Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wa hovyo ni chuki zako binafsi zinakusumbua.Huu utaratibu wankuweka majina ya viongozi wa hovyo sana
We unashangaa hayo tu !! Walifutiwa deni la Tanesco lililo karibu na tri 1 ,sekta ya afya matibabu + madawa mpaka ngazi ya ops ni bure kabisa ...njoo Tanganyika ujionee hali ilivyo !!!, HAKUNA USAWA KATIKA HUU MUUNGANO ...nowadays hakuna mzanzibari hata mmoja anaedai kero za muungano kwakuwa zanzibar inapelekewa maendeleo kwa bajeti ya serikali mbili .Tanganyika shule ya ghorofa hairuhusiwi?
Zanzibar imepata wapi pesa zote hizi sahivi? Hasa baada ya Samia kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Huyu haoni hata aibu, tukimchagua tena 2025 hiyo miaka 5 Tanganyika kuna kitakachokuwa kimebaki?
Watanganyika tuamke
Tuko kwenye ukoloni wa Zanzibar, tutafute uhuru kwa mara ya pili. Tanganyika hali ya miundo mbinu ni mbaya sana, shule za sekondari huku hata plasta hazijapigwa unajenga maghorofa upande wa Zanzibar huoni ht aibu na huruma? Barabara ukienda mikoa kama Manyara, Simiyu, Singida ni mbaya sana. Mswahili ni mswahili tu hata haya haoni.
Atuachie nchi yetu, huu muungano hauna faida, ni kainchi km wilaya kuionyonya nchi kubwa, Kweli Tanganyika ni kubwa jinga.
Huu muungano upo kumfurahisha nani? Wazanzibari wenyewe hawautaki, Waziri mkuu ni wa Jamhuri ya muungano lakini wazanzibari hawamwelewi na hawamheshimu, tunataka kumfurahisha nani?.
Abeid Amani alikubali muungano ili kuilinda Zanzibar, kulinda mapinduzi maana Sultani angerudi na kuwamaliza hao midubwedo.
Ni wa hovyo maana mwanzo ilikuwa ni kwa ajili ya appreciation lakini kwa sasa imekuwa kisiasa tuu yani kuna siku tutakuta choicevariable government bankSio wa hovyo ni chuki zako binafsi zinakusumbua.
Upo sahihi sana, pia ukodishaji wa visiwa vyake, umekwenda kuipatia znz mabilioni ya dollar / UBUNIFU WA MATUMIZI YA RASILIMALI ZA ZANZIBAR, UMEIPAISHA KWA HALI YA JUU.Hela Zinazotumika Zanzibar kujenga mashule na miundombinu mengine ni Hela za COVID 19 ,sio Hela za Muungano.
Ni mkopo : wamekopa kwa ajili ya maboresho ya elimuTanganyika shule ya ghorofa hairuhusiwi?
Zanzibar imepata wapi pesa zote hizi sahivi? Hasa baada ya Samia kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Huyu haoni hata aibu, tukimchagua tena 2025 hiyo miaka 5 Tanganyika kuna kitakachokuwa kimebaki?
Watanganyika tuamke
Tuko kwenye ukoloni wa Zanzibar, tutafute uhuru kwa mara ya pili. Tanganyika hali ya miundo mbinu ni mbaya sana, shule za sekondari huku hata plasta hazijapigwa unajenga maghorofa upande wa Zanzibar huoni ht aibu na huruma? Barabara ukienda mikoa kama Manyara, Simiyu, Singida ni mbaya sana. Mswahili ni mswahili tu hata haya haoni.
Atuachie nchi yetu, huu muungano hauna faida, ni kainchi km wilaya kuionyonya nchi kubwa, Kweli Tanganyika ni kubwa jinga.
Huu muungano upo kumfurahisha nani? Wazanzibari wenyewe hawautaki, Waziri mkuu ni wa Jamhuri ya muungano lakini wazanzibari hawamwelewi na hawamheshimu, tunataka kumfurahisha nani?.
Abeid Amani alikubali muungano ili kuilinda Zanzibar, kulinda mapinduzi maana Sultani angerudi na kuwamaliza hao midubwedo.
Hata Sasa ni appreciation,kinachosukuma chuki kwako ni kina sa 💯 🤣🤣Ni wa hovyo maana mwanzo ilikuwa ni kwa ajili ya appreciation lakini kwa sasa imekuwa kisiasa tuu yani kuna siku tutakuta choicevariable government bank
Labda shule zizae matunda ya kuwaondolea wananchi ujinga, ila kusema kwamba Zanzibar itaendelea kwa kujengewa magorofa ni kujidanganya.Nyie Tanzania bara mmekalia wizi wa ufisadi tu. Ukitokea mradi mnaanza kukaa vikao hapa tunakulaje.
Wenzenu zikija fedha za miradi zote zinafanya mrsdi husika na ndo mana mnaona wenzenu saivi ni magholofa tu. Si shule za kawaida, si makazi ya wananchi.
Nyie endeleeni na ufisadi tu na mark this comment. In 15 years tutaenda kujifunza Zanzibar kwa namna walivyoendelea kama tunavyoenda kujifunza Singapore na Korea Kusini.
Uchumi wa ZnZ ni sawa na mapato ya wachimbaji wadogo wa dhahabu kwa Doctor Kasheku Musukuma.Zanzibar ni tajiri kuliko Tanganyika kabla hata ya Muungano 🐼
Mawazo ya KIPUMBAVU kabisa haya. Tunatafuta viongozi wa kutupa maendeleo na siyo viongozi wa kuturudisha nyuma.Tanganyika shule ya ghorofa hairuhusiwi?
Zanzibar imepata wapi pesa zote hizi sahivi? Hasa baada ya Samia kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Huyu haoni hata aibu, tukimchagua tena 2025 hiyo miaka 5 Tanganyika kuna kitakachokuwa kimebaki?
Watanganyika tuamke
Tuko kwenye ukoloni wa Zanzibar, tutafute uhuru kwa mara ya pili. Tanganyika hali ya miundo mbinu ni mbaya sana, shule za sekondari huku hata plasta hazijapigwa unajenga maghorofa upande wa Zanzibar huoni ht aibu na huruma? Barabara ukienda mikoa kama Manyara, Simiyu, Singida ni mbaya sana. Mswahili ni mswahili tu hata haya haoni.
Atuachie nchi yetu, huu muungano hauna faida, ni kainchi km wilaya kuionyonya nchi kubwa, Kweli Tanganyika ni kubwa jinga.
Huu muungano upo kumfurahisha nani? Wazanzibari wenyewe hawautaki, Waziri mkuu ni wa Jamhuri ya muungano lakini wazanzibari hawamwelewi na hawamheshimu, tunataka kumfurahisha nani?.
Abeid Amani alikubali muungano ili kuilinda Zanzibar, kulinda mapinduzi maana Sultani angerudi na kuwamaliza hao midubwedo.
Mitano tena ananapata na huna cha kufanya labda ufariki tu weweNi kodi za Watanganyika halafu mazombie ya CCM yanataka kumpa mitano tena.
Mpuuzi huyo mleta mada anaongozwa na roho ya ubaguzi.Ukitawaliwa na roho mbaya siku zako za kuishi zitakua chache sana.
Limbukeni huyo hajui hata anaongea kitu gani.Mawazo ya KIPUMBAVU kabisa haya. Tunatafuta viongozi wa kutupa maendeleo na siyo viongozi wa kuturudisha nyuma.
Kwa hiyo ulitaka ZNZ iendele kubaki kama ilivyokuwa wakati wa Abeid Karume??
Watanzania hamjui mnachotaka. Wewe subiri kufa tu
Bajeti ya Zanzibar ni ndogo sana sawa na bajeti ya Rwanda, hiyo ni sawa na mikoa ukiitazama kijiografia.Nyie Tanzania bara mmekalia wizi wa ufisadi tu. Ukitokea mradi mnaanza kukaa vikao hapa tunakulaje.
Wenzenu zikija fedha za miradi zote zinafanya mrsdi husika na ndo mana mnaona wenzenu saivi ni magholofa tu. Si shule za kawaida, si makazi ya wananchi.
Nyie endeleeni na ufisadi tu na mark this comment. In 15 years tutaenda kujifunza Zanzibar kwa namna walivyoendelea kama tunavyoenda kujifunza Singapore na Korea Kusini.
Rais alipokuwa hayati JPM tuliishambulia sana Chato na wasukuma leo mwanamama kutoka kizimkazi anaongoza TZ tunashambulia Zanzibar...Wazanzibari wanafisadi mali za Tanganyika tu.
..kwao hakuna kitu cha kuiba wala kufisadi.
..nchi inaagiza mpaka mchanga toka Tanganyika.