Zanzibar imepata wapi hela zote hizi ndani ya miaka 3? tangia Samia awe Rais wa Muungano skuli za ghorofa mpaka Kojani

Ukiwa mpumbavu jitahidi kuficha upumbavu wako.

Zanzibar ni ndogo Kwa Ardhi hakuna sehemu watajenga majengo ya chini.

Pili Zanzibar imeimarika sana kiuchumi awamu hii ya Mwinyi na Mama kuanzia Mapato Hadi Utalii.

Mwisho nikuoneshe shule za gorofa za Serikali zilizojengwa ujione ulivyo lodi lofa?
 
Anatoa hela bara na kuwapa wala urojo wenzake huko kibanda maiti na mchamba wima
 
Raisi wa Zanzibar ni Hussein Mwinyi sio Samia, zile ni pesa za Mwinyi sio Samia punguza chuki kijana.
 

..Wazanzibari wanafisadi mali za Tanganyika tu.

..kwao hakuna kitu cha kuiba wala kufisadi.

..nchi inaagiza mpaka mchanga toka Tanganyika.
 
Miaka kadhaa nyuma kabla ya wafanyabiashara kuanza kwenda China na dubai, Zanzibar ndio ilikuwa dubai yetu. baada ya miaka kupita Znz ikafa kibiashara maajabu sisi wa Bara hatukuonyesha kusikitika.

Baada ya Znz kuanza kurejea kwenye fomu sasa kila kitu tunamsingizia mama. Hii ni dalili ya wivu, chuki na roho mbaya tuliyo nayo sisi wa bara. Kwetu kumejaa mijizi na mijambazi na tunatakiwa tupambane na hali zetu.

Kifupi znz walishatuzidi kiujanja kitambo sana. mambo tunayoyafanya sisi znz walishayafanya muda. znz walitangulia kuwa na umeme, leseni za card, vitambulisho vya taifa nk. Hata CCTV barabarani sie mpaka leo tunasua sua.

Sasa bwana mleta post wacha roho mbaya na hata huku bara shule za ghorofa zipo. Ni aidha ujinga wako, hufuatilii habari au uvivu basi hata wa kugoogle. Baadhi ya shule za ghorofa bara ni hizi

 

Attachments

  • Screenshot_20250109-061629~2.png
    1.4 MB · Views: 4
Majitu hayo ya Chadomo yalishajaa upumbavu sana,yanashida kwenye pages za udaku na X au Kwa kina Shangazi ndio maana hakuna kitu yanajua.

Kwa taarifa Yao tuu Mkoa wa Dar,Jiji la Arusha nk wamefuta utaratibu wa kujenga majengo ya shule za chini ni mwendo wa magorofa tuu.

View: https://www.instagram.com/reel/DD99GzPttfM/?igsh=c2Ntb3MyYnl3MW9l
Na Kwa taarifa Yao tuu hakuna Rais amejenga shule nyingi za gorofa Nchi hii kama Samia ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://www.instagram.com/reel/DEbpoi9oJvq/?igsh=eGpob2xxcWk1Yng0
 
Mtoa mada ukiacha kushinda kwenye pages za porno na za kina Lisu,Chadomo na mashangazi wenu wengine utakuja kufahamu kwamba hakuna Rais amejenga miundombinu Bora kabisa ya Elimu hapa Tanzania Kwa Wingi na Kwa viwango yakiwemo shule za magorofa kama Samia.

Hapa ni Tunduma ๐Ÿ‘‡ ๐Ÿ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DDz-2PcoHrV/?igsh=OHlnaWoweTNwM2ww
 
"..Wajinga ndio waliwao.." ๐ŸŽถ
 
Katiba yetu na yenyewe ni jau, huwezi kuwa na maRais wote wawili kutoka upande mmoja wa muungano - hapo lazima uwekwe mtu kati.
Kwani bara rais wao kule rais anawa wawapi?
 


Zanzibar wananchi wanaheshimiwa huku Bara wanasiasa wana mpaka vyama vyao binafsi.

Lisu alisema ni wakati sasa wa kurudisha heshima ya kura .

Huku Tanganyika kura haziheshimiwi .

Wakurugenzi ndio wanaofanya ufisadi kwenyemiradi ya maendeleo pamoja na Tamisemi. Halafu hao hao wanavuruga uchaguzi na kudharau kura za watu . Sasa nani atahangaika na maendeleo ya watu zaidi ya kutegemea Rehema za serikali . Kifupi Tanganyika ni mali ya watawala na familia zao ndio maana hata Mbowe anataka chama chake kishuke hatamu ili nchi hii siku moja iwe mali ya Mbowe .

Kosa ni kutawaliwa na Rais mgeni kabisa.
Yaani Obama alikua na asili ya Kenya lakini alikua Mmarekani na hakuwahi kuishi Kenya wala kuwa na uraia wa Kenya lakini kule Bangladeshi rais ni kutoka Msumbiji na mara zote amekua akisema yeye ni mmakonde wa Msumbiji. Sasa hapo ni wazi lazima akumbuke nyumbani kabla ya ugenini. Kule Bangladeshi hana hata mjomba hata mshkaji hana . Hana hata rafiki zaidi ya wafanyakazi wenzake aliiwahi kufanya nao kazi au kusoma nao .
 
Acha au punguza kuvuja kamasi na mapovu hayana Msaada kwako.

Kila siku nawaambia mkiendelea kushinda kwenye pages za porno na za hao vibaraka mtashikiwa sana akili.

DK Samia SS Tunduma
 
Kabisa tunanyonywa vibaya halafu bado watanganyika wanazuiwa kuingia Zanzibar.
 
Huu utaratibu wankuweka majina ya viongozi wa hovyo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ