri mkuu ni wa Jamhuri ya muungano lakini wazanzibari hawamwelewi na hawamheshimu, tunataka kumfurahisha nani?.

Abeid Amani alikubali muungano ili kuilinda Zanzibar, kulinda mapinduzi maana Sultani angerudi na kuwamaliza hao midubwedo.


Zanzibar wananchi wanaheshimiwa huku Bara wanasiasa wana mpaka vyama vyao binafsi.

Lisu alisema ni wakati sasa wa kurudisha heshima ya kura .

Huku Tanganyika kura haziheshimiwi .

Wakurugenzi ndio wanaofanya ufisadi kwenyemiradi ya maendeleo pamoja na Tamisemi. Halafu hao hao wanavuruga uchaguzi na kudharau kura za watu . Sasa nani atahangaika na maendeleo ya watu zaidi ya kutegemea Rehema za serikali . Kifupi Tanganyika ni mali ya watawala na familia zao ndio maana hata Mbowe anataka chama chake kishuke hatamu ili nchi hii siku moja iwe mali ya Mbowe .

Kosa ni kutawaliwa na Rais mgeni kabisa.
Yaani Obama alikua na asili ya Kenya lakini alikua Mmarekani na hakuwahi kuishi Kenya wala kuwa na uraia wa Kenya lakini kule Bangladeshi rais ni kutoka Msumbiji na mara zote amekua akisema yeye ni mmakonde wa Msumbiji. Sasa hapo ni wazi lazima akumbuke nyumbani kabla ya ugenini. Kule Bangladeshi hana hata mjomba hata mshkaji hana . Hana hata rafiki zaidi ya wafanyakazi wenzake aliiwahi kufanya nao kazi au kusoma nao .
 
Zanzibar wananchi wanaheshimiwa huku Bara wanasiasa wana mpaka vyama vyao binafsi.

Lisu alisema ni wakati sasa wa kurudisha heshima ya kura .

Huku Tanganyika kura haziheshimiwi .

Wakurugenzi ndio wanaofanya ufisadi kwenyemiradi ya maendeleo pamoja na Tamisemi. Halafu hao hao wanavuruga uchaguzi na kudharau kura za watu . Sasa nani atahangaika na maendeleo ya watu zaidi ya kutegemea Rehema za serikali . Kifupi Tanganyika ni mali ya watawala na familia zao ndio maana hata Mbowe anataka chama chake kishuke hatamu ili nchi hii siku moja iwe mali ya Mbowe .

Kosa ni kutawaliwa na Rais mgeni kabisa.
Yaani Obama alikua na asili ya Kenya lakini alikua Mmarekani na hakuwahi kuishi Kenya wala kuwa na uraia wa Kenya lakini kule Bangladeshi rais ni kutoka Msumbiji na mara zote amekua akisema yeye ni mmakonde wa Msumbiji. Sasa hapo ni wazi lazima akumbuke nyumbani kabla ya ugenini. Kule Bangladeshi hana hata mjomba hata mshkaji hana . Hana hata rafiki zaidi ya wafanyakazi wenzake aliiwahi kufanya nao kazi au kusoma nao .
Acha au punguza kuvuja kamasi na mapovu hayana Msaada kwako.

Kila siku nawaambia mkiendelea kushinda kwenye pages za porno na za hao vibaraka mtashikiwa sana akili.
Screenshot_20250109-070812.jpg
tunduma_tc_1736395635871.jpg
tunduma_tc_1736395644506.jpg
tunduma_tc_1736395221511.jpg
tunduma_tc_1736395334172.jpg
tunduma_tc_1736395320982.jpg

DK Samia SS Tunduma
 
Tanganyika shule ya ghorofa hairuhusiwi?

Zanzibar imepata wapi pesa zote hizi sahivi? Hasa baada ya Samia kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Huyu haoni hata aibu, tukimchagua tena 2025 hiyo miaka 5 Tanganyika kuna kitakachokuwa kimebaki?

Watanganyika tuamke

Tuko kwenye ukoloni wa Zanzibar, tutafute uhuru kwa mara ya pili. Tanganyika hali ya miundo mbinu ni mbaya sana, shule za sekondari huku hata plasta hazijapigwa unajenga maghorofa upande wa Zanzibar huoni ht aibu na huruma? Barabara ukienda mikoa kama Manyara, Simiyu, Singida ni mbaya sana. Mswahili ni mswahili tu hata haya haoni.

Atuachie nchi yetu, huu muungano hauna faida, ni kainchi km wilaya kuionyonya nchi kubwa, Kweli Tanganyika ni kubwa jinga.

Huu muungano upo kumfurahisha nani? Wazanzibari wenyewe hawautaki, Waziri mkuu ni wa Jamhuri ya muungano lakini wazanzibari hawamwelewi na hawamheshimu, tunataka kumfurahisha nani?.

Abeid Amani alikubali muungano ili kuilinda Zanzibar, kulinda mapinduzi maana Sultani angerudi na kuwamaliza hao midubwedo.
Kabisa tunanyonywa vibaya halafu bado watanganyika wanazuiwa kuingia Zanzibar.
 
Ukiwa mpumbavu jitahidi kuficha upumbavu wako.

Zanzibar ni ndogo Kwa Ardhi hakuna sehemu watajenga majengo ya chini.

Pili Zanzibar imeimarika sana kiuchumi awamu hii ya Mwinyi na Mama kuanzia Mapato Hadi Utalii.

Mwisho nikuoneshe shule za gorofa za Serikali zilizojengwa ujione ulivyo lodi lofa? View attachment 3195959View attachment 3195960View attachment 3195963View attachment 3195964View attachment 3195965View attachment 3195966
Huu utaratibu wankuweka majina ya viongozi wa hovyo sana
 
Back
Top Bottom